Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Jordan Henderson - 7
Kwa hiyo hili garasha leo ndo limecheza vizuri timu nzima?
Jordan Henderson - 7
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...Sio upangaji tu mkuu hata uwekezaji ni muhimu liverpool walikuwa bora sana baada ya kuwekeza klopp akasinzia alisahau kama aliwekeza kufikia mafanikio aliyopata msimu uliopita kule kwa pep tumemsahau kabisa laporte wachezaj wake wa gharama na quality.
Sky ni pure UK haha yaani hawa ni mouthpiece ya hawa bams wa UK...Kwa hiyo hili garasha leo ndo limecheza vizuri timu nzima?
Tumrudishe Karius mkuu broMm leo nadhani kipa katuangusha sana lkn ndiyo soka
Last season we had a league high ya magoli kutokana na kona na mipira ya adhabu na hii ilichangiwa na VVD kwani his aerial presence is scary kwa wapinzani...Mkuu kwa mimi nilichokiona leo ni kwamba hatuwezi kufunga mipira ya kona ,mipira yote ameruka stone,hapo angekuwa vvd yangekuwa magoli hayo.
Hakuna mruka vichwa kama ndio hivyo unakuwa unategemea magoli ya aina moja tu,ambayo sio magoli ya kona .
Wewe leo kumlaumu Allison ni sawa sio? Ila wenzako wakishusha tuhuma kwa Hendo unaanza kuwaita wao sio halisi? Leo na wewe umetuhama wanamshikamano? Maana sisi hatuwanangi wachezaji.Kusema ukweli siamini kama Alson alikuwa golini leo!
Kawapa bao zote 4 Man City,bao zote nne.
Bao la kwanza ndiyo limeniuma zaidi,mpira ule ulikuwa hauna hata nguvu,alikuwa analala anainuka nao!
Hata ukiona reply TAA na Robbo waliisha fungua na Fabihno aka relax maana walikua kipa anauokota tu
Bao la 2 na 3 ni aibu sana aisee
La 4 kakwepa mpira
Lkn tumefungwa WOTE,tunajipanga
Tutashinda ushindi wa kishindoSubiri tena round ya pili Etihad mtapigwa 6-0 angalau nasi tuliambulia point 1 kwao! Nyie wala hampaswi kuongea!
Mzunguko wa pili. tayari
Kwa hiyo hili garasha leo ndo limecheza vizuri timu nzima?
Klopp ndio wa kubeba lawama sio MilnerKabla ya Sabs yake tulikuwa tunacheza vizuri sana, lakini alipoingia tu na kutolewa Jones kila kitu kilibadilika.
Mimi simlaumu Milner bali namlaumu Klopp
I dont blame Allison , in my side i think no sabotage for our Club is what he did but sabotaging Red devils is what he did which in the end is an act which i commendMkuu kwanza leo my best Liverpool player kwenye hiki kikosi Allison kafanya blunder za ajabu yaaani haikumbaliki kipa wa level hizi kweli afanye vile lakini sasa Soka ni mchezo wa makosa na ukayafanya dhidi ya Pep bila shaka utaumia...
Technically Allison kauza hii gemu..
Unavyokua vile unaifanya timu nzima icheze kwa wasiwasi mno..
YNWA
Matip was the one , Yes at our Club Matip is second only to VVDVVD made him better Mkuu we have to accept he played a big part us winning the 19th EPL trophy...
YNWA