Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,585
- 28,562
🤗🤗🤗🤗Na nyie mna miaka kumi na tano hamjalinusa ama ndio unatimiza ule msemo wa "Maiti iliyokufa leo inaicheka iliyoitangulia kufa"
KUFA NI KUFA TU
🤗🤗🤗🤗Na nyie mna miaka kumi na tano hamjalinusa ama ndio unatimiza ule msemo wa "Maiti iliyokufa leo inaicheka iliyoitangulia kufa"
KUFA NI KUFA TU
zouma na magwaya wana tofauti gani mkuuVVD ni zuma aliechangamka kaanza sasa shughuli zake
Dah halafu kweli aise ..kakutana na watoto walaini laini akina Rashid, lingard, angekutana na minjemba akina Didier, CR7 uko..Vvd anacheza zama za wakina rashford na abraham hamna kitu mule sema ni zuma aliechangamka tu
Hahahahahahahahahaha cc radikaKatika mashabiki wa MANCHESTER UNITED humu JF ambao hawajui chochote kuhusu mpira RADIKA ni namba 1.
ni lini hamkuwahi kuitamani EPL mkuu?last season au?maana hili kombe kuna raia wametoka academy hapo liver na wameshastaafu now lakini hawakulinusa,dah aiseeeeeeeeeeeehhhhh
Ficha ujinga wakoVVD ni zuma aliechangamka kaanza sasa shughuli zake
Akashabikie ragbi kama vip huwez ongea mataputapu kama yale juu ya VVD kama sio wivu au uzwazwaKatika mashabiki wa MANCHESTER UNITED humu JF ambao hawajui chochote kuhusu mpira RADIKA ni namba 1.
Lakin mkuu VVD sioni kama ana tofauti sana na Zouma, Sema labda experience tu na ilikuwa ni wakati wake wa kushine ..mim naona radika yupo sawa tu ..magwaya is better so far than VVD ..Ficha ujinga wako
Nenda kawaambie kina jones hayo maneno
Sema hii kali daaah! ya kibabe sana ..VVD ni zuma aliechangamka kaanza sasa shughuli zake
Sema hii kali daaah! ya kibabe sana ..
Eti VVD ni Zouma aliyechangamka hahahahahahahahahaha
Kila la kheri Chelsea
Katika mashabiki wa MANCHESTER UNITED humu JF ambao hawajui chochote kuhusu mpira RADIKA ni namba 1.
Kuna watu wana uzayuni aisee...
Ona hii kitu:
√ Tunaposema Alisson ni Kipa bora
Jibu lao huwa hili: "ALISSON HAMNA KITU ANALINDWA NA BEKI TU"
√ Haya basi tunasema VVD beki bora (Si ndiye anayemlinda Alisson?)
Jibu lao huwa hili: "VVD HAMNA KITU NI ZOUMA ALIYECHANGAMKA"
Dilemma iliyopo: Alisson si kipa analindwa na Beki, Beki ni mbovu anamlindaje kipa?
Nadhani ni Chiellini ndiye Beki anauekodiwa kila game ya Liverpool kuja kumlinda Alisson
ni lini hamkuwahi kuitamani EPL mkuu?last season au?maana hili kombe kuna raia wametoka academy hapo liver na wameshastaafu now lakini hawakulinusa,dah aiseeeeeeeeeeeehhhhh
haha Radika tulia japo Vidic, Rio pamoja na ubora wao hawakushinda Super Cup...VVD sio level ya akina Zumas...
Zuma akija kua nominated tuzo za VVD ni tagg...
VVD mchezaji bora EPL msimu 2018-2019...
Mchezaji bora msimu EUROPE 2018-2019
Mchezaji bora wa DUNIA fifa 2018-2019 Loading
Mchezaji bora wa Dunia Ballon 2018-2019 loading
karejesha imani kwamba kupata tuzo binafsi na mataji makubwa sio mpaka kuchezea Real au Catalans...
ni mengi sana anayofanya huyu jamaaa...
Zuma hata robo haingii...
Maguire better take notes...
Ficha ujinga wako
Nenda kawaambie kina jones hayo maneno
Akashabikie ragbi kama vip huwez ongea mataputapu kama yale juu ya VVD kama sio wivu au uzwazwa
VVD JAU