Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
By 29th December upara Wa Pep utakua unanga'aa mno maana Kwa hizi mechi kuanzia wekedi hii lazima nywele zijiadae...
By 29th December upara Wa Pep utakua unanga'aa mno maana Kwa hizi mechi kuanzia wekedi hii lazima nywele zijiadae...
Chambo the real deal...
City alivochukua ubingwa alifungwa naBy 29th December upara Wa Pep utakua unanga'aa mno maana Kwa hizi mechi kuanzia wekedi hii lazima nywele zijiadae...
Ndiyo maana yake.
Hii ni post yake 2014 akiwa mshabiki wa Arsenal.
Na hii chini ni thread yake akiwa mshabiki wa Leicester City.
![]()
Leicester City (The Foxes) | Special Thread
Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2] Leicester City Full name Leicester City Football...www.jamiiforums.com
Na hii hapa ni post yake August 2015 akiwa mshabiki wa Chelsea.
NB: Nahisi jamaa anahama kutegemea na boyfriend aliyenaye kipindi hiko anashabikia timu gani. Akiachwa akapata mwingine anahama timu.
Kwa ni mzunguko wa ligi wa kwanza ndo tunamaliza na man city???Endapo utawapiga hao jamaa utakua umevuka malengo yako mzunguko wakwanza wa Ligi..
Nawatakia kila la kheri ndugu..
Sisi tunabeba msimu huu la pili mkuu.Sasa nyie kila siku hamtumii hizo chances?![]()
kutwa mna kombe moja tu?
Upo nao wekendi hii ndugu..Kwa ni mzunguko wa ligi wa kwanza ndo tunamaliza na man city???
Mkuu mpaka sasa defence ya Pep ni pasua kichwa mpaka kufika Jan itakua Isham cost Sana tu...City alivochukua ubingwa alifungwa na
Chelsea
Newcastle
Crystal palace
Liverpool ali draw na
Man u
Newcaslte
Man city
Everton ,kama sikosei
Man city win,
Alpine Messi welcome back...
Mkuu King Ngwaba Kwangu bhana naona mashabiki wanaongoza kuzomea wachezaji wao ni wa Real Madrid wakifuatwa na Barcelona.. Wale jamaa hawana shukrani matokeo yakienda ndivyo sivyo basi utawasikia zomea zomea kila kona ya uwanja na pia magazeti yao full kuponda.....Ukitoa Watanzania, Washabiki pekee wanaozomea wachezaji wa Timu zao ni Washabiki wa Kiengereza.
Juzi tu Washabiki wa Arsenal walimzomea Granite Xhaka.
Na sasa washabiki wa Timu ya Taifa ya Uengereza wamemzomea Joseph Gomez.
Most Brithish Fans are idiots
Liverpool ana 18 league titles......na kama unachukua kubadilishwa kwa jina au mdhamini basi tambua carabao cup tangua ianze bingwa wake ni man city tu......shubamiit!Nitakuwa na segmnt ya Je, wajuaaa???? Itakayokujia kila siku ya Jumatatu...na leo katika JE,WAJUA ????
JE,WAJUA????????
EPL trophies
Leicester 1
Liverpool 0
TUKUTANE NEXT MONDAY....!!!!!