BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kabisa Mkuu kuna at least goli mbili za uhakika kama tutaacha kuremba kule mbele HT 1-0
Nguvu ya soda tu hawa ..... .... ..
Nguvu ya soda tu hawa ..... .... ..
Katavi, game bado mnaweza kushinda, naona kiungo chenu leo hakipo sawa.Duh....basi itakuwa balaa mtaani tukifungwa.
Yellow card to wilshere....huyu jamaa leo hayuko vizuri kabisa
Jack mpira umemkataa leo ingiza Gnabry/Rosicky
Leo balaa tupu kaka.Katavi, game bado mnaweza kushinda, naona kiungo chenu leo hakipo sawa.