Nyt folks mzunguko wa kwanza ndio tumeumaliza leo.. Hali yetu tete sana hairidhishi.. Huwezi kua unataka ubingwa kwa kutoa sare ama vipigo kama hivi tena Anfield fortress...
Tunaanza mzunguko wa pili na mechi ngumu sana ugenini Tottenham...
Dirisha la usajili lipo wazi ngoja tusubiri sapraizi kwa kwenye klabu..
Jota anahitajika kuliko wakati wowote ule... Apone haraka aje kuwaonyesha wengine goli lilipo...
IInatisha kuwaza bila usajili huku tukitegemea majeruhi wapone ndio waje watusaidie yaani we need lady lucky this time...
Ufaransa Ligue One wamepata pigo kubwa kuna mkataba wa TV kampuni imeingia mitini hivyo hii itawaadhiri sana kimapato na vile hakuna mashabiki hivyo hata bei ya wachezaji wengi kule wapo kwa bei za ki covid aidha kwa mkopo ana kununua kabisa.. FSG wachangamke...
YNWA