Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nat Philips ni mwisho wa matatizo. Antonio hapumui leo
Dogo hana bwebwe anafuata defending basic rules... Kucheza Ujeremani kumemkuza kiasi fulani ukimlinganisha na Rys..

Nats msimu huu amecheza mechi 5 na tumeshinda mechi 3 huku tukitoka sare mechi 2..hajapoteza mechi huyu dogo.

Jana stat zake zipo hivi.. According to WhoScored, Phillips had a pass accuracy of 84.2%, won four headers, took 84 touches, attempted one dribble, and made one tackle and four clearances.

Ana miaka 23 hivyo ana umri wa kumfanya kua bora zaidi especially kwenye kufunga mipira ya kichwa, pasi za mbali za mwisho nk..

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Hapana ni smart business, unajuwa sio kwamba hatuna defenders ila wameumia siku watarudi na kina Phillips vijana wanakuja vizuri hii ni kama backup. sasa huwezi kwenda kununua defender wa Million 50 huko kesho unamweka bench. kumbuka hata Robertson tulivyomchukuwa Mil 10 alikuwa kama anakuja kusaidia tu toka bench na watu walibeza lakini leo yuko wapi. mimi nadhani biashara nzuri million 2 mpandishe thamani kesho watu watasema daa million 2 tu walimpata kama leo wanasema mil 10 bei rahisi kwa Rob.

In klopp we trust.
 
Hapana ni smart business, unajuwa sio kwamba hatuna defenders ila wameumia siku watarudi na kina Phillips vijana wanakuja vizuri hii ni kama backup. sasa huwezi kwenda kununua defender wa Million 50 huko kesho unamweka bench. kumbuka hata Robertson tulivyomchukuwa Mil 10 alikuwa kama anakuja kusaidia tu toka bench na watu walibeza lakini leo yuko wapi. mimi nadhani biashara nzuri million 2 mpandishe thamani kesho watu watasema daa million 2 tu walimpata kama leo wanasema mil 10 bei rahisi kwa Rob.
Hapo sepp van de berg anaenda kwao kwa mkopo part of this deal
 
Mufungwe leo, ili muendelee kushuka kuelekea chini

Kwa sasa timu yako haina uwezo wa kuchukua point 3,ni mwendo wa draw tu. Mkijitahidi ni sare.mechi ijayo na southampton hiyo ni sare hamtashidnda hiyo mechi.ndio mlichobakiza kwa sasa kuombea mabaya wengine.
 
Marseille would need to find a replacement for Liverpool to seal the Caleta-Car deal [@_pauljoyce]
 
Ni kweli lakini mimi ukirudi katika michango yangu nimekuwa naamini anapita kipindi kigumu tu na sio yeye wachezaji wote.
Lakini siku game itakapomkataa Kuna Washabiki hapa ndiyo watakapomkataa na kusema Auzwe kama walivyosema mechi 6 zilizopita wakati Timu nzima hakuna aliyekuwa anafunga.
 
Hapana ni smart business, unajuwa sio kwamba hatuna defenders ila wameumia siku watarudi na kina Phillips vijana wanakuja vizuri hii ni kama backup. sasa huwezi kwenda kununua defender wa Million 50 huko kesho unamweka bench. kumbuka hata Robertson tulivyomchukuwa Mil 10 alikuwa kama anakuja kusaidia tu toka bench na watu walibeza lakini leo yuko wapi. mimi nadhani biashara nzuri million 2 mpandishe thamani kesho watu watasema daa million 2 tu walimpata kama leo wanasema mil 10 bei rahisi kwa Rob.

Kuhusu Watu kubeza Usajili wa Robertson Kiongozi naomba Ufute Kauli yako.
Mimi nina Ushahidi wa 100% kuwa hakukuwa na Mshabiki wa Liverpool yoyote aliyejua kuhusu usajili wa Robertson, sote tulikuja kumuona uwanjani tu na hatukujua kasajiliwa lini! Hivyo hakuna aliyepata nafasi ya kubeza.
Na kwa bahati nzuri game yake ya mwanzo alicheza uzuri sana ndiyo hapa tukaanza kufatilia kasajiliwa lini na alitokea Timu gani. Kama nasema uongo nakubali kusahihishwa.

Hizi kauli za kuwa tulibeza usajili wa Robertson zilianzishwa na baadhi ya Watu kwa lengo la kuwa Waonekane wapo Up to date kwenye taarifa hivyo wao walipata mapema taarifa za kusajiliwa Robertson jambo ambalo sio sahihi.
 
Kuna muda Pep aliwai ulizwa hili swali kwamba inakua aje Mahrez muda mwingi yupo benchi nk huku pia price tag yake ikiwa juu haswa... Pep akajibu timu inachaguliwa mazoezini mchezaji anaejifua zaidi kuelewa majukumu yake uwanjani ndio huyo huyo atapata kucheza zaidi..

Kwa kweli nilimwelewa Pep hivyo pengine kijana wetu Taikumi nae kama Mahrez aisee..

YNWA

Dah! Lakini kwa Origi hata huko Mazoezini anaweza kuwa Mvivu
 
Nyie shindeni match zenu maswala ya kuombea city tupoteze ,ni kujitekenya na kucheka wenyewe

Mtabaki mnakimbiza upepo tu ....


Next burnely ,tunampiga goli tano ,then tunakuja hapo anfield .

Ndio mtajua kuwa kumfunga spurs na westham sio kigezo cha kumpiga city hahaaa...


Mnakumbuka zile goli tanoo ...mane akala umemee ,zinakujaaaaaaaa


Cityzen chairman

Hivi unajua kuwa Manure anafukuzana na wewe kwenye Ubingwa?
 
Dah! Lakini kwa Origi hata huko Mazoezini anaweza kuwa Mvivu
😂😂😂😂😂Basi dogo atakua kamtengeza mwenzie kibongobongo kila Klopp akitaka kuadika jina la Taikumi basi linatokea Origi...

Kama kweli hata mazoezini ni mvivu basi huyu Origi anachezesha kwa kutafutiwa soko na si kingine..

Taikumi awe mvumilivu atapata dakika za kutosha msimu ujao kwani Shaqir, Origi watakua wameshasepa..

YNWA
 
Mkuu tembelea website ya Whoscored na Opta kule wameelezea kwa kina wanavyopata hizi data ama rating za mchezaji...

Sana sana wanaangalia mambo mengi kwa kulingana na position ya mchezaji husika kwa mfano kuna blocks, aerial prowess, completed passes, big chance created, successful dribble, position awareness nk

YNWA
Asante sana mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom