Sisi kuku ndio tena majogoo ya londonthat's the way you use to avoid the challenge ?????? Kwa kutaka opponents wasiattend kwa hii platform yenu hahahahahahahahahaha kwa hili mumefeli totally labda muombe mods walipeleke kule JLW huko mtakuwa na na amani mana wengi watakosa access ya kuattend lakini hapa tutawanyoosha kuku nyie....
Endapo utawapiga hao jamaa utakua umevuka malengo yako mzunguko wakwanza wa Ligi..Wale City wameshachoka ..mbele Captain America, Tammy na Odoi mbona watakalia goli nyingi sana..
Kisiki Kante Ngolo woiiii ..ngoma imeisha ilee...
Gomez kiazi tu, anajiona yeye hana kosaUkitoa Watanzania, Washabiki pekee wanaozomea wachezaji wa Timu zao ni Washabiki wa Kiengereza.
Juzi tu Washabiki wa Arsenal walimzomea Granite Xhaka.
Na sasa washabiki wa Timu ya Taifa ya Uengereza wamemzomea Joseph Gomez.
Most Brithish Fans are idiots
Gomez kiazi tu, anajiona yeye hana kosa
Mwenzake stering kashajishusha ila hio kuku ya liverpool bado inavimba,
Mashabiki wameshaliona hilo hawataki ujinga
Sasa nyie kila siku hamtumii hizo chances?Ninyi munapangiwa wakina Genk kwa nin musifike mbali?? Pangwa na wanaume wakina Ajax, Chelsea..
Halafu UCL ni game of chance..
Subiri uone msimu huu sisi tutafanya nini..
Kila la kheri Chelsea![]()
kutwa mna kombe moja tu?Nitakuwa na segmnt ya Je, wajuaaa???? Itakayokujia kila siku ya Jumatatu...na leo katika JE,WAJUA ????
JE,WAJUA????????
EPL trophies
Leicester 1
Liverpool 0
TUKUTANE NEXT MONDAY....!!!!!
Nitakuwa na segmnt ya Je, wajuaaa???? Itakayokujia kila siku ya Jumatatu...na leo katika JE,WAJUA ????
JE,WAJUA????????
EPL trophies
Leicester 1
Liverpool 0
TUKUTANE NEXT MONDAY....!!!!!
Nimefurahi sana kuona leo umeandika paragraph mkuu,maana tulishazoea wewe ni mzee wa mapichapicha tu......otherways wewe ndio upo wrong coz EPL imetoa lots of trophies since 1992,so among of them tumebeba 1,while Liverpool ni empty setNdio ulichobakiza hicho,eti leicester epl trophies halafu unaandika leicester 1,ungeandika throphy badala ya throphies.
Mkuu mpira umeanza kufatilia lini? Mnalazimisha kugawanya miaka ili Liverpool ionekane aina kikombe chochote.
Liverpool ya sasa inawanyima usingizi sana na na mtakonda kama sio kufa kabisa maana Liverpool kwa sasa tunawapelekea moto kwenye mioyo yenu.
Mkuu Chugga hao Mane na Salah ni wachezaji Wa Liverpool na walisajiliwa na kulipwa mihela mingi tu kufanya wanachofanya sasa..Achana na Chelsea kabisa.
Mambo tunayofanya kwa sasa ni hatari kwa afya ya Liverpool na timu nyingine za kuunga unga kama arsenal, man u..
Sisi huwa tunafanya 'Impossible' kuwa 'Possible'
Ninyi asipokuwa salah na mane basi hauna timu apo.
Kila la kheri Chelsea![]()