Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nadhani ile ahadi yangu imetimia, tena imetimia kabla muda wake.

Mwezi wapili bado tayari muko nafasi ya 4, mpaka mwezi wa pili mutakua mushafika kwenye nafasi 7.
 
Eti Liverpool hana nafasi kubwa? Acha kuwadanganya watu,round ya kwanza wengine bado hata wajamalizia mechi zao .eti liverpool wameona hawana nafasi acha kutusemea sisi tunaamini tuna nafasi kubwa sana maana huko tunapoenda ndio wachezaji wetu wote watakuwa wamerudi klopp atakuwa anachagua tu aanze nani.

Jua kutofautisha kati ya kuongoza ligi na kuwa bingwa.

Liverpool inasifa zote za kuwa bingwa mpaka sasa round ya kwanza imeisha amepoteza mechi 3 tu.
Boss kupoteza games 3 inatosha kufanya ujiamini ni fair ila unajua kuna timu haikufungwa hata mechi moja na haikuchukua kombe?

Trent baada ya majeruhi amekua siyo kama wakati msimu unaanza, majeruhi hubadilisha attitude ya mchezaji. Upo sure watakaorudi watakua same players?

Kikosi chenu kina nafasi ya ubingwa? On paper yeah. So is Chelsea and City. Arsenal tunapigwa kushoto, kulia na kati ila ukiangalia on paper unasema hii timu haikustahili kupigwa na Burnley.

Am sure utazidi kua logical kadri muda unavyoenda.
 
Castr yupo vizuri lakini muda mwengine anajichanganya.
Anashindwa kutofautisha Uwezo na Nafasi.

Bora angesema Liverpool haina uwezo wa kuchukua Ubingwa basi ni rahisi kudefend hoja zake! Lakini kusema haina nafasi hapa kapoteza.

Liverpool uwezo wa kuchukua Ubingwa kidogo inafikirisha lakini kuhusu nafasi ya kubeba ubingwa bado wanayo kwani Nafasi ni Mathematically.

Sasa hivi maneno mabaya yote tutaambiwa sisi .
 
Ukisikia kuaibika ndiyo huku 😅
Liverpool Halisi wenzangu munisamehe kwa hili.

Hivi yule Mchezaji wetu pendwa Captain bora wa muda wote tuliyelazimishwa tuamini kuwa ndiye aliyetupa Makombe kwa kuibeba Timu kwa Mabega yake sasahivi yupo wapi kwenye kipindi hichi kigumu? 😂

Si atuvuushe tu skipper wetu! Tuvushe Hendo tuvusheee 🎶🎵🎶🎶

Ilikuwa mikelele mingi Hendo katupa Makombe sasa tushapoteana watu Wanalia na VVD, GOMEZ na JOTA hakuna anayemtaja Captain.

Watakaporudi wenye Timu tukaanza kushinda misifa itarudi tena kwa Hendo.

Ukisikia kuwa Exposed ndiyo huku! Sasa imeshajuilikana ni kina nani ndiyo Waliokuwa wanaibeba Timu.

Captain alizoea mbeleko wa kina VVD, FABINHO, SALAH, MANE, TAA, ROBBO na BOBBY, sasa mbeleko umekatika kawa kama Saidi Ndemla tu.
 
Me nadhani mechi kati ya Manchester United Vs Liverpool ni mechi ya kulinda heshima haijalishi ni michuano gani.

Sitegemei Sorskjaer kuanzisha kikosi B.
Yani livakuku akiweka ugoko tunaweka chuma.
Sasa united ajiandae kupangiwa kikosi zaidi ya alichopangiwa Villa. Villa alijifanya anachezesha under 23 alishangaa kujikuta ana kwa ana na vibaba vya Klopp. Sasa safari hii uhakika wa ligi umeyeyuka huku yeye mwenyewe klopp akikiri hilo naona sasa ataanza kuwinda yale makombe aliyoyapachika jina la mickey mouse trophies.

United hiyo mechi wanakufa as wenyewe wameelekeza nguvu kwenye ligi.
 
insta_2491809632316013794.jpeg
 
Castr yupo vizuri lakini muda mwengine anajichanganya.
Anashindwa kutofautisha Uwezo na Nafasi.

Bora angesema Liverpool haina uwezo wa kuchukua Ubingwa basi ni rahisi kudefend hoja zake! Lakini kusema haina nafasi hapa kapoteza.

Liverpool uwezo wa kuchukua Ubingwa kidogo inafikirisha lakini kuhusu nafasi ya kubeba ubingwa bado wanayo kwani Nafasi ni Mathematically.
Ila hamna mahali nimesema liva haina uwezo wala nafasi hiyo ila nimesema Klopp anaandaa mazingira ya FA. Na hamna nafasi kubwa as gepu linavumilika. Plus Jana Klopp kasema liva haina kikosi cha kugombea trophy.
 
Me nadhani mechi kati ya Manchester United Vs Liverpool ni mechi ya kulinda heshima haijalishi ni michuano gani.

Sitegemei Sorskjaer kuanzisha kikosi B.
Yani livakuku akiweka ugoko tunaweka chuma.
Hatoweka kikosi B ila unaweza kuta De Beek, Ighalo na James wanaanza.
 
Tukumbushe ni timu gani hiyo haikuchukuwa ubingwa pamoja na kumaliza msimu Bila kufungwa
Boss kupoteza games 3 inatosha kufanya ujiamini ni fair ila unajua kuna timu haikufungwa hata mechi moja na haikuchukua kombe?

Trent baada ya majeruhi amekua siyo kama wakati msimu unaanza, majeruhi hubadilisha attitude ya mchezaji. Upo sure watakaorudi watakua same players?

Kikosi chenu kina nafasi ya ubingwa? On paper yeah. So is Chelsea and City. Arsenal tunapigwa kushoto, kulia na kati ila ukiangalia on paper unasema hii timu haikustahili kupigwa na Burnley.

Am sure utazidi kua logical kadri muda unavyoenda.
 
Tukumbushe ni timu gani hiyo haikuchukuwa ubingwa pamoja na kumaliza msimu Bila kufungwa
Vitu vingine vikisemwa unahisi kama vimetungwa eeh?

Anyway kuna Perugia, Benfica na Spartak Sofia hawakupoteza hata mechi moja na hawakunyanyua kombe.

Rangers walipoteza game moja tu na hawakuchukua kombe.

Umeridhika?
 
Arsenal 2004


The 2003–04 FA Premier League was the 12th season of the Premier League. Arsenal were the champions and Chelsea, who had spent heavily throughout the season, were the runners up. Arsenal ended the season without a single defeat – the first team ever to do so in a 38-game league season and the second team overa
 
Kumbe unaongelea ligi za kawaida nilijuwa Top five leagues
Vitu vingine vikisemwa unahisi kama vimetungwa eeh?

Anyway kuna Perugia, Benfica na Spartak Sofia hawakupoteza hata mechi moja na hawakunyanyua kombe.

Rangers walipoteza game moja tu na hawakuchukua kombe.

Umeridhika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom