Hii situation tumepitia sana mkuu,so take it easy,Mkuu, utatu wa salah, mane na sadio haupo. Ama labda sijui kitu.

Kwenye kila msimu Timu zina kawaida ya kufika kipindi zikawa zinadrop points ambapo sisi mara nyingi ilikuwa ni Jan - Feb.
Sasa mara hii imetokea December, Sasa hawa wanaopiga kelele hapa itafika kipindi chao nao kudrop points tena kwenye kipindi kibaya zaidi cha round ya pili ambapo sisi tayari tutakuwa tumesharudia mchezoni hapo ndiyo watakapokimbia wote hapa.
Tupo pamoja mkuu,Luverpool HALISI nawasihi tuendelee kuwa karibu na team na tuepuke kutukana wachezaji na jopp la ufundi,tuwaachie Liverpool feki kazi hiyo!
Vijana wamechoka,wamecheza mechi nyingi sana lkn sasa tunapumzika na tunarudi baada ya weeks mbili!
Genius Klopp atarekebisha mambo
Hapa ndiyo inakuja ile kauli ya kuwa Klopp hana Plan B.
Klopp ni Kocha bora sana lakini with limited Plan ya only attacking by using Fullbacks.
Plan B ilikuwa iwe ni kuswitch from using Fullbacks to Midfielders! FBs zetu zinapopotea alikuwa atumie Midos kucreate nafasi using Center of the pitch hiyo ndiyo Plan B, but kwa Mido gani?
.Huna timu hiyo, Linghadinho aongeza mkataba wa 5yrsUmenza vizuri ila umeharibu hapo mwisho.
Sijui ni ushabiki ama vipi?
Labda ulitegemea nani awe juu ya msimamo ndio uamini anastahili?
Mkuu zile zama zime rudi.
Msimu huu away form inawaangushaView attachment 1668986
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
@PawMamaeh zako , wewe endelea kupambana na mapumbu huko nafasi za chini mbwa wewe
Humu atujavami, bali tumeliteka kabisaaa!Swala la muda tu wataondoka tu hao .tuna nafasi kubwa sana.bado tunasifa zote za kuwa bingwa.
Kelele zao hao mashabiki wa Manyumbu zisikutishe mkuu. Kuongoza hata ligi wajaongoza wanaleta kelele kama wamechukua ubingwa.
Suala la manchester united kupoteza mechi 8 msimu huu sahau.Hilo swala mkuu nalijua,ndio maana sina wasiwasi,ila jana kupoteza sijapenda maana niliona timu yetu tunapoteza kwenye draw tu sio kufungwa.
Kila timu ikifanya vibaya inapoteza kwa kufungwa sisi kupoteza ilikuwa draw.
Na uwakika game yetu pale anfield na Manyumbu tutawafunga.
Kwa hiyo Hao Manyumbu raundi ya kwanza watapoteza mechi 4.sasa raundi ya kwanza wamepoteza mechi 4 ya pili 4 tena? Kama msimu mzima kapoteza 8 .hakunaga bingwa wa Epl anapoteza mechi 8 Halafu anakuwa bingwa.raundi ya pili ndio ngumu sana wafungaji magoli magoli yanapungua.
Kwa navyoona city na sisi ndio tuko siriaz na ubingwa na ndio tunasifa zote mpaka sasa za kuwa bingwa.
Endelea kuvuta bangiNiwakumbushe tu, msimamo msimu huu utaishia hivi
MANCHESTER UNITED
EVATON
LIVERPOOL
CHELSEA
TOTENHAM
MANCHESTER CITY
Ukibisha nakupasua.
Kwa iyo Man City ndio atawapa Point hao kijingaSuala la manchester united kupoteza mechi 8 msimu huu sahau.
Alafu mbona unalazisha kua City yuko vizuri?
Kumbuka City ana viporo vigumu vitupu, Evaton na Aston Villa sio wakutoa points kijinga.
Kesho unakuja ghettoni nakupiga 3 bila kupumzika.Endelea kuvuta bangi
Huku unatumia smartphone
Kwa iyo Man City ndio atawapa Point hao kijinga
Man Utd fans are very stupid, empty headed
Ona Kama huyu, ni bonge la kilaza
Uko serious na ubingwa unatoa sare na brighton,newcastle na kufungwa na soton?Hilo swala mkuu nalijua,ndio maana sina wasiwasi,ila jana kupoteza sijapenda maana niliona timu yetu tunapoteza kwenye draw tu sio kufungwa.
Kila timu ikifanya vibaya inapoteza kwa kufungwa sisi kupoteza ilikuwa draw.
Na uwakika game yetu pale anfield na Manyumbu tutawafunga.
Kwa hiyo Hao Manyumbu raundi ya kwanza watapoteza mechi 4.sasa raundi ya kwanza wamepoteza mechi 4 ya pili 4 tena? Kama msimu mzima kapoteza 8 .hakunaga bingwa wa Epl anapoteza mechi 8 Halafu anakuwa bingwa.raundi ya pili ndio ngumu sana wafungaji magoli magoli yanapungua.
Kwa navyoona city na sisi ndio tuko siriaz na ubingwa na ndio tunasifa zote mpaka sasa za kuwa bingwa.
Na inaumiza, maana dogo ni moja ya nguzo za mashambulizi.
Walau front 3 ingekuwa clinical angerudi haraka kwenye kiwango, sasa jamaa zetu hata pasi chache wanazopewa wanazitumia vibaya.
Toka ligi imeanza, Liverpool alikuwa hajamaliza game bila goli, ila sasa game 2 mfululizo zimepita bila goli!
Ukiacha draw na kufungwa, swala linalonipeleka kwenye panic mode ni kumaliza game 2 mfululizo bila goli hata moja!
Hiyo taarifa niliiona subreddit ya Liverpool so nilidhani ni taarifa ngeni kwa humu ndani.We jamaa unabadilika badilika sana.
Yeyote aliyetupa kombe la UEFA + EPL ameshasamehewa kabla ya kukosea.
Hivyo tuachie TAA wetu.
Uko serious na ubingwa unatoa sare na brighton,newcastle na kufungwa na soton?
Hata Mourinho yupo serious na ubingwa sema sasa mipango inakataa,the same applies to United.