Pass accuracy is key to our play..
Lakini siku game itakapomkataa Kuna Washabiki hapa ndiyo watakapomkataa na kusema Auzwe kama walivyosema mechi 6 zilizopita wakati Timu nzima hakuna aliyekuwa anafunga.
This is really awesome hopefully its can bo done ASAP..
Liverpool’s chances of signing Ozan Kabak by the end of today appear to be growing larger and larger.
Naomba kufuta kauli ya kubeza labda ningetumia neno kuwa hatukuchukulia uzito kama usajili mzuri tilidharau na mimi mmoja wapo niliona kama tunaongeza number halafu mbona mtu kama hajulikani. Ni kweli hata mimi sikumchukulia kama atakuwa kama leo hii hata media za majuu ilikuwa kama usajili tu wakuja kuja back up tu.Kuhusu Watu kubeza Usajili wa Robertson Kiongozi naomba Ufute Kauli yako.
Mimi nina Ushahidi wa 100% kuwa hakukuwa na Mshabiki wa Liverpool yoyote aliyejua kuhusu usajili wa Robertson, sote tulikuja kumuona uwanjani tu na hatukujua kasajiliwa lini! Hivyo hakuna aliyepata nafasi ya kubeza.
Na kwa bahati nzuri game yake ya mwanzo alicheza uzuri sana ndiyo hapa tukaanza kufatilia kasajiliwa lini na alitokea Timu gani. Kama nasema uongo nakubali kusahihishwa.
Hizi kauli za kuwa tulibeza usajili wa Robertson zilianzishwa na baadhi ya Watu kwa lengo la kuwa Waonekane wapo Up to date kwenye taarifa hivyo wao walipata mapema taarifa za kusajiliwa Robertson jambo ambalo sio sahihi.
Tena aje leo leoKABLAK SPOTTED AT SCHALKE MEDICAL CENTRE
In the last few minutes, our colleagues at Sky Germany have spotted Ozan Kabak arriving at Schalke’s medical centre in Gelsenkirchen.
He is greeted by a member of Schalke’s medical team. The player is not injured so it is presumed that he is about to undergo a medical ahead of move to Liverpool.
Ni mwendo wa 5G medical huko huko kwao...
YNWA
Sijajua ukitokea Ujeremani kama unaingia karantini ama kuna upedeleo fulani maana niliona Kocha wa Les Blues fasta aliingia kazini hakukaa karantini..Tena aje leo leo
Mpaka sasa Pep upara unaongezeka kwa kasi maana hivi defensi ya kuungaunga tupo top 3 je tukiwa kamili itakua aje..
HahahahahahHapa kwa Pep hapa mechi yetu ya Jumapili itatoa majibu.
Msimu ule tulimwacha points 7, akazipunguza kwa kutufunga. Akabeba ubingwa kwa tofauti ya point 1 tu.
Tunatakiwa kufanya kama alivyofanya. Tumfunge kwanza.
Nat abaki tuEndapo Edwards atafanikiwa kuwanasa hawa mabeki walipo kwenye pipe line basi upo uwezekano mkubwa sana wawili kati ya hawa Matip, Rys, Nats, Gomez, Neco Juni 2021 wakauzwa..
Muda utasema..
FSG kwa kubana matumizi ndio wenyewe hivyo sioni kikosi kikiwa kipana hivi pale nyuma..
YNWA