30 years mbali sana mkuu, ni mwishoni mwa msimu au msimu ujao. Nafikiri ni changamoto tu za kiufundi na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji.It was amazing three years
We enjoyed
So so much
A fearful Liverpool
We will back even after 30 years again or more
YNWA
Sure ile game ya liver vs city ni ubovu tu wa liver na sio kwamba city walikuwa on another levelKwa matokeo ya man city dhidi ya liverpool ungesema city ni bonge moja la timu lakini baada ya leicester kushinda leo unajiaminisha kuwa kumbe tatizo ni form ya liverpool hivyo man utd bado ni title contender.
We we we weeeee Adrian atafungwa zaidiAlisson apewe likizo akashaghulikie family problems, bora Adrian akae golini kwa muda

Pole mkuu mpira ni mchezo wa kamariIt was amazing three years
We enjoyed
So so much
A fearful Liverpool
We will back even after 30 years again or more
YNWA
Baadhi ya makosa ya magolikipa husababishwa na ukosefu wa uimara wa viungo katika juhudi za kupunguza tensions za mpira kuelekea golini kwako.Ukweli mchungu.
Liverpool has become ordinary team. Yaani sioni tukiata hata top 4. Timu haina makali kabisa, muda wote ni kucheza back passes.
Alison amekuwa another Karius. Dhidi ya city aliwazawadia goals mbili. Leo tena kawapa leicester bao la kizembe kabisa. Ukiangali utadhani Kabak ndo alifanya blunder, lakini sio. Alison alitokea mbali Sana kufuata moira ambaao Kabak lazima angeucheza.
Next tunaenda kuaibika Kule ujerumani. Leipzig hawawezi kutuacha. Kwa ile Nazi pressing sijui tutaweka wapo sura zetu. Ndio tunazidi kuwakaribisha lina Ollachuga Oc kuja kutupigia kelele hapa jukwaani.
Tumeipenda wenyewe tuvumilie tu hanna namna.
YNWA
Jones sub was catastrophic but then over confidence Allison and poor communication him and Kabak made its 2, poor Kabak not the intro he expected but this is EPL there is no marginal for errors as you will suffer and again today we have suffered door to poor decision making from our players...Ha ha haaa Chambaliiiin ha ha haa eti abadili matokeo hafu kuna watu wana mponda Origi ukimuuliza unanani tena atasema Chambalii
Sasa unamnyima namba Philipsi kaharibu lini? Aibu nimeona mimi
Ivi kwann Chamberlain huwa akicheza Aidha akiingia kipindi cha kwanza au pili lazima Liverpool afungwe?Ha ha haaa Chambaliiiin ha ha haa eti abadili matokeo hafu kuna watu wana mponda Origi ukimuuliza unanani tena atasema Chambalii
Sasa unamnyima namba Philipsi kaharibu lini? Aibu nimeona mimi



Jamani kuna kijiwe kimoja tulikuwa wanaliverpool wengi tunacheki game lilipo ingia goli la 3 kila MTU ni kufyonza wote wakaondoka.
Kutesa kwa zamu...Hata man city alipoteza consistence msimu uliopita na hata kupelekea Liverpool kuchukua ubingwa, so ni kawaida katika mashindano, ukipoteza consistency wengine wata takeover