Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hujakosea boss. Ngoja tuone mnavyochukua kombe
Fans tunakuwa na so much unrealistic mentalities.
Hata kama kimoyo moyo unaona pagumu, sauti unakuta inatoka tofauti.
Hujakosea boss. Ngoja tuone mnavyochukua kombe
Wachezaji walianza kulazimisha VAR isitumike utafikiri haikuwapa ubingwa msimu uliopita..Mashabiki wa livakuku mbona munalazisha ligi isimame?
Ulizieni kwa Arsenal fans, kwa Chelsea hamtapata chochote, maana misiba yao inashughulikiwa na manispaa, huwa wanakimbia misiba haoHatuna uzoefu na misiba, tunaulizia utaratibu mzuri kutoka kwa majirani wazoefu
Nitatofautiana na mtazamo wako kidogo, msimu uliopita timu zilikuwa sawa sawa na msimu huu, isipokuwa Liverpool alikuwa Bora Sana.
Mpaka game ya 17, Liverpool alikuwa ameshinda 16 na ametoa draw 1, points 49 hizo out of 51. Wanaomfatia walikuwa na points kama hizi tulizoko sasa hivi.
Katika mtazamo mwingine ambao nakuondoa kwenye watu wa mpira, ni kusema eti Klopp hana ufundi wowote isipokuwa anawakimbiza wachezaji. Huu ni mtazamo wa kishabiki au wa mbumbumbu wa mpira.
Unapigia mbuzi gita
TAA amepoteza mpira mara 38 kwenye dakika 77.
Paragraph ya mwisho ilibidi ni-apply uNgwaba.

Unakumbuka kuna posts zilizopita niliwahi kumgusia TAA mara kadhaa kuwa kashuka kiwango ambaye ndiye mtengenezaji nafasi wetu mkubwa?
Unalionaje hili? Coz Watu hawapendi kutaka kujua msingi wa Tatizo.
Sasa tuendelee kushuhudia between 0 to 2 on target kwa kila game.
Unakumbuka kuna posts zilizopita niliwahi kumgusia TAA mara kadhaa kuwa kashuka kiwango ambaye ndiye mtengenezaji nafasi wetu mkubwa?
Unalionaje hili? Coz Watu hawapendi kutaka kujua msingi wa Tatizo.
Sasa tuendelee kushuhudia between 0 to 2 on target kwa kila game.
Ukifanya analysis ya timu moja kwa game 17 za mwanzo last season na season hii, ni Manchester United peke yake ambaye anakuwa na +.
City anabaki alipo (assuming viporo vyake ameshinda)
1. Liverpool: 49 kwa 33: -16
2. Leicester: 39 kwa 29: -10
3. Manchester City: 35 kwa 35 (assuming viporo ni ushindi): 0
4. Chelsea: 29 kwa 26: -3
5. Spurs: 26 kwa 26: 0
6. Manchester United: 25 kwa 36 (kama akishinda kiporo chake): +11.
Doesn't this tell you something?
With that look, ni kwamba Liverpool amedrop sana.
Man Utd yuko on the massive plus. City yuko alipokuwa mwaka jana.
Ndo maana nikasema, bado timu ziko pale pale isipokuwa Liverpool kashuka sana.
Hili jukwaa naona tumevamiwa ila pamoja na yote bado tupo kwenye nafasi ya kupambana YNWA
Hasa game za ugenini.
Trent ni kweli baada ya kutoka majeruhi hajawa yule Trent tunayemfahamu, very unfortunate siyo mkabaji mzuri, kwa hiyo akikosa makali kwenye kushambulia anakuwa garbage.
Kuna muda nikawa natamani kipangwe kikosi cha maajabu, Milner akae namba 2, Trent apande juu wing ya kulia (acheze kama kiungo). Sasa wa kumweka benchi hapo ndo nikakosa.
Point ni kuona kama akipewa jukumu moja tu ataweza kurudisha makali yake kwenye kushambulia?
Swala la muda tu wataondoka tu hao .tuna nafasi kubwa sana.bado tunasifa zote za kuwa bingwa.
Kelele zao hao mashabiki wa Manyumbu zisikutishe mkuu. Kuongoza hata ligi wajaongoza wanaleta kelele kama wamechukua ubingwa.
TAA ni aina ya Wachezaji kama alivyokuwa Coutinho, akitoka injury inamchukua muda kugain his confidence.
Tofauti na Matip anatoka injury leo tena ya muda mrefu na anaperform vizuri tu.