Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mtu akimwita mtu shetani anamaanisha ni shetani kweli? Yawezekana anamaanisha huyo mtu anamuongelea vibaya... Na mimi ndo msingi wa pointi yangu ulipo...kuna watu wamemuongelea vibaya klop na ndo nikasema mara hii keshakuwa shetani kwao... Rudi shule... Yawezekana hukuelewa vzr somo la kiswahili.Hebu onyesha sehemu mtu yeyote amesema klopp kaanza kuwa shetani

