Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sisi tukipigwa na Tottenham hata haituumi manake tunajua kinakua ni kipigo kutoka kwa baba wa zamani (Mourinho)😂😂

Nahisi hata Liver hawajaumia leo...mkubwa(baba yenu wa zamani Rodgers) hakosei 😊😊
 
Ivi kwann Chamberlain huwa akicheza Aidha akiingia kipindi cha kwanza au pili lazima Liverpool afungwe?

Hii kitu nimenoti hata kipindi yupo Arsenal jamaa akianza tu Arsenal isipofungwa basi hutoa draw.

Kipindi anatoka Arsenal kwenda Liverpool nilishukuru sana baada ya kuikacha Chelsea
Tumepigwa pale kuna watu humu walikua wanamsifia kinomaaa na kuponda waliopo ambao wanalingana viwango
Huo ni mzigo tu wa kingereza
 
Mwaka huu mnashindwa kujua mchawi nani kwenye timu. Kipa anavuja kama tenga,beki zinapitika kama chujio la chai,kiungo kigumu na hakina ubora wowote na ushambuliaji ni kama wanacheza kwa mazoea tu.
Kama timu nzima ina matatizo,shida ni jurgen klopp,msiende kupoteza hela kwa waganga bure
 
_*Upigwe na Burnley nyumbani, upigwe na nyumbu Fa cup utolewe, upigwe na Brighton nyumbani, upigwe na city nyumbani, upigwe na leicester away, ushushwe nafasi ya nne chelsea akishindaa, ufiwe na mzazi, ushindwe kwenda kumzikaa, na bado juma4 inatakiwa ucheze na Leipzig Uefa, ukitoka apo ukakutane na watani wako wa Derby Everton mechi ya ligi kuu EPL, ndugu yanguu ukikutana na shabiki wa liver kuku Umkumbatie umuhagi!! Mwambie Mungu ni mkubwa ipo siku tutayashinda Majaribu na vishawishi.
 
Mwaka huu mnashindwa kujua mchawi nani kwenye timu. Kipa anavuja kama tenga,beki zinapitika kama chujio la chai,kiungo kigumu na hakina ubora wowote na ushambuliaji ni kama wanacheza kwa mazoea tu.
Kama timu nzima ina matatizo,shida ni jurgen klopp,msiende kupoteza hela kwa waganga bure
Ridiculous
 
Ladies and Gentlemen! Hili ndiyo Benchi letu la Hakiba la Timu inayojidanganya Kutaka Ubingwa wa EPL.

Screenshot_20210213-182857.png


Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵

Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
 
Kuna Tweet moja niliikuta Sehemu inasema:-

KLOPP msimu wa Mwanzo anaorganize Wachezaji na kutengeneza Timu ya ushindani.

KLOPP msimu wa Tatu anapata Timu ya Ushindani na kushinda Makombe.

KLOPP msimu wa Nne anatengeneza Timu inayopambania kutoshuka Daraja.

Reference: Meinz, Dortmund na sasa Liverpool.

Sina uhakika kama hichi kitu kina ukweli but kinafikirisha.
 
_*Upigwe na Burnley nyumbani, upigwe na nyumbu Fa cup utolewe, upigwe na Brighton nyumbani, upigwe na city nyumbani, upigwe na leicester away, ushushwe nafasi ya nne chelsea akishindaa, ufiwe na mzazi, ushindwe kwenda kumzikaa, na bado juma4 inatakiwa ucheze na Leipzig Uefa, ukitoka apo ukakutane na watani wako wa Derby Everton mechi ya ligi kuu EPL, ndugu yanguu ukikutana na shabiki wa liver kuku Umkumbatie umuhagi!! Mwambie Mungu ni mkubwa ipo siku tutayashinda Majaribu na vishawishi.
Naamini tutakaa Sawa Tu, ni mapito tu haya.

Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app
 
_*Upigwe na Burnley nyumbani, upigwe na nyumbu Fa cup utolewe, upigwe na Brighton nyumbani, upigwe na city nyumbani, upigwe na leicester away, ushushwe nafasi ya nne chelsea akishindaa, ufiwe na mzazi, ushindwe kwenda kumzikaa, na bado juma4 inatakiwa ucheze na Leipzig Uefa, ukitoka apo ukakutane na watani wako wa Derby Everton mechi ya ligi kuu EPL, ndugu yanguu ukikutana na shabiki wa liver kuku Umkumbatie umuhagi!! Mwambie Mungu ni mkubwa ipo siku tutayashinda Majaribu na vishawishi.
Naamini tutakaa Sawa Tu, ni mapito tu haya.

Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app
 
Ha ha haaa Chambaliiiin ha ha haa eti abadili matokeo hafu kuna watu wana mponda Origi ukimuuliza unanani tena atasema Chambalii

Sasa unamnyima namba Philipsi kaharibu lini? Aibu nimeona mimi

Angeweka beki Kabak na Philips mambo yalikuwa yanaenda vizuri

Sasa anamuweka Hendo ambae kukaba mbovu wanakaribiana na Gini kwenye ukimeo kwenye kukaba
 
Klopp kaisha limfumo lake la kushambulia na kutegemea kaunta ataki watu walisha ujulia
 
Sio mbaya kupanda na kushuka kupo, hata Trump amekosa uraisi kwa muhula wa pili.
Kabisa ndugu...

Kwa sasa hakuna tena kutembea na matokeo mfukuno ni mwendo wa kupigika nyumbani na ugenini...

Inauma hatukuzoea haya kwa muda sana tangu alivyotua huyu Mjeremani..

Kwa sasa ni dhahiri wapo bora zaidi yetu na ni muda mwafaka tukumbali ili kuanza safari ya kujisuka upya..

Bila kutazama VVD, Gomez nk hawapo makosa sasa yamekua ni mengi mno kwa hawa waliopo...

Namna Klopp atatuoaje kwenye hili janga ndio itakua mtihani wake Mkuu tangu ajiunge na majogoo...


YNWA
 
Ladies and Gentlemen! Hili ndiyo Benchi letu la Hakiba la Timu inayojidanganya Kutaka Ubingwa wa EPL.

View attachment 1701632

Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵

Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
Tumeingia Cha Kike! Ewaaaa 🎶🎵
Duuh ina maana VVD Gomez Matip ndio visiki wa hii timu maana hilo benchi halijawai kua zaidi ya hivyo lakini ushindi ulikua unakuja..

YNWA
 
Yani mna dominate game alafu mnapigwa goli 4!!

Hii maana yake ni kwamba beki iko ICU na ushambuliaji ndio iko hoi kabisa!!

Yani mpo mpo tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom