XinKumi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 1,275
- 1,143
Kuna uhuru wa kutoa maoni na kuna kuwa na Gubu.Usimzuie yupo huru kuongea kama nyinyi kila mara hamuachi kutukana wachezaji wenu msiowapenda
Malafyale ana GUBU.
Kuna uhuru wa kutoa maoni na kuna kuwa na Gubu.Usimzuie yupo huru kuongea kama nyinyi kila mara hamuachi kutukana wachezaji wenu msiowapenda
Ok sawaHapo Kazi ni December tu, November ni Fixture ya kawaida tu haina shida yoyote
Kwan huyo Paul scholes alikuwa na maajabu gan mpaka anamdiss Hendo anamsahau mtu aliyecheza nayeRoy Keane alipata kusema kwamba Hendo alitakiwa kuwepo studio na sio uwanjani and by the way hiyo ilikuwa ni katika mechi za kimataifa Hendo akichezea England national team
Kwan huyo Paul scholes alikuwa na maajabu gan mpaka anamdiss Hendo anamsahau mtu aliyecheza naye
Kwan huyo Paul scholes alikuwa na maajabu gan mpaka anamdiss Hendo anamsahau mtu aliyecheza naye
When will these fuvking arguments stop?
Aston Villa tunawamudu vyema tu defence yao Kwa sasa haijakaa sawa... Mbele wako powa kimtindo...Fabinho akipata yellow card dhidi ya Aston villa atakosa mechi ya City maana itakuwa kapata yellow 5. Na kwa kazi yake kupata yellow ni kitu cha kawaida.
Je klopp atamuweka benchi aweke mido ya milner gini na henderson au atamuweka na kurisk kucheza hiyo mido dhidi ya City.
Hendo na Scholes ni kama kulinganisha usiku na mchana...Ni Roy Kean sio Scholes
Hata hivyo tujaribu kumjengea heshima Scholes alikuwa ni one of the best Midfielder in English Football ambapo mbele ya Henderson alikuwa na maajabu makubwa sana kiasi ya kwamba Hendo aunganishwe mpaka na Wajukuu zake hatoweza kufikia hata 0.01% ya alichokuwanacho Schools katika Career Yake.
, anaweza akaibuka mtoto wake akawa bonge la mchezaji
Ni Roy Kean sio Scholes
Hata hivyo tujaribu kumjengea heshima Scholes alikuwa ni one of the best Midfielder in English Football ambapo mbele ya Henderson alikuwa na maajabu makubwa sana kiasi ya kwamba Hendo aunganishwe mpaka na Wajukuu zake hatoweza kufikia hata 0.01% ya alichokuwanacho Schools katika Career Yake.
Kwan huyo Paul scholes alikuwa na maajabu gan mpaka anamdiss Hendo anamsahau mtu aliyecheza naye
Ni Roy Kean sio Scholes
Hata hivyo tujaribu kumjengea heshima Scholes alikuwa ni one of the best Midfielder in English Football ambapo mbele ya Henderson alikuwa na maajabu makubwa sana kiasi ya kwamba Hendo aunganishwe mpaka na Wajukuu zake hatoweza kufikia hata 0.01% ya alichokuwanacho Schools katika Career Yake.
Unaweza pitia stats zake then urud hapaNi Roy Kean sio Scholes
Hata hivyo tujaribu kumjengea heshima Scholes alikuwa ni one of the best Midfielder in English Football ambapo mbele ya Henderson alikuwa na maajabu makubwa sana kiasi ya kwamba Hendo aunganishwe mpaka na Wajukuu zake hatoweza kufikia hata 0.01% ya alichokuwanacho Schools katika Career Yake.
Naringanisha kabisa scholes Hana tofauti na hendoYou are probably out of your senses!
Yaani unamlinganisha Hendo (Garasha) na Legend Scholes!
Hujanielewa.huyu na Boby ni wachezaji wa aina tofauti ila kuna watu wanataka wafanane kimchezo.Kwa hiyo mkuu Origi unataka acheze namba ya Firminho halafu Firminho akae benchi??
Ama unataka tubadilishe mfumo ili Origi wako apate namba
Yaani humu ndani kuna mashabiki wananishangaza sana, wanajifanya wanajua kuliko klopp...
wao ni kutaka hendo aondoke, mara akae bench, hawajui sababu ya klopp kumuweka na timu inashinda...
Wenyewe kila siku wanalilia usajili na kusahau kuwa kila mchezaji mpya atahitaji muda aweze kuendana na falsafa ya mwalimu na akishindwa ni hasara kubwa....yaani tabia za mashabiki wa MAN U zimehamia humu...kutaka kila kitu (TAMAA)..TUBADILIKE...kama mtu unaona huendani na falsafa ya klopp unataka afanane na PEP...Hamia kwa PEP
Hata pumba kuku wanakula ...mtu Kama unamkubali scholes unamdiss Hendo nakushangaa sana ..sioni tofauti (mtazamo wangu) alafu angalia maneno unayokuja nayo unaweza ukajibu bila kuja na maneno ya kejeli mbona mwenzio King Ngwaba anajibu kistaarabu tu hebu jicheckNilikuwa kimya kwa muda, nikawa nasoma bila kukoment, recently naona kuna watu wameongezeka halafu kama ni replicas za Malafyale!
Full pumba. Sasa eti mtu anamlinganisha Scholes na Hendo!
Mbona husemi game plan imefeli..kocha anabadilisha? Mbona husifii kuwepo hendo ndan na timu inashinda...tutajie hao mnaowataka tuone timu walizopo wanafanya nin..tujifunze kukubali juhudi za mtuTunacho shangaa team ikizidiwa huwa anamtoa yeye sasa kama anakubali kama ndo chanzo cha kuzidiwa kwanini awape mizigo kina Faby wakabe na wagawe pasi huoni kuna shida hapo
Tatizo inafelishwa na Hendo tu.tunashinda akiwepo ndio akiwa kiungo mshambuliaji mchango wake unauonaje?.Mbona husemi game plan imefeli..kocha anabadilisha? Mbona husifii kuwepo hendo ndan na timu inashinda...tutajie hao mnaowataka tuone timu walizopo wanafanya nin..tujifunze kukubali juhudi za mtu
Naringanisha kabisa scholes Hana tofauti na hendo