Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Mi naona kwa kweli Klopp kuumia kwa VVD na Gomez kunamyima system flexibility...
Klopp anajua Fabinho CB hana pace hivyo hata tukishambulia lazima MF mmoja anakua pale kati kusaidia tusipigwe kaunta.. Tunashambulia kwa tahadhari kubwa sana maana huku nyuma kunakua sio salama kama zamani akiwepo DM Fabinho vijana walikua wanajua mr Sweeper atafanya yake hata tukilose possession Fabinho was there to kill any danger na hata Fabinho akipitwa kulikua na VVD who is good on one on one na hata nae akipitwa kuna Allison who is also good on one on one muukize Lacazatte analijua hilo...
Kwa sasa hayo yote hayapo Klopp is torn between akumbali ku risk kama gemu ya Aston Villa ama asonge mbele na hii mentality ya sasa..
He is the gaffer he will find solution to this that he is paid all the chums to look for solutions not moaning here and there...
Our main threat kwenye kona ni VVD na Matip kwa mbali nako majeruhi yametupokonya...
TAA ipo shinda kwake they need bring to speed...
We stay put we have been worse than this... We will come back stronger
YNWA
We will come back stronger Mkuu.
In klopp we trust .

