Martinez msingewezana yule anataka kuwa golikipa namba moja vipi mngempiga benchi Allison?Bora umesema kaka
Hivi tulikwama wapi kumchukua yule Martinez aliekuwa arsenal mpka Aston villa wamemchukua?
duh dogo leo una raha sana inaonyesha ..hata mkeo leo baada ya miaka mingi umemnunulia kukuKwa raha gani mlizonazo hadi mnalala na kukoroma hivi?![]()
This man should pack his bags and Go
duh dogo leo una raha sana inaonyesha ..hata mkeo leo baada ya miaka mingi umemnunulia kuku
Sadio Mane ndio mkombozi pekee wa LFC nakumbuka kuna wakati alirudi Africa kwenye mashindano tulipoteza na kutoa draw mechi zote 6 mpaka aliporudiLakini huyu Allison mbona amekuwa mtu wa kuumia mara kwa mara nini shida, anatuzingua sasa. Ila mane ndie roho ya timu kwasasa ukweli ndio huo.
na mauno kama yote utampa leo mana umefurahi sana..hati ya nyumba utaweka jina lake ..infact utampa kila kitu
na mauno kama yote utampa leo mana umefurahi sana..hati ya nyumba utaweka jina lake ..infact utampa kila kitu
Marehemu walikuwa waimba kwaya hodari sanaNasoma post za watu naishia kucheka usiku huu na umeme hamna kumetulia
Leo utajua hujuiMy heart hurts so much
But I love this team so much
My love for this team is unexplainable
A deep love that even thousand page will fail to explain
YNWA
Lkn c aliwapa supa ☕Mkuu tatizo adrian uwezo udogo haiwezekani kila wakilenga goli unashindwa kudaka unabaki unaangalia mpira unaingia golini.
Allison anatakiwa awepo golini hapo,hata Aston Villa wasingekuwa wana piga mashuti hivyo maana wanajua golini yupo nani.
Huyo adriani wanajua kabisa hakuna golikipa hapo ni mwendo wa kulenga goli tu kitu imo.