Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp ni wakati sahihi ahame kutoka hi 4 3 3 yake...

Utamsikia Klopp mara ooh Barnes alitakiwa apewe kadi nyekundu...

Hapa asitafute mchawi akimbie ofisini kwa Edwards wamletee namba 9 wa ukweli... Kama chenji ipo alete na AM mmoja wa ukweli maana ninavyoona huyu Thiago pass zake sio zile za mwisho ama pili kwenda mwisho...

Big up kwa fellow Kop Sean Dyche kushinda hii gemu... Proper game plan.. Relaxed and with a mission...

Have said so many times hatuna high speed to move the ball with accuracy when its matters..

Sasa jamaa zangu tunapambana kubaki BIG four na hali tete sana mechi 5 EPL bila kufunga sio bahati mbaya hii...

YNWA
 
Klopp ni wakati sahihi ahame kutoka hi 4 3 3 yake...

Utamsikia Klopp mara ooh Barnes alitakiwa apewe kadi nyekundu...

Hapa asitafute mchawi akimbie ofisini kwa Edwards wamletee namba 9 wa ukweli... Kama chenji ipo alete na AM mmoja wa ukweli maana ninavyoona huyu Thiago pass zake sio zile za mwisho ama pili kwenda mwisho...

Big up kwa fellow Kop Sean Dyche kushinda hii gemu... Proper game plan.. Relaxed and with a mission...

Have said so many times hatuna high speed to move the ball with accuracy when its matters..

Sasa jamaa zangu tunapambana kubaki BIG four na hali tete sana mechi 5 EPL bila kufunga sio bahati mbaya hii...

YNWA
Hahahahahahahahah Man man told you Man , Hatuna timu ya ku challenge Title wala Top 4 .
 
Haiwezekani timu mabeki wote wako wodini halafu kusajili kimya kana kwamba pesa hatuna
Mkuu naona shinda kuu sio beki kwa sasa aisee pale mbele vijana hawasomeki hawapo clinical as before...

Hii ni mbaya kwetu kwani hata bei zitaporomoka mno...

Sio ajabu ndio maana Klopp anasubiri simu ya Wolverhampton kuafiki kuuza Traore maana naona hawa wa sasa wamechuja...

Apambane January hii aidha ampate beki mmoja na aidha Traore ama Viscious wa Real Madrid kwa mkopo...

Bila UCL ndugu zangu hawa wachezaji wetu wanaodoka kwani wamiliki wetu ni supa glue watawashusha mishahara na bonus pia...

YNWA
 
Klopp ni wakati sahihi ahame kutoka hi 4 3 3 yake...

Utamsikia Klopp mara ooh Barnes alitakiwa apewe kadi nyekundu...

Hapa asitafute mchawi akimbie ofisini kwa Edwards wamletee namba 9 wa ukweli... Kama chenji ipo alete na AM mmoja wa ukweli maana ninavyoona huyu Thiago pass zake sio zile za mwisho ama pili kwenda mwisho...

Big up kwa fellow Kop Sean Dyche kushinda hii gemu... Proper game plan.. Relaxed and with a mission...

Have said so many times hatuna high speed to move the ball with accuracy when its matters..

Sasa jamaa zangu tunapambana kubaki BIG four na hali tete sana mechi 5 EPL bila kufunga sio bahati mbaya hii...

YNWA
Mkuu wewe ni shabiki wa ukweli,the writting was on the wall.
Poleni sana,hii sio inshu ya kufix kwa wachezaji wawili au watatu,mna miaka 30 mingine tena kunyanyua kwapa tena.
Komaeni na FA na carabao kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom