Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Pep the 3tactician criticising Foden decision making.

“He is a guy that keeps the ball really well, he is a guy that’s so aggressive when he is arriving,” Guardiola was quoted by the Metro.

“But he’s so young, still he doesn’t understand in some positions what you have to do. In the first half he was not in the right positions as you have to be like we work but he’s a little bit distracted sometimes in these issues.

“Playing wide is easier for him but he will learn. after that the action for the second and fourth goal what a huge talent he is but still so young and hopefully he understands he can improve.

In the first half he was not in the positions we needed and that’s why we suffered in some moments to have the control.”

Pep kama Pep hua hapidishi hapa anampa makavu dogo Foden pamoja na MOTM jana meneja anaona kuna wakati alizingua...

Kwetu Klopp kama kawaida kuwakubatia vijana na kila siku yeye kubeba lawama utadhani uwanjani anaingia yeye kucheza

Lazima awape makavu Firmino, Salah, Mane na Thiago jana walipoteza sana mipira maeneo ya hatariii lazima awaambie kama kusema kule boot room haisaidii basi awape makavu laivu labda itawafanye waamke na kufanya vyema..

Positive criticism is part of the game its makes you better...

This players are paid to perform and when they fail criticism is vital to remind them properly why they are chosen and working at Anfield...

Ajabu sasa wao ndio wanamzomea Klopp badala ya Klopp awazomee mpaka babu wa watu anajieleza kwa wachezaji like serious na mostly ni hawa bams...

He should borrow a leaf from Pep and Mourinho kwenye hio sekta wako powa sanaaaa

YNWA
 
Crisis? What crisis goddamn it!

We are still top 4 in the league.
We are still the champions of England.
Give this position to Mourinho & Spursy - they will bite your hand off in order to swap places with LFC!
 
View attachment 1697500

Kwingineko hali ndio kama hivi..

Tutaelewana tu..

Klopp rasmi sasa anafananishwa na Ranieri haha lol....

YNWA
So kazi yote ya 2018/19 na 2019/20 aliyofanya ni bure, wakati ule alifaa. Alibatizwa majina mengi ya kifahari. Baada ya miaka 30 kawatolea aibu leo mnataka kumfukuza kwa sababu ya mechi tatu zilizosababishwa na timu kuwa na majeruhi ya ya nafasi muhimu kama ya VVD, Liverpool imepwaya kama timu sio makosa ya Kocha. Fabinho, Hendo na Milner kucheza kama CB wapi na wapi. CB wote wanaojulikana wako injury na haijulikani watarudi lini. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
 
So kazi yote ya 2018/19 na 2019/20 aliyofanya ni bure, wakati ule alifaa. Alibatizwa majina mengi ya kifahari. Baada ya miaka 30 kawatolea aibu leo mnataka kumfukuza kwa sababu ya mechi tatu zilizosababishwa na timu kuwa na majeruhi ya ya nafasi muhimu kama ya VVD, Liverpool imepwaya kama timu sio makosa ya Kocha. Fabinho, Hendo na Milner kucheza kama CB wapi na wapi. CB wote wanaojulikana wako injury na haijulikani watarudi lini. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Ndio hapo ndugu aafu utashangaa wanaanza kumnadi Steve G kama meneja mtarajiwa kisa tu ana msimu mzuri kule Scotland....

Kama the great Pep alimkosa Laporte aka surrender ubingwa kwetu sasa nini ajabu Klopp nae ku surrender kwa wengine na huku ikiwe well documented ni majeruhi defence ambayo ndio nguzo kuu kwetu...

Nitakua wa mwisho kusema Klopp OUT hastahili kwa vile tu tuna msimu mbaya..

Mansour pamoja na Pep kushindwa kupata UCL na EPL msimu uliopit alimpa Pep mkataba mpya maana anajua kilichofanya wakose kufikia malengo yao..

Nina inamani na Klopp apewe sapoti tena na wenye timua yao aanze kusuka kikosi upya na haya yote yatashaulika...

Makocha hawa Pep na Klopp ni top top game changers wakiwa na talent in thier disposal hivyo nina imani next season and i hope mashabiki watakua wamerejea uwanjani upande kipato cha klabu kiongezeke ili kuwapa kifua kuingia sokoni..

Imagine Pep anapewa £200m kusuka upya kikosi haha lol target zake kuu ni Lukaku, Martinez na Traore kwa pale mbele yaani itakua balaa yaani sub itakua unakata mti unapanda mti..

Sitegemei Juni 2021 kwa kweli Ox, Origi, Milner, Shaqir, Keita oh boy,Matip kubaki kikosi hawa ni kuuza kupunguza pay roll na kuleta wengine wapya tunahitaji new dimension ili Rebuilding ya Klopp ilete maana na matokeo...

Dogo VVD nae anahitaji maombi huyu isitokee relapse kwenye rehab yake apone asilimia zote kwa ajili ya msimu ujao..

Natarajia pia msimu ujao kuwe na preseason ya kueleweka kwa ajili ya maandalizi mema ya msimu mpya 2021-2022..

Tuwe na subira ni haya matokeo tutakaa sawa huu msimu wa sasa tukumbali kuna timu bora zaidi yetu na huo ndio ukweli...

YNWA
 
Mkuu si kila siku ni shindi tu. Kuna siku mpira unakataa.

Tulipofungwa 3 moja mlitucheka sana. Sasa jana umekungutwa 4.
Hahaha upo sahihi ndugu...

Tumepagawa mno hatukuzoea kukosa pointi pale Anfield ilikua aidha zote 3 ama moja na hili ni kwa miaka 4 bila kupoteza hata mechi hata moja mpaka sasa yanatukuta haya ya sasa...

Yamesemwa mengi na yatasemwa mengi na ukweli kwa kocha kama Klopp na wachezaji alionao kuikosa big hana cha kusingizia na pazuri ni pale media have smelled blood na hii form yetu hivyo we are making all the bad headlines kwa sasa which will one way or the other affect the boys uwanjani...

Wanasema winning is addictive so do losing yaani its depends which side of coin yoy strive to be...

YNWA
 
Mmejidai kuchapwa jana, sasa hata top 4 hamuioni

Mwakani Europa League

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app

Ingelikuwa unazijua nafsi za Wanaliverpool basi ungetambua kuwa ni bora tukose Top Four lakini wewe usiwe Bingwa kuliko kuingia Top Four halafu wewe ukawa Bingwa.

So, its fair for us to play Europa League as long as you'll not lift EPL
 
Becker kazingua sana jana LKN katufanyia mambo makubwa sana pale Liverpool kwa hiyo tumsamehe tusonge mbele!
Liverpool HALISI ya jana yamepita sasa tuongelee mechi zijazo
In Alisson we believe
 
Toa Minamino kwa Mkopo weka Origi kwenye Benchi

Toa Jones uwanjani ingiza Milner akatengeneze nafasi

Kichekesho sana mtu hapa kuona anajua kuliko Klopp!
Angekuwepo Jones ndani ndiyo angerudi kuwa kipa kuzuia Becker kuwapa City bao za ubwete?
Liverpool imefungwa tunaishia hapo,hakuna sababu yyt ya kuanza kulaumu wachezaji wasio husika kabisa!
Gundagon anafunga bao akina Jones wapo,bao kawapa Alisson hata wangekuwepo wangezuia nn?
 
Nyie majogoo msimu uliopita mlibebwa bebwa had mkanyanyua kombe maimu huu acha tuwanyooshee tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom