OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Sasa hii Liverpool ya kuunga unga niite club bingwa??? Acha utani bwana!![emoji41][emoji41]Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
Achana na Chelsea kabisa.Huyo man city kashindwa nini mzee huko ucl? Chelsea unayoijua wewe imechukua mara moja tu, epl wamebeba mara ngapi?
Ninyi munapangiwa wakina Genk kwa nin musifike mbali?? Pangwa na wanaume wakina Ajax, Chelsea..Kuna wanaosema UCL ni ligi rahisi ndiyomana Liverpool anabeba, Lakini EPL ni Ligi ngumu ndiyomana Liverpool haibebi.
SWALI:
Sasa kama UCL ni ligi nyepesi kwanini wengine wasichuke? Au hawa kina Man City na wengine hawalitaki hili kombe?
Kwanini tusikubali tu kuwa Makombe yote (EPL & CL) ni magumu?
Wale City wameshachoka ..mbele Captain America, Tammy na Odoi mbona watakalia goli nyingi sana..Hahahaha ndugu Chugga ebu kutana na kisiki cha Citizen aafu ujue Foxes limewaka hivyo niangalie...
Niambie ugumu uliopo kwenye UEFA.Chelsea na Arsenal miaka yao yooote duniani kwa pamoja wamechukua UCL 1 (ya chelsea hiyo), na hapo tunaambiwa UCL ni rahisi mno.
Kushinda kikombe cha ligi ni heshima zaid kuliko kikombe chochote kile..Ligi ya nchi haiwezi kuwa ngumu zaidi ligi ya Kimataifa..
Kushinda UEFA ndio lengo kubwa kuliko yote la timu za ULAYA
Porojo
Ohh Klopp hawezi shinda final
Kashinda mbili
Sasa wavimba macho mnakimbilia kwenye VAR
Tumepiga Mungu mtu wenu wa soka 3
Hadi January gap itakua points 15+
Klopp hafanyi kosa mara mbili
Where is VAR?[emoji22][emoji22][emoji26][emoji27][emoji21][emoji21]. Msimu huu mmekula point 15 kwa wizi huu.....figisu nying tuuView attachment 1063599
Naona keita anafunga goli lake la kwanza akiwa na liverpool. Msimu ujao VAR ipo kazin
Liver mwaka huu magoli yanayotokana na offsides ni mengi mno. Salah alikuwa offside wakati anapiga cross.
Msimu ujao VAR kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahgh hizi ni pumba tu[emoji3][emoji3][emoji3]Sijawahi kusema kubeba EPL ni rahisi
Post yangu ya mwanzo nilisema yote [EPL & CL) ni Magumu
Hakuna urahisi wowote kubeba CL bali katika kubeba CL kuna ugumu zaidi kuliko EPL
Tuangalie Majority:
1) Blackburn amebeba EPL
2) Leicester City amebeba EPL
3) Arsenal amebeba EPL
4) Manchester City amebeba EPL
5) Chelsea amebeba EPL
6) Manchester United amebeba EPL
7) Liverpool hajabeba EPL
Sasa kwenye Timu 7 hapo kakosa 1 tu ya Liverpool kubeba EPL
1) Liverpool kabeba CL
2) Manchester United kabeba CL
3) Chelsea kabeba CL
Sasa kwenye Timu 7 hapo ni 3 tu ndiyo zimebeba CL
Sasa uhalisia unasemaje kuhusu namba hapo kipi ni shida kubeba kuliko chengine?
Au unataka kuniambia ni Liverpool pekee kukosa EPL ndiyo definition ya 'Ugumu Kubeba'? Serious?
√ Kama wamepata Wengi (EPL) akakosa mmoja (Liverpool) hapo pana wepesi kubeba.
√ Kama wamepata Wachache (CL) wakakosa wengi hapo jua pana ugumu kubeba.
Narudia tena Liverpool hatafsiri ugumu wa EPL wakatai wengi Wamebeba! Bali ni Majority katika kubeba na kuto kubeba ndiyo kunatafsiri Ugumu au Urahisi wa EPL na CL
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ubongo wa nzi
Ili litakuwa ni li jamaa Sema linatafuta attention tu.Ndiyo maana yake.
Hii ni post yake 2014 akiwa mshabiki wa Arsenal.
Na hii chini ni thread yake akiwa mshabiki wa Leicester City.
Leicester City (The Foxes) | Special Thread
Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2] Leicester City Full name Leicester City Football...www.jamiiforums.com
Na hii hapa ni post yake August 2015 akiwa mshabiki wa Chelsea.
NB: Nahisi jamaa anahama kutegemea na boyfriend aliyenaye kipindi hiko anashabikia timu gani. Akiachwa akapata mwingine anahama timu.
Ili litakuwa ni li jamaa Sema linatafuta attention tu.