Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Mkuu sisi na big timu,sio Mechi ngumu mkuu,sisi mechi zetu ngumu na timu za kushuka daraja.

Jota wamualakishe aisee.
Mkuu kwa sasa wapinzani wetu wameshatujulia... Namna ya kuzima magoli kwetu ni rahisi as ABCD kwanza kuhakiki space za kupiga klosi kwa TAA na Robbo hazipo na pia kuhakiki kuna lots of bodies in the final 3rd hivyo wanakaa wana relax wanatusubiri..

Timu zinajua ukiua threat ya TAA na Robbo hatuna jipya kwani muda mwingi magoli yetu hutokea pembeni na sio kati na hili gemu ya 5 sasa EPL limefanikiwa mno na mpaka sasa Klopp anakomaa na 4 3 3 which works best penetrating using the flanks either Right ama Left...

We are walking in a very thin line ndugu..

Hao unaosema sio mechi ngumu wapo wachache hivyo kuwafunga na kutoa sare ama kufungwo na hawa wengine ambao ndio wengi bila shaka hata Big 4 tuisahau...

YNWA
 
Mashabiki mshaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe? Imagine wachezaji wangekua wanachukuliana kama nyinyi hapa, kwamba kuna maslahi na halisi ingekua aibu.

Earlier kuna memba alisema haamini juu ya maombi katika mpira ila leo anaomba Mungu mshinde. Hamjashinda. Hauoni kwamba maombi siyo dawa katika mpira? I mean pengine timu za Italia zilitakiwa ziwe zinaiongoza dunia kama dawa ni maombi.

Dawa ni kubadili mbinu au kusajili. Tariq Lamptey, Achraf Hakimi, Alphonso Davies, Kieran Tierney, Matty Cash n.k au asajili wakina Draxler spesho for creating chances ambazo siku hizi timu inashindwa kuzicreate.

Dah! Wewe kweli mgeni hapa
 
Liverpool Technique hat has won us many accolades...

Long passing, movement, crossing and shooting
Screenshot_20210122_083856.jpg


1. A player in the centre circle starts the tactic – three forwards are high up the pitch

2. Put two wingbacks in the defending half of the pitch ready to move on the trigger of the player hitting a long pass

3. The player in the centre can pass long to the left or right or down the centre to the three attackers

4. The attackers and the attacking midfielders behind them move as the ball is received – the attacking team can cross the ball or shoot from distance

5. The defending team must get the ball into the other half of the pitch

Tunahitaji kurejea basics maana tunakoelekea panatisha..

YNWA
 
Kama Salah hafai, Bobby hafai, Origi vipi ndiye anayetufaa?
Munasemaje wadau Origi aendelee kupangwa?
mkuu tulizungumza sana hapa kwamba front 3 yetu basi wawili wauzwe abaki mmoja, tukasemwa hatuna uelewa!


ile timu ilipeak, haikua na maajabu mengine tena zaidi ya kushuka........,,,,,, no way lazima pale mbele wa2 waondoke waingie wapya
 
Mkuu kwa sasa wapinzani wetu wameshatujulia... Namna ya kuzima magoli kwetu ni rahisi as ABCD kwanza kuhakiki space za kupiga klosi kwa TAA na Robbo hazipo na pia kuhakiki kuna lots of bodies in the final 3rd hivyo wanakaa wana relax wanatusubiri..

Timu zinajua ukiua threat ya TAA na Robbo hatuna jipya kwani muda mwingi magoli yetu hutokea pembeni na sio kati na hili gemu ya 5 sasa EPL limefanikiwa mno na mpaka sasa Klopp anakomaa na 4 3 3 which works best penetrating using the flanks either Right ama Left...

We are walking in a very thin line ndugu..

Hao unaosema sio mechi ngumu wapo wachache hivyo kuwafunga na kutoa sare ama kufungwo na hawa wengine ambao ndio wengi bila shaka hata Big 4 tuisahau...

YNWA

Kabisa mkuu wameshatujulia ni mwendo wa kukaa nyuma tu.

Mkuu me naona TAA NA ROBERTSON Sio kwamba wanazuiwa tu hata wakipiga hayo majaro yao hawapigi vizuri,kwenye mechi ukiangalia crosses tunakuwa tumepiga nyingi ila ndio hivyo hazina macho.mechi ya jana crosses tumepiga 40,wao wamepiga 10 tu.

Na kwa sasa hatuna njia nyingine ya kufunga magoli maana kona hatuwezi magoli ya mbali Fabinho yuko nyuma huko,wala kuzuia kona hatuwezi.
 
kwanini tulienda dk 120 in the first place?....... mkuu mimi simtetei Adrian yule ni another karius yes, ila ukweli unabaki pale pale ile timu yetu yote ilifail big time!


kule spain wakishindwa hata shuti moja golini, yaani wakitoka SIFURI (zero kabisa)!...... Anfield ndani ya dk 90 za mchezo goli moja tu then tuseme tulikua bora?


over two legs hatukua bora ndio mana tukitolewa, tusijifiche kwa Adrian mkuu wangu!........ kama ni kutafuta upgrade ya Adrian sawa tutafute lkn hilo liwe baada ya ku-upgrade kule mbele na mido.....


tunahitaji wabunifu kwenye mido zaidi ya hendo na gini, tunahitaji striker muuaji akapambanie namba na kina firmino...... failure to do that next season tutakua hapa kumlaumu mbuzi wa kafara mwingine maana our darling lovren kaondoka
tulisema,,,,,,, tukatukanwa!........

tulitolewa na Atletico sio kwa sababu ya Adrian, the writting was on the wall.......
 
Tukumbaliane pamoja na forwards wetu kuwa na ukame ni shinda kubwa lakini shinda kubwa zaidi kwetu ni kuwakosa VVD na Gomez pale nyuma ili kum release Fabinho nafasi yake kunamyima Klopp flexibility ya mfumo wake aliokomaa nao na kuleta makombe mengi Anfield...

Last season wakati tunashinda gemu baada ya gemu hali ya mfumo uwanjani ilikua kama hivi hapa chini...

How we play..
When Liverpool push the full-backs high
We will all be in agreement that it has become a trend from this present Liverpool to build an attack from the back using the full strength of the full-back. When doing this, it is easy to see the team change into a 2-1-4-3 shape.

With the Reds pushing the full-backs high, it leaves them with an option of playing two against two or three against three and as dangerous as that may seem, Liverpool is always happy to play it and ready for the task.

In defensive areas, it gives them the power to smother the opposition in their final third, not allowing them to play out or cover more grounds.

This one often builds from the defensive triangle of the centre-backs and Fabinho(we miss him so much at DM).

When Liverpool progress with the ball
It is no more a secret that Liverpool’s build-up play is from the back, using the wing. It is a different outlook when they are progressing with the ball, however.

This is the time we see the full-backs join Gini, Wijnaldum, and Henderson in the middle after breaking the opponents’ press. In the same vein, Roberto Firminho(lost) then drops into the fabled half-space, where he loves to occupy, letting Mo Salah and Sadio Mane come narrow.

This 2-1-4-1-2 leaves Andy Robertson out of the show but also provides Liverpool with a wealth of attacking options.

When Liverpool dominates
Anyone who pays close attention would have seen this in play more than once. It is when Alexander-Arnold and Andy Robertson continue making the switch they usually do to wear the opposition out...

This is when they assume the 2-2-5-1 shape, constantly moving the ball across the line of five to mentally and physically exhaust the opposition.


Conclusion
Believing that the 4-3-3 formation is what Liverpool uses all the time is a far stretch and might be why Liverpool had remained unbeaten but then again, other teams might have known but haven’t found the mental capacity to play against such beautiful technicality but now new season we are caught pants down losing and draws lol sio poaa kabisaaa..

4 3 3 to work wonders like before we need a complete squad that is Allison, Robbo, VVD, Robbo, Gini, Hendo, Fabinho, Mane, Salah, Firmino... That means high intensity will be full throttle.. Lol hii msimu huu ngumu kumeza na haya majeruhiiii...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom