Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Wakati huu tunapoelekea ucl tunatakiwa kuwa na kikosi imara na cha kazi ili angalau tuambulie kikombe chochote kama si EPL basi UCL turudi nayo
2nd goal. SalahView attachment 1691192
Nathan yuko vizuri na ametulia huyu ni kumpa mechi na atakuwa defender mzuri sana tu na ukweli hata mechi alizopewa chache alikuwa vizuri lakini nilikuwa nashangaa tu mechi inayofuata anakaa nje sasa sijui labda kocha alikuwa anaona kitu ila kwa mechi alizocheza anacheza kuliko umri wake unavyoonesha. Ni defender mzuri na atakuja kuwa mzuri sana more games tu.Nathan Phillips jamaa ni Old school defender hahahahahahahahah
Duh 2m defender?
Hatari huu ubahili
Mpaka sasa naona Edwards anatulia kwa huyu kwanza kwa vile mkataba wake unaisha Juni 2021 hivyo bei yake angalau ina unafuu na pia Preston wanakumbali kumchukua beki Sepp kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu.. Na kingine huyu ni homegrown hivyo hata pale Liverpool watashindwa kuuza any foreign player basi usajili EPL wake unakua sio complicated..Mkuu wale wengine wawili imeshindikana?
Sawa mkuu ahsante kwa maelezo mazuri sanaMpaka sasa naona Edwards anatulia kwa huyu kwanza kwa vile mkataba wake unaisha Juni 2021 hivyo bei yake angalau ina unafuu na pia Preston wanakumbali kumchukua beki Sepp kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu.. Na kingine huyu ni homegrown hivyo hata pale Liverpool watashindwa kuuza any foreign player basi usajili EPL wake unakua sio complicated..
Japo anatokea Championship scouts department walishamtazama kwa muda mrefu na wamejiridhisha atasaidia kwenye huu mpito wa haya majeruhi..
Sheffield United walipeleka ofa ya £10m dirisha la October wakakatiliwa na pia Celtic nao walikua wamekumbaliana nae Juni 2021 ajiunge kwao huku pia Bournemouth nao wakiwa wamepeleka ofa ya £3m January hii lakini sasa mvuto wa kucheza Champions League na kujiunga na Liverpool is so so sweet to turn down haha na lile hug la Klopp...
Departures Adrian wanajaribu kumtoa hata bure..
Muda bado upo tutaona ni vipi..
YNWA
Tukitoa draw itakuwa basi tena, tunabaki tunatafuta top 4 tu.
Wewe game ya burnely hapo anfield si ulicheza kama kuku mkuu ....View attachment 1691387
Man C ndiyo ana anza mzunguko wa pili baada ya kucheza na Liverpool.
Liva ana majeruhi kibao bado tupo kwenye mbio za ubingwa lkn Man C kakosa tu KDB mechi na SU walicheza kama Bata,bila ubunifu wowote ule
Mungu yupo na sisi,tunaenda tetea ubingwa wetu
Ni mwendo wa 5G usajili beki.. Huyu itakua ngumu kutua maana mpaka muda huu Marseille hawajapata replacement.. Pazuri ikishidikana hii dili waimalize mwezi wa sita aisee.. Haya maisha kubahatisha MF kama beki sio kabisa..Sawa mkuu ahsante kwa maelezo mazuri sana
Kuna muda Pep aliwai ulizwa hili swali kwamba inakua aje Mahrez muda mwingi yupo benchi nk huku pia price tag yake ikiwa juu haswa... Pep akajibu timu inachaguliwa mazoezini mchezaji anaejifua zaidi kuelewa majukumu yake uwanjani ndio huyo huyo atapata kucheza zaidi..Makocha wanajua zaidi kuliko sisi but natamani kujua ni sababu zipi zinamfanya Kocha amuanzishe Origi ahead of Minamino.
MY TAKE: Iwapo Origi atafunga au kuassist goli hakutabatilisha niliyoyaandika.
Jones must have popped at JF to see how you dreamt of his key pass..HT 0-0
This game is crying for Mane's creativity. In his absence, the closet could be Jones!
Yupo 3 goals clear na Vardy majeruhi..Mo Salah anaweza chukua golden boot