Pengine ameingia kwenye kundi la wanaojiita LIVERPOOL HALISI
Pengine ni kweli Manake ukiingia kule hata tukio la miaka 10 iliyopita utaendelea kulikariri kama kwamba limetokea leo.
Msimu wa 2017/18 Liverpool ilikuwa hivi:-
MANE - BOOBY - SALAH
MILNER - HENDO - GINI
ROBBO - MATIP - LOVREN - TAA
MIGNOLET
Barcelona walikuwa hivi:
DEMBELE - SUAREZ - MESSI
RAKITIC - BUSQUET - ?????
ALBA - UMTITI - PIQUE - ????
STEGEN
YA KUZINGATIA:
√ Huu ndiyo msimu ule tuliopigwa 5 na 4 na Man City and Spurs respectively.
√ Coutinho alikuwa anajipachika injury za uongo kutocheza kwa kudai kuhama.
√ Salah katika michezo takriban 7 ya kwanza alikuwa hajaprove ubora wake.
√ Robbo alikuwa bado hajaadapt na Mchezo
√ TAA ndiyokwanza alikuwa anajifunza hajawa na namba ya uhakika.
√ VVD alikuwa bado hajaja Liverpool kwani alijiunga na sisi January.
Sasa tukasema
"BARCELONA na LIVERPOOL zikichanganywa Vikosi hakuna Mchezaji wa Liverpool hata mmoja anayeweza Kuingia kwenye First XI"
Chakushangaza Jamaa Mpaka leo Kang'ang'ania hiyo kauli kama kwamba Zama hazibadiliki Vikosi na Uwezo wa Wachezaji Vimebakia Constant.
Yani kila Mechi lazima hiyo kauli airudie ingawa kumetokea Mabadiliko Makubwa sana kwenye hivi Vikosi viwili.
Sasa Mtu kama huyu ni Pasua kichwa.