Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Arsenal ni timu dhaifu sana, kama mwadui tu wanafunga goli 1 halirudi wanakomaa mwaneone, aseno wanashinda 3, 4, 5 zarudishwa zote aiseeeee, kwahiyo hata kama wangeongoza 9 pia zingerudi wakafungwa na la 10
 
Mbona tunaotaka wapewe uzoefu hamuwapi?acheni mapenzi na wachezaji pendeni team.
Engekua Origi ndo anae rukaruka humu lawama zingekua bwenaaaaaa
Mkuu huyu ndogo ni mzuri endapo atapata dakika za kucheza...

Mwenzio nawapenda wote wachezaji wanaojituma na timu vile vile napenda na kocha wetu na jopo lake la ufundi...

Origi akifanya powa nitamsifu na vile vile akicheka hovyo nitamsema na si yeye tu ni wote Mkuu...

Hakuna mchezaji ambaye ni zaidi ya timu..

Liverpool comes 1st
 
up date kuhusu keita injury please!
Klopp alisema hategemei kua jeraha kubwa hivyo watamtazama kabla ya kutoa taarifa rasmi..

Kesho Klopp akiongea na waandishi Wa habari atasema..

Matip ndio bado upo uwezekano akakosa mechi ya wekedi hii..

Salah watamtazama pia..

Shaqir, Clyne hao bado kabisa.
 
Klopp alisema hategemei kua jeraha kubwa hivyo watamtazama kabla ya kutoa taarifa rasmi..

Kesho Klopp akiongea na waandishi Wa habari atasema..

Matip ndio bado upo uwezekano akakosa mechi ya wekedi hii..

Salah watamtazama pia..

Shaqir, Clyne hao bado kabisa.

Binafsi nimeshakata tamaa kuhusu uzima wa Keita.
Injury imeshamtoa kwenye reli
 
Tumeshinda kibabe our 23 kids vs first eleven ya arsenal

kuna mawili hapo....

Hukuangalia game ila ulihadithiwa tena na mtu ambaye hajui hizi timu

Au

Huijui Arsenal so hata first eleven yake huijui.....pia hata timu unayoishabikia pia huijui maana huwezi sema milner,ox,origi,lalana,keita ni u23

Na kama ni hivyo usiwe unaropoka kama kitu hujui🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom