Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Good News for sure! Either David Tavares or Timo Werner next season
Wewe nenda kwenye genge lenu la MATAPUTAPU FC huku haupawezi.
Wewe nenda kwenye genge lenu la MATAPUTAPU FC huku haupawezi.
Only Klopp knows why...Hizi ni baadhi ya games chache tulizopoteza msimu ulioisha, unaweza kuona mid zilivyokaa
View attachment 1210473View attachment 1210474View attachment 1210475View attachment 1210477
Radika utulie hivyo hivyo....VVD ni mshinda wa Uefa, SuperCup na sasa ndio mchezaji bora wa Europe..na hivi karibuni atakua mchezaji bora wa dunia....VVD ni zuma aliechangamka kaanza sasa shughuli zake
Radika utulie hivyo hivyo....VVD ni mshinda wa Uefa, SuperCup na sasa ndio mchezaji bora wa Europe..na hivi karibuni atakua mchezaji bora wa dunia....
Dhamani ya sasa imeongezeka maradafu...
Zuma mfananishe na akina Maguire...
rudi kwangu angalau wakifikia robo ya mafanikio yake
Timu za Italia hazijawahi kunitetemesha
Milner na mwenzie Henderson ni janga
Vvd anacheza zama za wakina rashford na abraham hamna kitu mule sema ni zuma aliechangamka tu
Vvd anacheza zama za wakina rashford na abraham hamna kitu mule sema ni zuma aliechangamka tu
Katika mashabiki wa MANCHESTER UNITED humu JF ambao hawajui chochote kuhusu mpira RADIKA ni namba 1.Kuna watu wana uzayuni aisee...
Ona hii kitu:
√ Tunaposema Alisson ni Kipa bora
Jibu lao huwa hili: "ALISSON HAMNA KITU ANALINDWA NA BEKI TU"
√ Haya basi tunasema VVD beki bora (Si ndiye anayemlinda Alisson?)
Jibu lao huwa hili: "VVD HAMNA KITU NI ZOUMA ALIYECHANGAMKA"
Dilemma iliyopo: Alisson si kipa analindwa na Beki, Beki ni mbovu anamlindaje kipa?
Nadhani ni Chiellini ndiye Beki anauekodiwa kila game ya Liverpool kuja kumlinda Alisson
haha Radika tulia japo Vidic, Rio pamoja na ubora wao hawakushinda Super Cup...VVD sio level ya akina Zumas...Vvd anacheza zama za wakina rashford na abraham hamna kitu mule sema ni zuma aliechangamka tu
Hii gemu tunashinda...hatuna main worry with new injuries...Watu wanaweweseka na Game ya Jana (UCL vs Napoli) lakini Mimi mwenzenu sio Siri ninaweweseka na Game ya EPL vs Chelsea! Hiyo ya Napoli hata hainijalishi coz CL sio First priority yangu season hii.
CL tumeshachukua last season! Kwa season hii nimeridhika hata kama tutatolewa kwenye Makundi.
Ila First Priority yangu season hii ni EPL kuibeba hata kama kwa Ulozi.
Hii game ya vs Chelsea kwakweli imenipatia homa ya gafla! Yani nahitaji point(s) kwa hali yoyote ile.
Hii michelsea najua itatukazia tu (isipokuwa wale wanaoingia na matokeo yao mfukoni kama walivyoingia kibanda umiza na Matokeo yao ya Napoli ndiyo watasema wanaenda kishinda Darajani).
Tukipoteza naweza hata kuangukia ICU.
haha hilo nalo neno....ni lini hamkuwahi kuitamani EPL mkuu?last season au?maana hili kombe kuna raia wametoka academy hapo liver na wameshastaafu now lakini hawakulinusa,dah aiseeeeeeeeeeeehhhhh
haha Radika tulia japo Vidic, Rio pamoja na ubora wao hawakushinda Super Cup...VVD sio level ya akina Zumas...
Zuma akija kua nominated tuzo za VVD ni tagg...
VVD mchezaji bora EPL msimu 2018-2019...
Mchezaji bora msimu EUROPE 2018-2019
Mchezaji bora wa DUNIA fifa 2018-2019 Loading
Mchezaji bora wa Dunia Ballon 2018-2019 loading
karejesha imani kwamba kupata tuzo binafsi na mataji makubwa sio mpaka kuchezea Real au Catalans...
ni mengi sana anayofanya huyu jamaaa...
Zuma hata robo haingii...
Maguire better take notes...
Na nyie mna miaka kumi na tano hamjalinusa ama ndio unatimiza ule msemo wa "Maiti iliyokufa leo inaicheka iliyoitangulia kufa"ni lini hamkuwahi kuitamani EPL mkuu?last season au?maana hili kombe kuna raia wametoka academy hapo liver na wameshastaafu now lakini hawakulinusa,dah aiseeeeeeeeeeeehhhhh