Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa united ajiandae kupangiwa kikosi zaidi ya alichopangiwa Villa. Villa alijifanya anachezesha under 23 alishangaa kujikuta ana kwa ana na vibaba vya Klopp. Sasa safari hii uhakika wa ligi umeyeyuka huku yeye mwenyewe klopp akikiri hilo naona sasa ataanza kuwinda yale makombe aliyoyapachika jina la mickey mouse trophies.

United hiyo mechi wanakufa as wenyewe wameelekeza nguvu kwenye ligi.
Mpira haupo ivyo mkuu, kwaiyo United itaingia dhaifu?
Sunday is a big match, do or die
 
Mimi naona bado tunayo nafasi ya kuchukua league na bado tuna kikosi kizuri sana ila kuna siku mpira unakataa
 
1.Ukiacha kuwa front 3 yetu Imechoka baada ya KUCHEZA 3 year on pick. They feel hakuna kipya wa nahitaji. Ndo maana JOTA alikuwa the best get away yetu... Sema ndo hivyo kisocho riziki hakiliki... AKAUMIA.
2. Midfield yetu Ina miss service za Fabinho na Keita hawa watu hasa keita a najua jinsi ya kuzifungua beki ngumu au timu inapaki basi kama Burnley. Tiago I don't about you all but kwangu mimi bado nitasimamia hili SIJAWAHI ELEWA WHY TULIMNUNUA ukiacha sifa anazopewa za sijui pasi 6 zimefika kwa mtu .
3. Our full backs hawana idea mpya its not kwamba wamekuwa so bad no it's like Wana chip kichwani haijawa upgrade maana wanafanya kitu ambacho hakuna matunda tena na tena. U know Burnley Wana wachezaji warefu why unalzimisha crosses while u don't have big carrol au big crouch. Mane na firminho can fight a ball in the air with those guys. Then only way ni penetration passes ambazo sijaziona kwa huyo THIAGO (still I don't know why we bought him).
4. We miss van dyk and I miss JOE GOMES (ingawa watu wanampa sticks za kutosha but I miss him at the back)
5. Klopp is a good coach but arrogant ( hata watu wakipaform vibaya bado huwaacha uwanjani. Plus hana plan B ukiacha attack kwa kutumia full backs)
6. Mane and Salah Wako too selfish now mpk Wana cost matokeoya timu . Vs United kama wasingekuwa wa natafuta individual pride basi tungekuwa 2 nil by half time.
NI MAWAZO TU WASHKAJI.... NI MATAZAMO TU.
Am so depressed right. Imagine United wabebe la 21. Nilijua mwaka huu tunawafikia la 20 but hali si hali maana next games ni VS TOTTENHAM VS WEST HAM VS CITY. tusio angalia tutajikuta tuko nafasi ya 9 come February

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool HALISI haya yote tuchukulie kama sehemu ya matokeo ya mpira,tumepoteza na sasa tunajipanga kwa mechi zijazo!
Waache Liverpool MASLAHI waendelee kuongea vibaya kuhusu team,sisi tuzidi kishikamana.
In Klopp we believe
Kila game nikujipanga Game ya tano sasa tuna matokeo mabaya kwangu naona mbele nipagumu zaidi tusipobadilika/kusajili ni wazi hata top 4 hatupati
 
Mkuu mbona hata nafasi zikipatikana bado hawa jamaa wanashindwa ku score? Imagin jana wote wamepata nafasi wamezichezea,

Mazafanta, SISI NI LIVERPOOL HALISI, tuzidi kuiombea team, tuzidi kushikamana, In Klop and Hendo WE TRUST
Mkuu hua hawa vijana wetu wapo vizuri kwenye quick attack sio hii ya kusubiri ukuta umeshajengwa aafu tuanze mashambulizi la hasha... Ipo hivi kikosi kikiwa kamili tunakua deadly bila mpira maana hua tunausaka kama dhahabu na pindi ukipatikaana kule kuke half ya upinzani tunaanza mashambulizi fasta kabla timu pinzani hawajajipanga defence formation yao.. Hii ndio our best formation tangu 2018 henceforth... Ili hilo lafanikiwe lazima uwe na DM wa uhakika ili kuwapa nafasi Robo na TAA kubaki half ya upinzani kusudi wasaidie kushambulia muda huo Salah Mane Firmino wanakua ndani ya 18 ya upinzani wakisubiri zile juicy pass za TAA ama Robbo na kwa vile upinzani wanakua stretched hawana muda wa kujipanga na huku pia Hendo Gini wanakua very near 18 ya upinzani to add the numbers and extend width of the pitch kuwa stretch mabeki wa upinzani hapo magoli yanakua mengii mnooo...

Naona wachezaji wetu wa zamani wanasema pia Thiago is slow to release the passee forward ana hold sana mpira...

Confidence is low and i mean very low.. They say form is temporary and class is permanent.... Well Klopp take us back to Disney come Sunday...

YNWA
 
Umeniacha hoi hapo kwenye '.... na kuleta makombe mengi Anfield'

Tatizo lingekua beki ingekua mnashinda ila hamuwezi kupata clean sheet. Kushindwa kuscore siyo tatizo la beki ni forward.
Mashambulizi yapo ndugu ila ndio hayana macho wala miguu na yanapotua kwa vijana aidha wapige nje ama kwa kipa...

Fahamu winning is addictive inakupa ma confidence ya kutosha...

Losing is addictive pia its drain you na kukosa kujiamini hasa pale when chances arise...

Klopp has been around for long kujua how to survive this kind of mess na hii ndio ita define this season outcome...

Tatizo la beki ni kwamba hatu hold tena highline kama zamani kwa vile most of the games this season beki sio kamilifu.. Hatuna mabeki wa hio highline Fabinho hayupo quick.. Jana kazi ya Matip imeonekana defense wise leading the guys from the game may he get better..

YNWA
 
The last time Liverpool won a game was against this kids
FB_IMG_1611301094725.jpg
 
Hadi leo hii ni siku ya 21 toka dirisha la usajili lifunguliwe mabeki wote wako wodini lakini tumelizika tu na kunyamaza kimya kwa sababu Fabby na Hendo wapo, hahahahahah matokeo yake stability ya timu inakosekana kabisa mpaka manure wanatoka na point Anfield, haya ni maajabu makubwa sana
Kwa hiyo mngenunua mabeki ndo mngeshinda kubali team yenu yote imechoka
 
Kila siku si munaambiwa humu kua Sera yenu ni kuuza na kununua.
Bila kuuza mchezaji hamununui mchezaji hapo.

Timu ya kibahili kinoma, yani hata ukinywa bia unaulizwa "umepata wapi pesa"?.
Haiwezekani timu mabeki wote wako wodini halafu kusajili kimya kana kwamba pesa hatuna
 
Mpira haupo ivyo mkuu, kwaiyo United itaingia dhaifu?
Sunday is a big match, do or die
The reason Klopp alijinasibu hana muda wa kugombea trophies zaidi ya ucl na ligi ni kwakua hana kikosi kipana. Sasa muda huu kashaona ligi hana nafasi kubwa kwanini asiweke mazingira ya FA vizuri?

United yupo namba moja na anahitaji kuongeza gape la point. Iwe iwavyo ataingiza kikosi kama walichoingiza Villa ila liva ataingiza kikosi zaidi ya alichoingiza siku anacheza na Villa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom