Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.

Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......

Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake

YNWA
 
Sijawahi kuiona kabisa, na je huwa inatumika vp? Refa huwa anaenda kuona marudio ya tukio?
VAR ya uingereza wanaingalia wote hadi mashabiki huku refa akipewa maelezo ya ziada na waliokuwa vyumbani, tena hao wanaompa maelezo wako mbali sana saa nyingine wanatofautiana mikoa
 
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.

Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......

Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake

YNWA
 
Kabisa
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.

Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......

Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake

YNWA
 
IMG_6623.JPG
 
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.

Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......

Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake

YNWA
Huo utalatibu utautumia wewe ukweni kwa wakwe zako tu wala sivingenevyo! over;
 
Duuu, hahahahhahah, hapa umeongeza chumvi, eti mbali wanatofautiana mikoa
VAR ya uingereza wanaingalia wote hadi mashabiki huku refa akipewa maelezo ya ziada na waliokuwa vyumbani, tena hao wanaompa maelezo wako mbali sana saa nyingine wanatofautiana mikoa
 
Duuu, hahahahhahah, hapa umeongeza chumvi, eti mbali wanatofautiana mikoa
Mzee fatilia utajua, wale wa VAR wapo mkoa mmoja tu na mativii yao wakifatilia mechi sasa jiulize EPL inachezwa mkoa mmoja tu?
 
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.

Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......

Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake

YNWA
Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwa



Kusema kwel sijaona kikos liverpool cha kuchukua epl, naona var imeletwa kwa sababu yenu kutoa gundu la miaka 29 without title
 
Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwa



Kusema kwel sijaona kikos liverpool cha kuchukua epl, naona var imeletwa kwa sababu yenu kutoa gundu la miaka 29 without title
Yani wewe jamaa sijui kwanini huwa unateseka kiasi hiki? Kwan jamaa amesema kuhusu EPL au ameongelea Klabu bingwa ulaya (UCL)? Au nayo unabisha kwamba sisi sio klabu bingwa ulaya? asee pole sana mzee.

Alafu kama wewe usipotuita bingwa inabadili nini mzee baba? Itapunguza kombe au halitaandikwa kwamba limebebwa na Liver?
 
Yani wewe jamaa sijui kwanini huwa unateseka kiasi hiki? Kwan jamaa amesema kuhusu EPL au ameongelea Klabu bingwa ulaya (UCL)? Au nayo unabisha kwamba sisi sio klabu bingwa ulaya? asee pole sana mzee.

Alafu kama wewe usipotuita bingwa inabadili nini mzee baba? Itapunguza kombe au halitaandikwa kwamba limebebwa na Liver?
Mkuu liverpool kuchukua ucl sio tatizo,

Mziki upo epl, ndio league ya wanaume ndio maana miaka 29 mnahaha bila kupata, wakat ucl hata chealse mwaka huu anaweza kuchukua


Mziki mnene epl
 
Sorry mim siwez kusifia ujinga, lazima niwambie tu ,hakuna namna nyingine najua mtafuta comment zangu

Mkuu samahan sana
Huna point wewe kila post yako unaandika utumbo mtupu. Kukaa kimya nayo ni bora zaidi
 
Mkuu liverpool kuchukua ucl sio tatizo,

Mziki upo epl, ndio league ya wanaume ndio maana miaka 29 mnahaha bila kupata, wakat ucl hata chealse mwaka huu anaweza kuchukua


Mziki mnene epl
Huyo man city kashindwa nini mzee huko ucl? Chelsea unayoijua wewe imechukua mara moja tu, epl wamebeba mara ngapi?
 
Kuna wanaosema UCL ni ligi rahisi ndiyomana Liverpool anabeba, Lakini EPL ni Ligi ngumu ndiyomana Liverpool haibebi.

SWALI:

Sasa kama UCL ni ligi nyepesi kwanini wengine wasichuke? Au hawa kina Man City na wengine hawalitaki hili kombe?

Kwanini tusikubali tu kuwa Makombe yote (EPL & CL) ni magumu?
 
Kuna wanaosema UCL ni ligi rahisi ndiyomana Liverpool anabeba, Lakini EPL ni Ligi ngumu ndiyomana Liverpool haibebi.

SWALI:

Sasa kama UCL ni ligi nyepesi kwanini wengine wasichuke? Au hawa kina Man City na wengine hawalitaki hili kombe?

Kwanini tusikubali tu kuwa Makombe yote (EPL & CL) ni magumu?
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....

UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13

Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1
 
Huyo man city kashindwa nini mzee huko ucl? Chelsea unayoijua wewe imechukua mara moja tu, epl wamebeba mara ngapi?
Muda mwingine bahati nayo inahusika ...maana man city mbona walikuwa vizuri tu kwa ubora na ukubwa wa kikosi kuliko liverpool katika misimu miwili iliyopita????

Wewe unafikiri liver hawakuwa na kikosi cha kubeba EPL toka enzi za kina SG???au walikuwa hawalitaki?????au hakikuwa kipaumbele chao???? Nakumbuka kuna kipindi walizidiwa point 1 tu......

unafikiri nini kiliwakwamisha????amini hawakuwa na bahati nalo,bahati yao ilikuwa upande mwingine wa shilingi,
 
Kuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kwenye EPL hakuna screen uwanjani ambayo refa ataenda kuangalia marudio ya video hivyo refa husubiri var room wacheki halafu wanamwambia maamuzi.

Ndio maana kwenye ile screen kubwa huwa wanaandika VAR Decision No goal au Goal.
Hizo screen kubwa za uwanjani hazipo Anfield na Old Trafford tu ndio hawajaweka..

Hizi screen kubwa EPL zililetwa kutuliza amsha amsha ya mashabiki pindi marefa Wa VAR wanapotazama tukio husika...

Hivyo Kwa VAR wakati wa mechi EPL ndani ya Anfield na Old Trafford refa hisikiliza tu maelezo..
 
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....

UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13

Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1
haya maisha bhana shabiki wa arsenal nae anadiriki kusema UCL n rahisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom