Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi naamini Sancho akisimama nafasi ya Salah Liverpool anapata matokeo mazuri zaidi ya anayo pata Salah.
Ukimuweka Salah kule angepata pungufu ya alichopata Sancho pale kwa mtazamo wangu.

Unaonaje kama tungekua na Haland magoli ya yangeongezeka au la

Sent using Jamii Forums mobile app
Makubwa haya
Salah vs Sancho?
Whos Sancho?Kafanya nn lolote la maana Sancho?
Nadhani sasa utani umefikia pabaya aisee
Salah:
TWICE Golden boots awards
EPL winner
UCL winner
Super cup winner
Club world cup Winner

SANCHO DIDNT WIN NONE
Salah won everything
 
our post-Klopp era gaffer in the making.... some impressive stat, this!

20200221_072652.jpg
 
Makubwa haya
Salah vs Sancho?
Whos Sancho?Kafanya nn lolote la maana Sancho?
Nadhani sasa utani umefikia pabaya aisee
Salah:
TWICE Golden boots awards
EPL winner
UCL winner
Super cup winner
Club world cup Winner

SANCHO DIDNT WIN NONE
Salah won everything
Man we should be appreciating players more what we have now than the future unknowns...

I fancy Sancho lakini sio Salah aodoke hapana.. Salah and our boys have delivered major trophies that we used to dream of past few seasons man..

Klopp should only buy to add more goals upfront and cover for Salah if called to the Olympics and miss few games in the start of next season and Afcon for Mane and Salah absence winter 2021...

Our bench in the meantime ain't loaded properly with goals as we had anticipated.. So make sense if the gaffer choose to add some firepower either or both Timo, Sancho..

Hopefully Salah, Mane and Bobby will be with us come next season and few additions will cement our place to retain any trophy we win this very season..

YNWA
 
Basi nakushauri Mfuatilie Timo Werner angalau game 5 mfululizo uone jamaa alivyo very talented.

Yani complete striker ndani ya Bundes Liga nzima anazidiwa only na King of the Kings Sir Lewando.

Yeye kukupa goli 30+ per season ni kitu cha kawaida tu hasa kwa Timu kama Liverpool.

Hata hivyo mimi sipendi kuzungumzia habari za kumueka au kitomueka Mtu Bench coz naamini hata Odoi akiamua kujituma with commitment anaweza kumueka Bench Mane au Aguero.

Mkuu Performance ni journey not a destination! So, kauli za kuwa nani akija Liverpool hawezi kumueka Bench Fulani hazina nafasi katika mpira.

Wakati 2015/16 tunalia na Klopp kuhusu Lovren hapa mpaka Lovren akafikia kujiita "I'm a best CB in the World" nani aliyefikiri Katoto kadogo kamma Gomez katamueka Bench Lovren?

So, Mpira ni safari Kijana! Huyo Timo Werner anaweza kuja Liverpool akashine tukamuona kama ni New version ya Suarez au akaflop tukamuona kama ni New version ya Voronin.

Kwahiyo yote yanaweza kutokea Kuingia FXI au Kuwarm Bench ni 50/50.

Don't say Never bro.
Huyo Firmino anaweza kwenda nje ya Liverpool akaishia kucheza Carabao au Copa Del Ray! Au umemsahau Coutinho?
Ivi hujui kuwa Mane, Salah na Coutinho hapana hata mmoja anayefikia hata nusu ya uwezo wa Coutinho wakati anaondoka Liverpool?
King katika ubora wako
 
Kumbe sometimes huwa unakuwa na akili
Basi nakushauri Mfuatilie Timo Werner angalau game 5 mfululizo uone jamaa alivyo very talented.

Yani complete striker ndani ya Bundes Liga nzima anazidiwa only na King of the Kings Sir Lewando.

Yeye kukupa goli 30+ per season ni kitu cha kawaida tu hasa kwa Timu kama Liverpool.

Hata hivyo mimi sipendi kuzungumzia habari za kumueka au kitomueka Mtu Bench coz naamini hata Odoi akiamua kujituma with commitment anaweza kumueka Bench Mane au Aguero.

Mkuu Performance ni journey not a destination! So, kauli za kuwa nani akija Liverpool hawezi kumueka Bench Fulani hazina nafasi katika mpira.

Wakati 2015/16 tunalia na Klopp kuhusu Lovren hapa mpaka Lovren akafikia kujiita "I'm a best CB in the World" nani aliyefikiri Katoto kadogo kamma Gomez katamueka Bench Lovren?

So, Mpira ni safari Kijana! Huyo Timo Werner anaweza kuja Liverpool akashine tukamuona kama ni New version ya Suarez au akaflop tukamuona kama ni New version ya Voronin.

Kwahiyo yote yanaweza kutokea Kuingia FXI au Kuwarm Bench ni 50/50.

Don't say Never bro.
Huyo Firmino anaweza kwenda nje ya Liverpool akaishia kucheza Carabao au Copa Del Ray! Au umemsahau Coutinho?
Ivi hujui kuwa Mane, Salah na Coutinho hapana hata mmoja anayefikia hata nusu ya uwezo wa Coutinho wakati anaondoka Liverpool?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfananishe sancho na salah wa kabla ya liverpool, itakuwa poa zaid, but kwa mawazo yangu naona ka sancho bado na hana maamuz ya haraka, but salah wa Roma na sancho
Sancho mkali
Makubwa haya
Salah vs Sancho?
Whos Sancho?Kafanya nn lolote la maana Sancho?
Nadhani sasa utani umefikia pabaya aisee
Salah:
TWICE Golden boots awards
EPL winner
UCL winner
Super cup winner
Club world cup Winner

SANCHO DIDNT WIN NONE
Salah won everything

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makubwa haya
Salah vs Sancho?
Whos Sancho?Kafanya nn lolote la maana Sancho?
Nadhani sasa utani umefikia pabaya aisee
Salah:
TWICE Golden boots awards
EPL winner
UCL winner
Super cup winner
Club world cup Winner

SANCHO DIDNT WIN NONE
Salah won everything
Kaa kimya sikua nikibishana na mtu.

Utani m baya kwani nimekushika matako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabingwa Wa EPL 2019/2020 msiwe na wasiwasi na kuhusu atletico madrid mbona wale walikamia game kule kwao tu kama mwaka jana na juventus wakapigwa nyingi tu kule Turin

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Mimi sina wasiwasi hata kidogo kwenye hiyo mechi,yaani hao tutajipigia kiulaini. Nakumbuka Baada ya mechi na barcelona ile mechi tuliofungwa tatu bila. Niliwaambia humu haters barcelona tutawatoa waliniambia navuta cha Arusha.mwisho wa siku walikimbia humu.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Makocha nao ni binadam hakosi mapungufu kuna watu hawataki wakosolewe.

Tumebeba Minamino anasubiliwa afiti kwenye team tumemuacha Haland ambae ni tishio ulaya.

Sasa hivi tunatajiwa Timo ambae kwa mechi ya jana namuona ni mchezaji anaejitegega vizuri golini na kubebwa na mfumo nafasi anazo pata anafunga chache wener hamfikii Salah hata punje kwa hili hafai kuja.

Kwa nilivyo muona Sancho ni bunge lamchezaji mwenye kipaji huyu kikosi cha kwanza moja kwa moja kama mshabiki ukinambia nichague Sancho na Salah nachagua Sancho kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
bunge la mchezaji

ASANTE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua nawaona ila nilikua siwazingatii ila baada ya kutajwa tajwa humu nikawazingatia hizi mechi za jana na juzi.

Mchezaji akiwa na kipaji hata mpira ukimkataa siku hiyo utajua tu kama huyu kunakitu anakusudia ila kinagoma.

Kwa mimi nilivyo muona ni mtu anaejua mpira unatakaje na kuufanyia kazi ila kipaji hana.

Kwa pale Liver hamuweki benchi yoyote labda kwenye sub ata anaza yeye kabla ya Origi

Sent using Jamii Forums mobile app
haumjui vizuri timo kwa sababu milliner na Henderson wana vipaji kumzidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom