Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Dua la kuku. Sisi sio wale wanaoshindwa kuzifunga timu zinazofanya vizuri. Baada ya dakika 90 tutakuwa tunakupumulia kisogoni
Malizana nao kwanza jamaa hao na nyundo yao.
 
Without Mane in the side tonight, I can't see how we can break down this low lying defense kwa kweli.
 
Nimeona pia mashabiki wa 🛠 wanasema tuwape Origi huku Diop akihamie kwetu..

Kwa Origi bora wange negotiate kumchukua Traore huku FSG wakitoa na ela kiasi.. Traore value yake imeshuka mpaka £40m kutoka £100m ya mwaka jana kipindi alikua fire...

Saiss kutua Anfield watoe ela tu sio kumtoa Origi.. Naona baada ya ile dili la Jota huku FSG wakimtoa Hoever kama advance payment wamenogewa.. Origi atumike kumpata straika June 2021 maana sioni mashabiki wakirejea viwanjani hivi karibuni na hawa FSG wataedelea kulia noki hawa hata hii Juni sioni wakifanya usajili wa kueleweka..

YNWA

Origi kwasasa ndiyo Turufu yetu pekee ya kupata mchezaji kutoka Midtable Teams kwani tunaweza kumtumia kufanya swap
 
Makocha wanajua zaidi kuliko sisi but natamani kujua ni sababu zipi zinamfanya Kocha amuanzishe Origi ahead of Minamino.

MY TAKE: Iwapo Origi atafunga au kuassist goli hakutabatilisha niliyoyaandika.
 
Makocha wanajua zaidi kuliko sisi but natamani kujua ni sababu zipi zinamfanya Kocha amuanzishe Origi ahead of Minamino.

MY TAKE: Iwapo Origi atafunga au kuassist goli hakutabatilisha niliyoyaandika.
Kuegemea origi kufunga goli ni sawa na kutaraji radi kali wakati wa jua kali la kiangazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom