The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,355
- 103,652
Kaa pembeni hujui lolote kuhusu Football.
Kaa pembeni hujui lolote kuhusu Football.
Ficha ukilaza wako unapojadili mambo na watu wenye akili zao kiazi wewe.
OkayFicha ukilaza wako unapojadili mambo na watu wenye akili zao kiazi wewe.
Ndio wale wale tu,hakuna tofauti.Vipi kwa city aliekulaga 6 na Monaco?
Au yeye aliitangaza vyema epl?
Mimi binafsi msimu huu UEFA ni add on kwangu.
Niko so excited na records tunazoweka EPL, especially if we manage to break ile 49 unbeaten run, tukimaliza ligi bila kufungwa nitakuwa kichaa nadhani.
Rekodi zao ugenini tia maji sana...Kashinda 2-0 na Juve akaenda pigwa 3-0 Turin
Atletico OUT
Hahahaha Salah huyu huyu wa kwetu au mwingine..Makocha nao ni binadam hakosi mapungufu kuna watu hawataki wakosolewe.
Tumebeba Minamino anasubiliwa afiti kwenye team tumemuacha Haland ambae ni tishio ulaya.
Sasa hivi tunatajiwa Timo ambae kwa mechi ya jana namuona ni mchezaji anaejitegega vizuri golini na kubebwa na mfumo nafasi anazo pata anafunga chache wener hamfikii Salah hata punje kwa hili hafai kuja.
Kwa nilivyo muona Sancho ni bunge lamchezaji mwenye kipaji huyu kikosi cha kwanza moja kwa moja kama mshabiki ukinambia nichague Sancho na Salah nachagua Sancho kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ila nyie nyumbu kule futuhi ndo mnawakilisha?Ndio wale wale tu,hakuna tofauti.
Mimi sio Nyumbu na siwezi kua nyumbu hata siku moja,nitake radhi mkuu.ila nyie nyumbu kule futuhi ndo mnawakilisha?
Futa kauli yako before too late! We are very close to 49.
Mimi EPL trophy tu inanitosha, nasubiri mechi 5 zilizosalia basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naamini Sancho akisimama nafasi ya Salah Liverpool anapata matokeo mazuri zaidi ya anayo pata Salah.Hahahaha Salah huyu huyu wa kwetu au mwingine..
Mkuu Sancho hizo level bado hajafika..
Timo pia usiangalie tu mechi ya jana ukamdiss...
YNWA
Kuhusu Timo hamzidi yeyote pale Liverpool labda kukaa kwenye njia za magoli anamzidi Salah lakini kupambania mpira Salah yupo juu sana kwakeHahahaha Salah huyu huyu wa kwetu au mwingine..
Mkuu Sancho hizo level bado hajafika..
Timo pia usiangalie tu mechi ya jana ukamdiss...
YNWA
Kabisa aisee there is no proper rhythm, no critical intensity, TAA crosses a bit off probably na hali ya hewa inachangia...
But we are Liverpool we make the impossible to be possible..
Klopp have plenty of time to sit down with the data guys, the coaching department, the players and analyse the situation we have here and get answers... That the Klopp I know...
YNWA
Makocha nao ni binadam hakosi mapungufu kuna watu hawataki wakosolewe.
Tumebeba Minamino anasubiliwa afiti kwenye team tumemuacha Haland ambae ni tishio ulaya.
Sasa hivi tunatajiwa Timo ambae kwa mechi ya jana namuona ni mchezaji anaejitegega vizuri golini na kubebwa na mfumo nafasi anazo pata anafunga chache wener hamfikii Salah hata punje kwa hili hafai kuja.
Kwa nilivyo muona Sancho ni bunge lamchezaji mwenye kipaji huyu kikosi cha kwanza moja kwa moja kama mshabiki ukinambia nichague Sancho na Salah nachagua Sancho kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aani watu wana mu under rate salah nowKiongozi nikuulize kaswali flani hivi! Maelezo yako ya performance ya Timo Werner yanatokana na kumuona kwenye game ya Jana tu?
Coz hata Messi kama kama utamfanyia tathmini kwenye game ya Anfield tuliyowalamba Barca goli 4 unaweza sema ni Molinga aliyekosa Kimo. Lakini uhalisia ni kwamba hata Shetani wanamuogopa awapo uwanjani.
