Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Liverpool players rating vs Westham :

Alisson (6)
Alexander-Arnold (7)
Henderson (7),
Phillips (7),
Robertson (6),
Milner (6), Thiago (7)
Wijnaldum (7),
Salah (9),
Shaqiri (7),
Origi (6).

Subs: Jones (7), Firmino (7), Oxlade-Chamberlain (7)

Man of the Match: Mohamed Salah

YNWA
Naomba nipingane na ewew kwa viwango walivyoonesha Henderson na shakir Leo nadhani hawastahili kupata 7 kwa kweli..tunaweza kupinga kwa mapenzi tu binafsi Ila kwa yyt anaependa mpira na sio shabiki lazima atakubali huyu Henderson anaipigania Sana Liverpool,japo Hana uwezo wa gerrad Wala Messi Ila Ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wanaochipukia.

Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
 
Robertson mechi ya pili hiii ha click vizuri
Why kocha hampumzishi!?labda uchovu..
Kweli na Tsimikas amepona sasa yupo fit asilimia 100 ngoja tuone vs Rejuvenated Seagulls kama atampuzisha ili kumpa recovery kwa ajili ya Manchester City na awe fit kwa UCL clash dhidi ya Red Bull..

YNWA
 
Naomba nipingane na ewew kwa viwango walivyoonesha Henderson na shakir Leo nadhani hawastahili kupata 7 kwa kweli..tunaweza kupinga kwa mapenzi tu binafsi Ila kwa yyt anaependa mpira na sio shabiki lazima atakubali huyu Henderson anaipigania Sana Liverpool,japo Hana uwezo wa gerrad Wala Messi Ila Ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wanaochipukia.

Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
Mkuu sio mimi hao ni Sky Sports...

YNWA
 
Hivi hizi rating huwa zinatokana na nini?
Mkuu tembelea website ya Whoscored na Opta kule wameelezea kwa kina wanavyopata hizi data ama rating za mchezaji...

Sana sana wanaangalia mambo mengi kwa kulingana na position ya mchezaji husika kwa mfano kuna blocks, aerial prowess, completed passes, big chance created, successful dribble, position awareness nk

YNWA
 
Spurs kapigwa na next match anakutana na Chelsea...

Spurs sasa anagombea top four..

Title zimebaki timu 3 Tu..
Soon tutabaki Sisi na city
Mkuu hawa Brighton hua sio watu wazuri aisee... Yaani i hope Klopp wont gamble kupanga kikosi tukikutana nao..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom