Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

F6DCD6CF-32FF-4A60-AFBE-7FD1960B2AF2.jpeg
5FE9A8E9-98C7-4939-AA8A-14469E951C98.jpeg
29216268-2D1B-448C-AF69-8206782B2C45.jpeg
 
Nimeangalia ratings za Liverpool Echo wamemrate Jones 8/10 na kuandika comment hii

Curtis Jones 8

Brilliant tracking back denied Foden first half and always looked to get Liverpool moving forward. Very harsh to be subbed

Wamemalizia na neno 'Very Harsh To Be Subbed'.
Kwa hyo unataka kutuaminisha hao walio ongea hayo maneno wanajua kuliko kocha wako guropu? Yako acha kutafuta mchawi umefuria ukaniona bora kumtona MINOMINO
 
Vipi mkuu hamkupata penat leo? Naona hamjapiga mligomea salah ameikataa kabisa anataka goli la assist

Lakin matokeo yanasoma 4-1 sasa hilo moja limetokana na nini?

Yote kwa yote poleni sana mlikuwa na injury halafu mmeenda kukutana na timu iliyokuwa bora
We jamaaa acha kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Wamefungwa wamefungwa fulstop.

 
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...

Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..

Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..

Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..

Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..

Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...

YNWA
Yawezekana
 
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...

Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..

Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..

Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..

Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..

Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...

YNWA

Point mkuu
 
Wachezaji wetu hawajacheza vizuri na sio jana tu imekuwa toka tumeingia 2021, mwaka huu tupigane tumalize top 4 mipango na uhakika imeanza kujenga kwa msimu ujao tukubali mwaka umekuwa sio mzuri. Kuongelea jana kipa Becker alikuwa na game mbaya sana hata yeye anajuwa na team nzima ilikuwa chini ya kiwango. Tu support team yetu kipindi hiki kigumu na uhakika tutapita hali hii.
 
Mkuu pale nyuma bila VVD na Gomez tunaishi kwa nguvu za Mola hawa wengine tunabahatisha..

Hiii gemu ilikua Klopp awaanzishe Kabak ama Davies na si vingine..

Honestly am at peace sikutegemea zaidi ya haya ya leo na nilovyomuona tena Milner nikasema kweli we are doomed.


YNWA
Nilitegemea hivyo pia...amuanzishe kabak na fabinho then hendo arudi kiungo chake..lakin ndio hivyo kocha ndio mwenye maamuzi..
 
Nyie loserfool mnaraha gani mnalala Hadi sasa hivi hebu amkeni amkeni 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Matip was the one , Yes at our Club Matip is second only to VVD

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu hivi unajua ki stat Gomez yupo powa zaidi ya Matip..

Hizi ni stat za last season

We’ve taken a closer look at Liverpool’s Premier League record with each of Matip, Gomez and Lovren starting at centre-back since the start of the 2018-19 season to the end of 2019 2020 season.

With Matip starting at CB
Games: 25
Wins: 19
Draws: 6
Losses: 0

Win rate: 76%
Loss rate: 0%

Points per game: 2.52
Goals conceded per game: 0.64
Clean sheet ratio: 48%

With Gomez starting at CB
Games: 30
Wins: 25
Draws: 3
Losses: 2

Win rate: 83.3%
Loss rate: 6.7%%

Points per game: 2.6
Goals conceded per game: 0.7
Clean sheet ratio: 53.3%


As the stats show, Liverpool have actually earned the fewest points per game with Matip starting over the past two seasons.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom