Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pamoja sana kop
Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.

Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu


Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL



Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam

Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi


Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja

Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama

Kutembelea magereza kwandugu zetu

Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima

Kufanya kazi zakijamii nakadhalika


Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote



Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania



Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA



YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nimeshindwa ku copy ile link ningeweka hapa kwa jukwaa watu waione hapa na ku join
Kwa Kop ambaye yupo tayari kuunga na Sisi katika kuadhimisha tukio hili la Kihistoria. Anicheki PM ili nimpe link ya group la Whatsapp ili tukashirikieni namna ya kuweza kufanikisha hili tukio.

NB: Week end hii tutaendelea na kikao na vile vile kuna Kop mwenzetu anaanda Proposal ataiwasilisha week end hii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi nikuulize kaswali flani hivi! Maelezo yako ya performance ya Timo Werner yanatokana na kumuona kwenye game ya Jana tu?
Coz hata Messi kama kama utamfanyia tathmini kwenye game ya Anfield tuliyowalamba Barca goli 4 unaweza sema ni Molinga aliyekosa Kimo. Lakini uhalisia ni kwamba hata Shetani wanamuogopa awapo uwanjani.
Nilikua nawaona ila nilikua siwazingatii ila baada ya kutajwa tajwa humu nikawazingatia hizi mechi za jana na juzi.

Mchezaji akiwa na kipaji hata mpira ukimkataa siku hiyo utajua tu kama huyu kunakitu anakusudia ila kinagoma.

Kwa mimi nilivyo muona ni mtu anaejua mpira unatakaje na kuufanyia kazi ila kipaji hana.

Kwa pale Liver hamuweki benchi yoyote labda kwenye sub ata anaza yeye kabla ya Origi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aani watu wana mu under rate salah now

Like serious

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaa mara nyingi ukipata cha kushiba unatamani na cha kubakisha.

Kumshusha ni kusema hafai lakini kumfananisha na aliemzidi si kumshusha labda sijaeleweka kusudio langu.

Bundasiliga Londosk kina werner wapo juu kwa sasa kuna anaekuja kwa kasi akiwapita tutasema Haland anajua zaidi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.

Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu


Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL



Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam

Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi


Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja

Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama

Kutembelea magereza kwandugu zetu

Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima

Kufanya kazi zakijamii nakadhalika


Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote



Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania



Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA



YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubingwa wa kihistoria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ukiwaangalia after game ya Atletico unawaona kabisa hata wao hawakuridhika kabisa, ukiachana na mpira kuwa ni game of mistakes bado sijaona kama Atletico ni tishio

Ngoja tuone hii game ya ligi jumatatu hali za wachezaji wetu zitakuaje
Kabisa Mkuu kukosa single shot on target sio jambo rahisi lazima wajiulize maswali...

Na hapo ni pazuri mno maana wataingia uwanjani kwa kazi moja tu ushindi..

YNWA
 
Mimi naamini Sancho akisimama nafasi ya Salah Liverpool anapata matokeo mazuri zaidi ya anayo pata Salah.
Ukimuweka Salah kule angepata pungufu ya alichopata Sancho pale kwa mtazamo wangu.

Unaonaje kama tungekua na Haland magoli ya yangeongezeka au la

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachotubeba Liverpool ni mfumo sio wachezaji ki vile hivyo Halland naona Kwa mfumo wetu angelost kabisaaa...

Sancho pia anatua June tusubiri aje kwenye mfumo wetu upo tofauti na Dortmond tuone ata fit vipi...


YNWA
 
Nilijua mechi ya tketico itakuwa ngumu sana kwa Klopp
Imekuja kuwa mechi rahisi mno zaidi hata nilivyo fikiri
1-0 kwako huwezi fuzu ukimpiga Liverpool huyu
1-0 wkt cylinders zote 3 za mbele zilikuwa hazichomi na hawana uwezo wa kuzuia zisichomi Anfield
Prediction:Liverpool 4 Atletic1
Cylinder zote watazing'oa pale Anfield

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7766.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikua nawaona ila nilikua siwazingatii ila baada ya kutajwa tajwa humu nikawazingatia hizi mechi za jana na juzi.

Mchezaji akiwa na kipaji hata mpira ukimkataa siku hiyo utajua tu kama huyu kunakitu anakusudia ila kinagoma.

Kwa mimi nilivyo muona ni mtu anaejua mpira unatakaje na kuufanyia kazi ila kipaji hana.

Kwa pale Liver hamuweki benchi yoyote labda kwenye sub ata anaza yeye kabla ya Origi

Sent using Jamii Forums mobile app

Basi nakushauri Mfuatilie Timo Werner angalau game 5 mfululizo uone jamaa alivyo very talented.

Yani complete striker ndani ya Bundes Liga nzima anazidiwa only na King of the Kings Sir Lewando.

Yeye kukupa goli 30+ per season ni kitu cha kawaida tu hasa kwa Timu kama Liverpool.

Hata hivyo mimi sipendi kuzungumzia habari za kumueka au kitomueka Mtu Bench coz naamini hata Odoi akiamua kujituma with commitment anaweza kumueka Bench Mane au Aguero.

Mkuu Performance ni journey not a destination! So, kauli za kuwa nani akija Liverpool hawezi kumueka Bench Fulani hazina nafasi katika mpira.

Wakati 2015/16 tunalia na Klopp kuhusu Lovren hapa mpaka Lovren akafikia kujiita "I'm a best CB in the World" nani aliyefikiri Katoto kadogo kamma Gomez katamueka Bench Lovren?

So, Mpira ni safari Kijana! Huyo Timo Werner anaweza kuja Liverpool akashine tukamuona kama ni New version ya Suarez au akaflop tukamuona kama ni New version ya Voronin.

Kwahiyo yote yanaweza kutokea Kuingia FXI au Kuwarm Bench ni 50/50.

Don't say Never bro.
Huyo Firmino anaweza kwenda nje ya Liverpool akaishia kucheza Carabao au Copa Del Ray! Au umemsahau Coutinho?
Ivi hujui kuwa Mane, Salah na Coutinho hapana hata mmoja anayefikia hata nusu ya uwezo wa Coutinho wakati anaondoka Liverpool?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom