Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
Umenza vizuri ila umeharibu hapo mwisho.
Sijui ni ushabiki ama vipi?
Labda ulitegemea nani awe juu ya msimamo ndio uamini anastahili?
Mkuu zile zama zime rudi.
 
Alex Ferguson alikuwa master wa hii kitu, hata kama timu inachukua ubingwa lazima asajili impactful players.

Kuchanganya walioshiba na wenye njaa. Sisi tuli-opt kuendelea na walioshiba tupu, tena Jota aliyeonekana kurudisha uhai tukamtumia isivyo ili tu asiwaguse watoto pendwa.

That day Jota alipoumia nilisema humu kwamba tutaikumbuka hii siku.
Painful experience... Kama klop is wise hii window inabidi azame sokoni bila hivyo anaweza kujikuta anafight top four maana kiuhalisia timu inahitaji revamp ya hali ya juu.

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa inaonesha haiwezekani.sijaona umuhimu wa kuingia na akili kama hizo kwenye msimu huu.
Klopp akumbali wanakwama mahala kuzidi kusema all is cool sio sahihi..

Shinda ipo we aint pressing and putting pressure to the opposition in the final third.. Hapo ndio penye tatizo...

We have left the basics hukoo and how tupo tupo...

We play high pressing as our main card making sure the opposition dont relax and attact us yaani tunawavuruga muda wote ila sasa haipo tena...


Nikiangalia sana naona hii shifting ya Fabby to defence has affected the whole equilibrium...

Muda utasema kama plan ndio hii ya kucheza ma MF beki tuwe tunaangalia mpira na maji ya baridi pembeni haha..

YNWA
 
Umenza vizuri ila umeharibu hapo mwisho.
Sijui ni ushabiki ama vipi?
Labda ulitegemea nani awe juu ya msimamo ndio uamini anastahili?
Mkuu zile zama zime rudi.
Kitoabu shida yako ndiyo hii.

City ana games mbili mkononi hizi games akishinda anaenda kua namba moja kwa tofauti ya points mbili.

Na nyinyi mna game moja nafikiri.

Tukiangalia rekodi za kuperform kwa man u na city ni ngumu kusema man u atakazana hapo alipo. Mashabiki mmemtukana kocha na kutaka atoke amekusanya points mnaanza kuhisi muda wa kombe ndiyo umefika, siyo kweli.

Ligi ya sasa kuanzia wa 11 akishinda games tatu mfululizo ana chansi ya kufika namba 6 akipoteza games 2 mfululizo anajikuta nafasi ya 15. Kuna siku nilikuambia hiyo nafasi ya pili kakaa, leicester, chelsea, villa, southampton, city, spurs na wote wametoka haitakua ajabu na man u akitoka.
 
Yaani ukiangalia mechi zote tulizotoka draw kuna mchango mkubwa sana wa marefa. Leo huyu pimbi kapotezea penalty 2 kabisa. Hata mtaalam wa VAR naye kapotezea, ingekuwa upande wa adui sasa!!
Wanampango wa kumpa United ubingwa maana mapenat yao si ya nchi hii
 
Hendo kokote anakopangwa binafsi naona sawa tu, huwa sioni impact yake uwanjani.

Nikiuliza washabiki wenzangu wananiambia kazi yake haiwezi kuonekana kwa macho ya kawaida, imebidi nikubali nisije kuonekana nina macho mabaya.

Problem yangu ni kutofanya additions, enzi za Fergie ilikuwa kikosi kikionekana kinaanza kuridhika analeta mtu mpya kuchangamsha. Sisi tumeamua kutulia.
Nadhani Klopp kwenye usajili post covid yupo vizuri ndugu addition ya Thiago na Jota bila kua tumeuza A team hata mmoja was superb move...

Tumekua disrupted na injury ya VVD, Gomez na Matip hii ni pigo kubwa sana na impact yake ndio hii unaloliona sasa hakuna tena pressing game kutoka kila sector matokeo yake we are being outplayed outclassed na timu ambazo hua na happy hunting grounds....

Manchester City walimwachie Kompany aafu akaumia Laporte na kilichowakuta hawatakisahau kwani Fernadinho alicheza kama Fabby makeshift CB na its didn't work kwa kweli... Sishangai na sisi tunafeli vimbaya sana kwani our HM hayupo tena amehamia CB.. Klopp wana nafasi sasa hili dirisha kusajili angalau beki mmoja ili iwe TAA Matip New Robbo.. Huku Fabby akirejea nafasi yake dictating play from his deep role...

YNWA
 
W
Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
Mkuu unahisi kwamba United kafikia hapo alipo kwa bahati mbaya?!!
 
Hadi game inaisha manager wa saton analia

Hakuamin kilicho tokea


Kuchukua Point 3 mbele ya Liverpool aliona Kama muujiza

Sisi City tunakuja kumbomoa Liverpool pale anfield

Hii Ni Kama manure atashindwa
Yule kocha ana ndoto ya kufundisha timu kubwa zaidi ya Southampton hivyo ushindi wake jana unazidi kupendezesha CV yake...

YNWA
 
W
Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
Mlivyochukua uefa wachawi tukasema hii timu inabidi isajili ili iwe fresh msimu ujao.

Klopp akasema hatasajili.

Timu ikachukua ligi. Wachawi tukarudia maneno tuliyorudia msimu uliopita.

Wakasajiliwa watu. Ila siyo mbadala wa trent na andrew. Klopp aliwaaminisha mashabiki kwamba yeye anadeal na makombe ya ligi na ucl, mengine siyo target, a plan to conceal ukweli kwamba hana kikosi kikubwa cha kutoa ushindani kwenye kila kombe.

Plan worked. liva ikifungwa fa au carabao mashabiki hawaoni tatizo, wanaita hizo trophy mickey mouse.

Maneno ya kutakiana mabaya ya misimu miwili nyuma yameanza kufanya kazi msimu huu. Trent ana workrate ndogo kuliko mchezaji yeyote kwa timu zote mbili kwa jana.

January hii hapa. Ili klopp aendelee na attacking fullbacks naamini anamuangalia lamptey na hakimi na anaona wanamfaa.

Liva inadrop points huku inacheza kwa kudominate, naamini baada ya goli la jana, wapo waliobeti live kwamba liva itashinda, unaona shots, passes, shots, unaamini kuna moja litaingia now ngoje nibet live niseme mechi suluhu.

Over time hata dominating a game itakua a distant memory, timu za ucl haziachani sana possession na liva na hilo likihamia kwenye ligi basi hapo itakua ni kuishi kile kipindi cha kuanzia 2008 mpaka 2014.

Kuhusu man u kushika namba moja, inakua ni kama kumuona tembo juu ya mti, wote hatujui kafikaje ila tuna uhakika ataanguka.

Uzi hukimbiwa timu ikianza mabreka. Ngoja tuone.
Mkuu unahisi kwamba United kafikia hapo alipo kwa bahati mbaya?!!
 
Kitoabu shida yako ndiyo hii.

City ana games mbili mkononi hizi games akishinda anaenda kua namba moja kwa tofauti ya points mbili.

Na nyinyi mna game moja nafikiri.

Tukiangalia rekodi za kuperform kwa man u na city ni ngumu kusema man u atakazana hapo alipo. Mashabiki mmemtukana kocha na kutaka atoke amekusanya points mnaanza kuhisi muda wa kombe ndiyo umefika, siyo kweli.

Ligi ya sasa kuanzia wa 11 akishinda games tatu mfululizo ana chansi ya kufika namba 6 akipoteza games 2 mfululizo anajikuta nafasi ya 15. Kuna siku nilikuambia hiyo nafasi ya pili kakaa, leicester, chelsea, villa, southampton, city, spurs na wote wametoka haitakua ajabu na man u akitoka.
Mkuu city hawezi kukaa juu kama akilingana idadi ya michezo na Utd.
Utd atakuwa juu kwa point moja. Nakusahihisha...angalia vizuri msimamo...city ana viporo viwili ukilinganisha na nyie (liver) ila kimoja ukilinganisha na Utd.

Piga hesabu vizuri!
 
Kuandika. Tu hujui.
Nijue kuandika kwani nipo kwenye usahili?
Alafu ulivyo mpuuzi, unanikosoa mimi na wewe unaandika utumbo.
Rudi usome sentesi yako uwone ulicho andika.
Chupi la mtumba.
 
Breaking news:
PM Boris to adress the nation at 1:30 PM UK time!
League ya EPL kusimamishwa sababu ya kuenea sana maambukizi ya corona?
Stay tuned
 
Most likely huu ubingwa akachukua Guardiola

Zifunge timu kubwa kwa ndogo sio ndogo tu ndio labda uchukue ubingwa

Msimu huu Spurs anawafunga nje ndani, Round ya pili Emirates stadium hamshindi ,Chelsea pia sidhani kama mtamfunga msimu huu

Guardiola hana team mkuu!
Liverpool atatetea ubingwa wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom