Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 638
- 530
Nimecheka sanaSema hii inategemeana na tim yenyewe, mtu kama Manchester United anaona vyote vigumu sahv
Nimecheka sanaSema hii inategemeana na tim yenyewe, mtu kama Manchester United anaona vyote vigumu sahv
Sasa usiseme bila liverpool asingeitwa NT....ina maana hapo unaweka limitation,Bro naona hapa umetumia nguvu kubwa very unnecessary.
Huamini kwamba timu inaweza kumjenga mchezaji?
A very desperate post....
Sasa usiseme bila liverpool asingeitwa NT....ina maana hapo unaweka limitation,
Wewe sio MUNGU ....
Hiyo ya juu ni post yako ya mwisho kabla hujaandika hii ya chini kwenye hili jukwaa. Nimefanya ivyo ili na wengine waone we ni mtu wa aina gani na huelewi chochote kinacho endelea.Wewe ni mbumbumbu unayedhani uko vizuri
Your comments are useless, full of personal attacks etc.
Your name speaks volumes... Watery, yaani mimajimimaji Tu... If you know what I mean
Mimi nakuombea radhi kwa mashabiki wenzako pia napenda nikusihi jitahidi kuwa strong na maisha haya si lazima kila mtu ajue status yako.A very desperate post....
Hivi jf haiwezi kupima.akili za wanaopost?
Tuweke jukwaa la mataahira
Naona pameibuka Dada Happy anakuja kwa kasi.
Kuna uzi wake kaanzisha wa Leicester City, kwamba ndiyo timu yake kwa sasa.
Kumbe tunajibishana na Comedian
Gunnerz 4 real,
refa amekodiwa na wangese wa manure urinated anachezesha mpira kama mazoezi,
arsenal ushindi leo lazima
Pogba atatufaa sana
Kama ingwzekana tuuze hazard tununue ox chamberlain pia fabrgas kachoka nafikiri ramsey angetusaidia sana
A very desperate post....
Hivi jf haiwezi kupima.akili za wanaopost?
Tuweke jukwaa la mataahira
Wewe wasema ila hili halina uhalisia na mjadala uliopo....mkishindwaga mnatafuta divertion.....Mkuu nimekuona juzi kwenye uzi wa Leicester City, vipi ubingwa mnachukua?
BTW umetokea Arsenal au Man Utd?
Hivi mnataka tuwatukuze liverpool nyie kama nan,A very desperate post....
Hivi jf haiwezi kupima.akili za wanaopost?
Tuweke jukwaa la mataahira
Hahahahahahahaahah utapata tabu sanaaaaaaaaa....mara jamaa mara dada kwikwikwikwikwi....mkikabwa koo kidogo tu munaanza kumchimbua mtu,kwakifupi mimi huwezi kunielewa mtoto mdogo sana wewe,Ndiyo maana yake.
Hii ni post yake 2014 akiwa mshabiki wa Arsenal.
Na hii chini ni thread yake akiwa mshabiki wa Leicester City.
Leicester City (The Foxes) | Special Thread
Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2] Leicester City Full name Leicester City Football...www.jamiiforums.com
Na hii hapa ni post yake August 2015 akiwa mshabiki wa Chelsea.
NB: Nahisi jamaa anahama kutegemea na boyfriend aliyenaye kipindi hiko anashabikia timu gani. Akiachwa akapata mwingine anahama timu.
Wewe unajiita king lakini una element zote za KIMALKIA......Naona pameibuka Dada Happy anakuja kwa kasi.
Ask yourself mkuu????hutopata jibuHivi mnataka tuwatukuze liverpool nyie kama nan,
Kama imeingie vizur tulia, wew pia unapaswa kupimwa akili,
the problem of liverpool fans is that,... you like hearing good things in your ears,you don't accept any challenge at all,Kumbe tunajibishana na Comedian
DohNdiyo maana yake.
Hii ni post yake 2014 akiwa mshabiki wa Arsenal.
Na hii chini ni thread yake akiwa mshabiki wa Leicester City.
Leicester City (The Foxes) | Special Thread
Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2] Leicester City Full name Leicester City Football...www.jamiiforums.com
Na hii hapa ni post yake August 2015 akiwa mshabiki wa Chelsea.
NB: Nahisi jamaa anahama kutegemea na boyfriend aliyenaye kipindi hiko anashabikia timu gani. Akiachwa akapata mwingine anahama timu.
Niko tayari kupimwa akili... Tena tukijipanga Mimi na wewe kwenye foleni itapendeza SanaHivi mnataka tuwatukuze liverpool nyie kama nan,
Kama imeingie vizur tulia, wew pia unapaswa kupimwa akili,
Wananijua Sana tu... Sihitaji msamahaHiyo ya juu ni post yako ya mwisho kabla hujaandika hii ya chini kwenye hili jukwaa. Nimefanya ivyo ili na wengine waone we ni mtu wa aina gani na huelewi chochote kinacho endelea. Mimi nakuombea radhi kwa mashabiki wenzako pia napenda nikusihi jitahidi kuwa strong na maisha haya si lazima kila mtu ajue status yako.
Dont take everything too personal. Pole sana mkuu