Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Origi mpaka anaona aibu yeye mwenyewe.
Nafikiri jamaa anajitahidi sana sema ndo hivyo , nimeona striker's stuff kwenye game hii kutoka kwake ingawa anatakiwa kuwa makini zaidi anakosa umakini



If we were to disregard Firmino's Linking up play then i bet Origi might be well off than Firmino (Firmino mzito sana na ana mambo mengi tofauti na striker anavyokuwa)

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Napatwa na ndoto mbaya kuwa, tutakuwa kwenye hali gani kama Klopp atamaliza muda wake LFC.
 
Huyu Origi ni changamoto kubwa. Afadhali hiyo nafasi acheze hata OX kuliko hicho kivuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom