DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
eeeeeeeeeeeeeehhhhJipe moyo mkuu ndugu yetu
eeeeeeeeeeeeeehhhhJipe moyo mkuu ndugu yetu
Matokeo Mkuu,Aman iwe nanyi
Leo wahuni wa pale darajani tunaenda kushuka dimbani kumchakaza Valencia kutoka spain
Leo Valencia atakula si chini ya gor tano
Juzi tumetoka kumchapa mume wa man united wolves mkono
Sasa leo ni zamu ya Valencia na jumapili ni zamu ya Liverpool
Tukane saa nne wazee wa champion
Wazee wa futuhi man united na arsenal na nyie mkutane kwa diallo pale star tv kucheki futuhi ya akina brother k
Nimemaliza
LONDON BOY
Nilijua tu mkuu Beira Boy usiwe anatoa utabiri tena mkuuHahahah jamaa huwa anawatilia gundu,unakumbuka hata na man u alisema hivo hivo, muwe mnamzuia asianzishe Uzi za kusema mnafungwa.
Ndio ndio
Unakumbuka kipindi kuna vigogo..ukipangiwa barca au munich atomatically unajijua ushatoka uefa
wewe labda dunia ya CCMHahahahahahahahahahahahahahahahahahabahahahahahahahahabahahhahahahahaah
Kikosi cha Dunia kinapigwa na Napoli
Ok vizuri na zile ngumu ngumu tulizoshinda Mid zilivyokaa.Hizi ni baadhi ya games chache tulizopoteza msimu ulioisha, unaweza kuona mid zilivyokaa
View attachment 1210473View attachment 1210474View attachment 1210475View attachment 1210477
Ok vizuri ila Msimu huo huo takwimu za UEFA
Eti eeh! Enzi zetu saa hizi ushavishwa shanga
Muhimu kuingia tu 16 kaka, kwa sasa sisi ndo vigogo. Hakuna ambae anaomba akutane na liverpool. Ila kukusanya point 9 mwanzoni ni muhimu kuliko kujakupiga ramli mwishoni.Kwenye hili Group tunapita ila concern yangu ni je tutaongoza hili kundi?
Kuongoza kundi kuna faida yake pale utakapoingia 16 bora na mpinzani utakayekutana nae! Kama hukuongoza kundi manake utakutana na kigogo atakayeongoza kundi.
Ok vizuri na zile ngumu ngumu tulizoshinda Mid zilivyokaa.View attachment 1210502View attachment 1210503View attachment 1210504