mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,025
- 1,623
Yan we unaona kocha anampa nafasi Mara kwa Mara tujiulize mi nawewe inamaana kocha Hendo ni shemej yake mpaka amkubali hivyo!?...unauliza majukumu anayopewa yani mi nikwambie kocha kamwambia Hendo awe anasaidia kukaba wakati TAA akipanda wakati unaona !,unataka nikwambie Hendo kapewa jukumu la kutafuta mpra Kati isimilikiwe na adui!?...unataka nikwambie Hendo awe anatizama angle zote apatapo mpira ajue pa kuupeleka !? Unataka stats za kupiga pass ngap kama jorginho !?...unataka afunge goli ngap kama Pogba!? unataka anyimane na firmino ama backlines zinazopanda mipira awe anapeleka mbele moja kwa moja kwa Salah au mane hata Kama nafasi ya kufanya hivyo haipo!?Hata sijakuelewa umeandika Nini mkuu maan kila kipengele umelamba na kuacha so nijibu hoja ipi hapo ,uwezo was hendo kukaba??role anayopewa hendo?? Mim kujikuta najua mpira??(ingawa sijasema mim najua) au mim kutoa mawazo yangu siruhusiwi hapa
Afu watu mnaomtetea hendo muwe mnaleta stats bas sio kulia lia tu
Mtu hafungi(kufunga ni mara1 per season),hatoi assist,haintercept,hapigi tackle, Sasa kumbe kazi yake ipi uwanjani as a CM
Au unataka kusema mafanikio ya Liverpool hayamuhusu Hendo hakuchangia kitu!?
Swala la kusema Hawa watoto wameujua mpira juzi hiyo kauli ni kwamba we unajua zaidi yao yani we ni professional coach we ni G.O.A.T kwenye mpira Jk anasubiri Yani... chillax furahi mtu akipewa nafasi akivurunda anatolewa subiri usajili uje aletwe CM wa kiwango asaidiane na faby ...la sivyo Hendo hawezi tupwa kabisa..hata iweje.Asante.