Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Genk ni nzuri na timu Bora kuliko uliwasema,hao unawataja wapo kwenye ligi Bora na inayotizamwa zaidi ila sio kwamba wao ni bora.. .unaweza kuzaliwa dsm lkn usiwe na uwezo kama mtu wa kigoma ila jina la mwanadas es salaam likakubeba
Tetea hoja yako,kwa unavyoona Genk na Leicester ipi ni timu ngumu????ukimkurupusha JKLOPP saa hizi achague kati ya kukutana na Genk ambao ni mabingwa wa Ligi au Leicester au Wolvers unafikiri atachagua ipi?
 
Hakuna hoja yyt uliojenga. ...kiufupi ni wivu Tu wa maendeleo ya LFC unaokusumbua ila ndani ya nafsi yako unajua ukweli....yaani EPL ukalinganishe na UCL upo timamu kweli ewew!!!!!?bingwa wa ulaya nzima ukamlinganishe na bingwa wa uingereza!!!?
Kwani lazima utetee upande uliopo mkuu????angalia ukweli tu,duh ...hebu rudia kukisoma nilichoandika kwanza
 
Hakuna hoja yyt uliojenga. ...kiufupi ni wivu Tu wa maendeleo ya LFC unaokusumbua ila ndani ya nafsi yako unajua ukweli....yaani EPL ukalinganishe na UCL upo timamu kweli ewew!!!!!?bingwa wa ulaya nzima ukamlinganishe na bingwa wa uingereza!!!?
Mahaba yanawafanya mpofuke akili.....mimi sina wivu na na klabu bingwa ya Ulay Liverpool....ila naongea ninachokiona na kukiamini sasa wewe lete hoja zitakazonishawishi niamini kuwa ninachokiamini sio sahihi lakini sio kutumia mabavu kunitoa katika ninachokiamini.....

Sasa kama hujui katika timu ambazo hazipo katika kundi la ninazozichukia basi ni liverpool
 
Genk ni nzuri na timu Bora kuliko uliwasema,hao unawataja wapo kwenye ligi Bora na inayotizamwa zaidi ila sio kwamba wao ni bora.. .unaweza kuzaliwa dsm lkn usiwe na uwezo kama mtu wa kigoma ila jina la mwanadas es salaam likakubeba
Aiseeeehhhh.....!!!!!!basi sawa nimeshakuelewa
 
IMG_6628.JPG
 
Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....

Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......

Simple....& clear

Sijawahi kusema kubeba EPL ni rahisi

Post yangu ya mwanzo nilisema yote [EPL & CL) ni Magumu

Hakuna urahisi wowote kubeba CL bali katika kubeba CL kuna ugumu zaidi kuliko EPL

Tuangalie Majority:

1) Blackburn amebeba EPL
2) Leicester City amebeba EPL
3) Arsenal amebeba EPL
4) Manchester City amebeba EPL
5) Chelsea amebeba EPL
6) Manchester United amebeba EPL
7) Liverpool hajabeba EPL

Sasa kwenye Timu 7 hapo kakosa 1 tu ya Liverpool kubeba EPL

1) Liverpool kabeba CL
2) Manchester United kabeba CL
3) Chelsea kabeba CL

Sasa kwenye Timu 7 hapo ni 3 tu ndiyo zimebeba CL

Sasa uhalisia unasemaje kuhusu namba hapo kipi ni shida kubeba kuliko chengine?

Au unataka kuniambia ni Liverpool pekee kukosa EPL ndiyo definition ya 'Ugumu Kubeba'? Serious?

√ Kama wamepata Wengi (EPL) akakosa mmoja (Liverpool) hapo pana wepesi kubeba.

√ Kama wamepata Wachache (CL) wakakosa wengi hapo jua pana ugumu kubeba.

Narudia tena Liverpool hatafsiri ugumu wa EPL wakatai wengi Wamebeba! Bali ni Majority katika kubeba na kuto kubeba ndiyo kunatafsiri Ugumu au Urahisi wa EPL na CL
 
Tetea hoja yako,kwa unavyoona Genk na Leicester ipi ni timu ngumu????ukimkurupusha JKLOPP saa hizi achague kati ya kukutana na Genk ambao ni mabingwa wa Ligi au Leicester au Wolvers unafikiri atachagua ipi?

Kama kwamba Ligi nzima kuna Genk tu

Mbona hukuuliza Barcelona na Norwich tutachagua ipi?
 
Sijawahi kusema kubeba EPL ni rahisi

Post yangu ya mwanzo nilisema yote [EPL & CL) ni Magumu

Hakuna urahisi wowote kubeba CL bali katika kubeba CL kuna ugumu zaidi kuliko EPL

Tuangalie Majority:

1) Blackburn amebeba EPL
2) Leicester City amebeba EPL
3) Arsenal amebeba EPL
4) Manchester City amebeba EPL
5) Chelsea amebeba EPL
6) Manchester United amebeba EPL
7) Liverpool hajabeba EPL

Sasa kwenye Timu 7 hapo kakosa 1 tu ya Liverpool kubeba EPL

1) Liverpool kabeba CL
2) Manchester United kabeba CL
3) Chelsea kabeba CL

Sasa kwenye Timu 7 hapo ni 3 tu ndiyo zimebeba CL

Sasa uhalisia unasemaje kuhusu namba hapo kipi ni shida kubeba kuliko chengine?

Au unataka kuniambia ni Liverpool pekee kukosa EPL ndiyo definition ya 'Ugumu Kubeba'? Serious?

√ Kama wamepata Wengi (EPL) akakosa mmoja (Liverpool) hapo pana wepesi kubeba.

√ Kama wamepata Wachache (CL) wakakosa wengi hapo jua pana ugumu kubeba.

Narudia tena Liverpool hatafsiri ugumu wa EPL wakatai wengi Wamebeba! Bali ni Majority katika kubeba na kuto kubeba ndiyo kunatafsiri Ugumu au Urahisi wa EPL na CL
Epl ambayo wamebeba watu wengi kama wew unavosema lakin liverpool mpaka sasa its almost 29 years without title

Sasa hapo nan dhaifu, mpaka vitimu vya mchangan vimekuja vikachukua nyie bado mnahaha
 
3-1 za kubebwa na var


Liverpool mna laana tu, mnatembelea var kupata ushindi ,hamuwez kuwin title kizembe hivo, saizi mnavimba tu na vi match 12 out of 34 ,tulishawazoea sana kuongoza league


Gori la salah offside var ikazima

Gori la kwanza, handball ila var ikazimwa

Harafu mnavimba
Ubongo wa nzi
 
Tetea hoja yako,kwa unavyoona Genk na Leicester ipi ni timu ngumu????ukimkurupusha JKLOPP saa hizi achague kati ya kukutana na Genk ambao ni mabingwa wa Ligi au Leicester au Wolvers unafikiri atachagua ipi?
Hahahahha, nani anakufundisha kufanya argument hivi...

Hapo klopp atachagua GENK kwa sababu ni rahisi na anataka ushindi, lakini haina maana GENK sio wazuri kuzidi Leicester au Wolves...

UEFA zinashiriki timu kama Madrid, Barcelona, Baryen, Dotmund, Juventus, PSG ,AJAX, Liverpool, etal gharama ya kikosi cha Juve pekee inatosha kuunda timu mbili bora zaidi ya Leicester na Wolves kwa pamoja, how come kuchukua UEFA ni rahisi?
 
Hahahahha, nani anakufundisha kufanya argument hivi...

Hapo klopp atachagua GENK kwa sababu ni rahisi na anataka ushindi, lakini haina maana GENK sio wazuri kuzidi Leicester au Wolves...

UEFA zinashiriki timu kama Madrid, Barcelona, Baryen, Dotmund, Juventus, PSG ,AJAX, Liverpool, etal gharama ya kikosi cha Juve pekee inatosha kuunda timu mbili bora zaidi ya Leicester na Wolves kwa pamoja, how come kuchukua UEFA ni rahisi?
Kwahiyo kwa mfano liverpool atacheza na hizo timu zote ili kuchukua ucl????
Hapo anaweza kukutana na timu 1 au 2 tu na mechi nyingine akakutana na vilaza kama Genk,

Jamaa kauliza swali umejijaza kama mlevi,sasa kama bora kukutana na Genk kuliko wolvers kwanini unadai UCL ni ngumu kuliko EPL na kila mwaka vilaza lazima wawepo huko UCL????

tatizo lenu hapa hampo kiuhalisia bali mahaba....
 
Achaga uwongo wako wewe ..ina maana wachezaji wa brazil wote wanachezea Liverpool????

Kama ishu ni ukubwa wa timu vipi Yule Richarson wa everton????
Acheni misifa
Bro naona hapa umetumia nguvu kubwa very unnecessary.

Huamini kwamba timu inaweza kumjenga mchezaji?
 
Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....

Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......

Simple....& clear

Sema hii inategemeana na tim yenyewe, mtu kama Manchester United anaona vyote vigumu sahv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom