Oyaaa majomba mwera hao
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 290
- 424
Ramli pandikizi
Eti eeh! Enzi zetu saa hizi ushavishwa shanga 😀😀😀Chelsea inasinda mapema sana hii game
unauhakika gani kama ni him?
Kwa bahati mbaya hakuna tena timu vigogo za kutisha kivile...mpira umebadilika sana
Norwich kamfunga Man City. Zikikutana tena bado watu tutaamini Man City atashinda ingawa mechi iliyopita alishinda Norwich.Napoli msimu uliopita walimtwanga uyo Liverpool wako sasa ulijuaje watafungwa?
Sijawahi kuwa na wasiwasi wa nani tutakutana nae after makundi hata miaka tuliyoingia fainali yote nadhani tulikuwa wa 2 pia. Hii mechi nilijua ngumu kutoka sababu napoli wangepania sana...ndo maana mwanzo nilisema asichoshe wachezaji apange tu akina lallana na shaqiri ili tumuwaze chelsea maana hili kundi tutapita tu. Hawa akina samatta hawana dili.lolote wala salzburg...ila ndo tushawachosha akina robertson na chelsea kala kidude atakuja na moto huyo balaa. Kama alivyotukimbiza kule kwenye supercup.
Ila nashukuru Kante atakuwa hajapona
unataka kusema Napoli ni kama Norwich?Norwich kamfunga Man City. Zikikutana tena bado watu tutaamini Man City atashinda ingawa mechi iliyopita alishinda Norwich.
Umeelewa sasa?
Ndio ndioKubadilika kote lakini kwenye hata ya Makundi tutapita wala sina wasiwasi na hili



Hamna timu mule..wamekutana tu na vivulana janaunataka kudanganya kuwa Valencia sio kigogo2014?
nitake radhi mkuuWewe ni kenge kuanzia leo mpaka kesho
Aman iwe nanyi
Leo wahuni wa pale darajani tunaenda kushuka dimbani kumchakaza Valencia kutoka spain
Leo Valencia atakula si chini ya gor tano
Juzi tumetoka kumchapa mume wa man united wolves mkono
Sasa leo ni zamu ya Valencia na jumapili ni zamu ya Liverpool
Tukane saa nne wazee wa champion
Wazee wa futuhi man united na arsenal na nyie mkutane kwa diallo pale star tv kucheki futuhi ya akina brother k
Nimemaliza
LONDON BOY



Mwaka jana tulicheza vibaya kuliko jana na tulifungwa goal moja jana japo tumefungwa 2 lakini tumecheza vizuri kuliko mwaka jana. Mimi sioni kitu cha kupanick katika hili. Ni kweli kuna mapungufu lazima yafanyiwe kazi lakini usajili kwa sasa sio issue ni tuwatumie nani na nani kutegemea na game. Mwaka jana mechi zote za away tulifungwa. Kwa mechi ya jana kwa maoini yangu sio kwamba tulikuwa wabaya sana tumecheza vizuri kiasi sio kama mwaka jana ilikuwa hovyo. Team nzuri bado hatuwezi kuwa wiki hii team nzuri wiki ijayo team mbaya hapana tunacheza na team nzuri pia. Kwa mwaka huu mimi kama mshabiki wa Liver tukitoka CL wala sitakosa usingizi natamani Liv mwaka huu watupe karata zote PL ni lazima tubebe ubingwa home halafu tutakuja tena CL.
Salamu zimefikaAman iwe nanyi
Leo wahuni wa pale darajani tunaenda kushuka dimbani kumchakaza Valencia kutoka spain
Leo Valencia atakula si chini ya gor tano
Juzi tumetoka kumchapa mume wa man united wolves mkono
Sasa leo ni zamu ya Valencia na jumapili ni zamu ya Liverpool
Tukane saa nne wazee wa champion
Wazee wa futuhi man united na arsenal na nyie mkutane kwa diallo pale star tv kucheki futuhi ya akina brother k
Nimemaliza
LONDON BOY
ulisomea utabiri mkuu?Mwanangu ukishasema tunashinda ndo tunafungwa ..ila ngoja tuone labda leo unaeza patia ..
Kila la kheri Chelsea![]()