Kitoabu shida yako ndiyo hii.
City ana games mbili mkononi hizi games akishinda anaenda kua namba moja kwa tofauti ya points mbili.
Na nyinyi mna game moja nafikiri.
Tukiangalia rekodi za kuperform kwa man u na city ni ngumu kusema man u atakazana hapo alipo. Mashabiki mmemtukana kocha na kutaka atoke amekusanya points mnaanza kuhisi muda wa kombe ndiyo umefika, siyo kweli.
Ligi ya sasa kuanzia wa 11 akishinda games tatu mfululizo ana chansi ya kufika namba 6 akipoteza games 2 mfululizo anajikuta nafasi ya 15. Kuna siku nilikuambia hiyo nafasi ya pili kakaa, leicester, chelsea, villa, southampton, city, spurs na wote wametoka haitakua ajabu na man u akitoka.