xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Mimi tatizo nililoliona ni Chelsea kujaribu kucheza mpira. Nimezoea kuona Chelsea wakifanya uhuni wa kujiangusha angusha na kumlalamikia mwamuzi, kumzunguka mwamuzi na kutumia maguvu kama wanacheza mieleka. Kwa hiyo ni bora warudie mieleka tu na maigizo mengineyo na sio kujaribu kutandaza mpira mwanana. Jana pia walipunguza ku-park lile basi. Hayo ndio matatizo niliyoyaona mimi. Niseme tu kuwa nilifurahi kwa Timu ninayoishabikia kushinda kiustadi na kiufundi na iliweza kuisambaratisha Ze Buluuziiii.
hahaaaaa, Nonda katika ubora wako, naomba wasamehe hawatarudia tena.
Last edited by a moderator: