Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Carragher ameongea Vizuri sana baada ya kufungwa na City.

Amesisitiza kuwa 'Reshape' ya Squad yetu ni lazima
Klopp hapangiwi bora wakae kimya...

Hua nikikumbuka alivyoambiwa na Gary Neville hana makipa wa kumpa kombe lolote Karius na Simon aafu Klopp akafoka balaa haha akaja tena Neville kumwambia Lovren hawezi kumpa ubingwa wowote bado tena akaofoka mwishowe yale yale walio shauri hao ma pundits ndio akayafanyie kazi na kuteka dunia haha...

Whats can i say critics make you better they point where you are weak regardless wengine ni mashabiki wa timu pinzani but they say the naked truth...

Wamesema sana Salah Mane Bobby needed reshaping ya nguvu mmoja ilitakiwa auzwe lakini Klopp wala hapangiwi..

Wakasema kabla ligi haijaanza kumwachia Lovren bila kusajili mbadala ni janga na leo tunayaona...

Wame question why kumpa Milner dakika mechi tatu mfululizo huku benchi akiwa na Jones nk wala Klopp hakusiliza..

Mwishowe hua wanauliza mechi aliyoumia Jota kulikua na umuhimu wowte yeye kuwepo uwanjani huku Klopp akijua ndio mchezaji pekee mwenye uhai pale mbele..

Mambo ni mengi muda ni mchache sasa tunapambana kubakia BIG 4 lol...

YNWA
 
IMG_0778.jpg

IMG_0779.jpg

IMG_0780.jpg
 
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...

Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..

Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..

Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..

Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..

Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...

YNWA

Post of the Year
 
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...

Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..

Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..

Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..

Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..

Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...

YNWA
Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghali
  1. Virgil van Dijk - Southampton £75 million 1 January 2018
  2. Alisson - AS Roma £66.8 million 19 July 2018
  3. Naby Keïta - RB Leipzig £45 million
  4. Diogo Jota Wolves £41 million 19 September 2020
  5. Fabinho Monaco £39 million 1 July 2018
 
Hii mjadala ya ubora wa Timu hauna Afya tena! Tungetulia tu tukasubiri next season.

Yaani unakaa kabisa unajadili ubora wa Timu ambayo Supper subs wake ni Milner na Origi?

Tuweni wa kweli huwezi kushinda EPL kwa Timu inayotegemea mchezaji aina ya Origi na Milner
 
Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghali
  1. Virgil van Dijk - Southampton £75 million 1 January 2018
  2. Alisson - AS Roma £66.8 million 19 July 2018
  3. Naby Keïta - RB Leipzig £45 million
  4. Diogo Jota Wolves £41 million 19 September 2020
  5. Fabinho Monaco £39 million 1 July 2018

Hivi Kaka hiyo post ya Captain umeisoma kweli?
Kuna kitu umemiss kwenye hiyo post.
 
LIVERPOOL player rating vs Mancity

Alisson - 2 😒😒😒😒
What happened? A couple of minutes, a couple of goals conceded, a couple of absolute howlers. The Liverpool goalkeeper may be one of the best in the world but his mistakes for City's match-winning double would be considered inexplicable at any level. To make one is perhaps understandable, but two? A shocker by any count.

Trent Alexander-Arnold - 5
Did well before the break, especially when going forward, but defensive frailties were exposed in the second half, most notably for City's opener when Sterling waltzed around him. Liverpool's brightest attacking spark, but his performance won't be remembered for that.

Fabinho - 5
Was this the afternoon when Liverpool's bad luck with defensive injuries finally caught up with them? The Brazil international looked increasingly ill at ease as the game progressed. Fortunate to escape full punishment for his penalty-conceding foul, a lazy trailing leg which in the era of VAR was never going to pass undetected even if referee Michael Oliver had missed it, and statuesque when covering for Alexander-Arnold on City's opener.

Jordan Henderson - 7
There is an idea that Fabinho's future may already be at centre-half. There is also a passing thought that so might Henderson's. Not merely because he has been so very accomplished in his new role but because there's no obvious reason to think that he will not go on prospering in the role. The Premier League does not do brickhouse centre-forwards any more. And it certainly does a lot of possession. So could Henderson be a trailblazer for more central midfielders dropping back into defence? Perhaps. In the immediate term, the only vexing issue for Henderson is whether Liverpool are missing his intensity in midfield.

Andy Robertson - 6
Beaten by Foden for City's fourth, although whereas Fabinho and Alexander-Arnold struggled to repel Sterling, Mahrez barely featured down Liverpool's left. Had some half-openings to create in the first half but could not find a killer cross.


Thiago - 5
An uncomfortable display will surely be followed by uncomfortable focus on whether his style of play is suiting Liverpool or perhaps even hampering it. Booked for an all-too-familiar foul in the opening minutes, Thiago then drifted into anonymity before being replaced on 67 minutes.

Georginio Wijnaldum - 6
On the fringes. Although Liverpool's midfield was not the weak link of their display, neither did their midfield three ever wrestle control.

Curtis Jones - 7
One of the few Liverpool players to impress. The youngster has not won over all Liverpool supporters but made an excellent covering tackle to deny Sterling a clean run through on goal early on and generally stood up well on the most elevated of stages. It was somewhat of a surprise to see him subbed at the same time as the disappointing Thiago.

Mohamed Salah - 6
So quiet prior to winning Liverpool's penalty that he may have hit the mute button. Converted the spot-kick with aplomb, but barely featured otherwise.

Roberto Firmino - 5
Did not appear to possess his usual levels of energy and only once - with a snap shot after 30 minutes that Ederson tipped - did he offer a direct threat of his own. Questions are bound to reappear about his contribution to the side when the front press is not a factor.

Sadio Mane - 6
Liverpool's best attacker, although that is not saying much on an afternoon when the 'fab three' fell flat.

Subs used
Xherdan Shaqiri - 6
James Milner - 6
Kostas Tsimikas - n/a

Source Sky.

YNWA
The ratings are a fair reflection of what actually transpired last night.
 
Mkuu hivi unajua ki stat Gomez yupo powa zaidi ya Matip..

Hizi ni stat za last season

We’ve taken a closer look at Liverpool’s Premier League record with each of Matip, Gomez and Lovren starting at centre-back since the start of the 2018-19 season to the end of 2019 2020 season.

With Matip starting at CB
Games: 25
Wins: 19
Draws: 6
Losses: 0

Win rate: 76%
Loss rate: 0%

Points per game: 2.52
Goals conceded per game: 0.64
Clean sheet ratio: 48%

With Gomez starting at CB
Games: 30
Wins: 25
Draws: 3
Losses: 2

Win rate: 83.3%
Loss rate: 6.7%%

Points per game: 2.6
Goals conceded per game: 0.7
Clean sheet ratio: 53.3%


As the stats show, Liverpool have actually earned the fewest points per game with Matip starting over the past two seasons.

YNWA

Safari hii mtaleta stat sana endeleeni kufukua makaburi tu.
 
Mashabiki wa Liver bwanaaa......Mtakuja kufa buree
Ona huyu

“This night I'm alone,drinking my whisky Royal Stag.If Liverpool wants continuing winning trophies,a fucking bustard jurgen klopp should be first sacked,the man has nothing to offer us,I've been always keep telling my Liverpool mates to have a look at klopp's Dortmund era.The man can't change,we've to accept that klopp's era at Liverpool has come to an end,that's it.Let me keep on drinking my whisky”
 
Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghali
  1. Virgil van Dijk - Southampton £75 million 1 January 2018
  2. Alisson - AS Roma £66.8 million 19 July 2018
  3. Naby Keïta - RB Leipzig £45 million
  4. Diogo Jota Wolves £41 million 19 September 2020
  5. Fabinho Monaco £39 million 1 July 2018
Mkuu Lembu ingekua kununua ndio ushindi basi Chelsea msimu huu bingwa kwani walitumia zaidi ya £180m dirisha kubwa lakini tazama hali yao mpaka walitimua na kocha..

Ni kweli Klopp amepewa sapoti kulingana na project yake na hii project ime deliver UCL, WCC, SC na EPL hivyo hatuwezi sema kama amefeli mbali tunampa BIG UP kwanza kuleta EPL baada ya miaka 30.. We are grateful kwa kweli...

Ishu sasa inakuja kwenye kuingia sokoni wakati sahihi.. Kwa mfano lilisemwa sana kabla Ligi haijaanza je Lovren kaodoka watanunua kuziba hilo pengo lake na ukumbuke pia hawa Nats na Rys ambao ndio wanachukua nafasi ya Lovren hawakua na EPL experience...

Kwa hio mistake ya kutonunua wakati wanamwachia Lovren na mistake ya kutoingia sokoni mapema January 2021 ndio tupo hapa sasa tumepigika ndugu..

Kwa nini binafsi naona Klopp amejifelisha mwenyewe kwani haya maneno kuwarushia dongo wamiliki amechelewa sana aisee yaani kabla ya hapo alikua ndio punching bag ya FSG mpaka siku akaweka bayana yeye anapeleka majina ya wachezaji ama nafasi anazo hitaji wanunue lakini hana mamlaka ya mwisho na nani anunuliwe nk.. Hii ni new chapter ina maana sasa wenye kuelewa wanawanyooshea kidole FSG na sio Klopp.. Tazama hata hawa ma kinda wawili walionunuliwa ilikua baada ya kukosa beki wa Leverkusen, beki wa Marsielle, beki wa Braga nk yaani hawa ni baada kukwama kote huko na walikwama kwa vile hizo timu hawakutaka tukope mchezaji walitaka cash cash biashara iishe sio bla bla..

Ukija sasa kwa Klopp na upangaji kikosi yapo malamiko yapo kuhusu namna bora ya kumtumia Thiago ni dhahiri kabisa akicheza kama 8 imeonekana kuleta uhai lakini hili nalo Klopp anafanya kinyume kwenye mechi zingine tazama dhidi ya Brighton na jana...

Mambo ni mengi..

Sababu zimekua nyingi ambazo haziodoi ukweli tupo hali mbaya sanaaaaa sanaaa..

Klopp aache ujuaji mwingi akumbali kukosolewa ili kufanyia mapungufu yaliopo kazi...

Awaamini hawa CB wawili kazi ianze..

Kwa sasa tunapambana kubakia BIG 4..

YNWA
 
Bundi alianza Emirate, akahamia Darajani, Akahamia Tottenham Hotspur Stadium na sasa yuko Anfield. Amenza kunusanusa tena Emirate labda anajiandaa kurudi huko akitoka Anfield
Arejee Darajani naona yupo jirani kabisa kunishusha nafasi ya 5..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom