Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sa
Sahih kbs Mkuu ila kule carabao awe anacheza milner na lallana pamoja na Orig tu lkn Ox,keita, wasipelekwe kule kbs maan mwak huu naona kila dalili ya kutinga hatua nzur UCL maan timu nying za European still ni uchafu TU yaan tunakila sababu ya kulisogelea tena kombe la UCL so we have to strengthen our squared by avoiding to include some of our players in trash and shit compitation like carabao ,but all in all EPLfor us is Still unanswered cry
Any Liverpool fan will trade EPL triumph over any other trophy.. But in the mean let's enjoy the ride as the games come thick and 1st all is good so far...

Hopefully Shaqir, Keita and Matip get better and we have a capable squad to push the so called mickey trophies...

UCL so far timu nyingi ni kama "hazieleweki" ikiwemo na sisi wenyewe hivyo itategemea zaidi tupambane tumalize tukiongoza kundi..

Inthe meantime walete hao Villa
 
Kila mtu abaki na mjadala wake kichwani mwake.

Tunao amini hendo ni weak tutaamini mpka mwisho, walikumbatiwa kina mignolet kina moreno sasa kimya.
Na wanaoamini Hendo ni bora waamini pia vivyo vivyo,

baadae na aston villa.
itategemea na line up kwenye mid they (villa) have energy kucheza na city around 45 min bila kuruhusu goli kwa promoted club sio jambo dogo .
Tujipange.

WIN is a WIN
YNWA
Villa vs Liverpool always a cracker game...

Hawa jamaa ni jino Kwa jino angalau Benteke hayupo kwao tena maana jamaa alikua na sifa Sana tukikutana...

Jack ndio creator wao...

If we kill their mid Park they are so so done...

3 points Leo muhimu before we meet unpredictable Citizen..
 
TRENT'S 100TH APPEARANCE

Trent Alexander-Arnold may have only turned 21 last month but he will make his 100th appearance for Liverpool this afternoon. It's been a rapid rise - but there's no doubting his importance to the team now...

Future Captain in the making..
 
Villa playing superb game so far lots of energy and intensity..

So just how do we break this stubborn Villa..

Guys pushing and making us make MISTAKES...
 
Hata sijakuelewa umeandika Nini mkuu maan kila kipengele umelamba na kuacha so nijibu hoja ipi hapo ,uwezo was hendo kukaba??role anayopewa hendo?? Mim kujikuta najua mpira??(ingawa sijasema mim najua) au mim kutoa mawazo yangu siruhusiwi hapa

Afu watu mnaomtetea hendo muwe mnaleta stats bas sio kulia lia tu
Mtu hafungi(kufunga ni mara1 per season),hatoi assist,haintercept,hapigi tackle, Sasa kumbe kazi yake ipi uwanjani as a CM
Kukimbiza wapinzani na kunyoshea wenzie vidole ha ha haaa labda ndo jukumu lake hilo
 
Kwa hili la Hendo kuna watu nikiwaeleza kama ulivyoeleza huwa hawaelewi mpaka najiuliza kwa ubishi wao walipataje kumaliza hata LA saba

By the way Hendo anakuwa nje ya lawama akicheza kiungo cha mbele like kipindi cha kina Suarez na Sturridge, hata sasa baada ya fabinho kufit-in naona ubora wake.
Mkuu utakua na jicho la tatu wewe naomba unambie ubora wake nijifunze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom