Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
well said...pale kati walipakamata vyema...Kwa nilichokiona mimi vs Naples
Wanatufunga kwasababu Plan yao ya kwanza ni Kidhibiti Midfield (Due to our incompetent Midfield) kuhakikisha Kati wanatawala wao ili waweze kuwa na 3 alternatives za kufanya Mashambulizi.
Kutokana na kudhibiti Mido yote basi Mido zao wanaweza kuanzisha mashambulizi upande wa kulia, au upande wa kushoto, au kupitia kati moja kwa moja.
Pia sababu nyengine ya kutufunga ni kwamba kila game wanakuwa na game plan ya kumshut down completely TAA kwani wanajua ndiye threat kwa mpinzani! So, leo wamefanikiwa tena kumzima kama last season asiweze kupanda juu na kitengeneza nafasi.
Pia jambo jengine ni kwamba leo Bobby hakuwa katika ubora wake na huku Koulibaly alikuwa anakwenda na Salah toe to toe pale anapokaribia kwenye 18..
Kutokana na kutokuwa vizuri kwa Bobby pamoja na kukabwa kwa Salah, basi na Mane akawa anapotea kirahisi.
they knew when to tackle, kujazana kati, when to press, when to sprint, and in the same time aware of our counter balls., bila Fabby being at his best we were doomd
Bobby ws underperfoming and when he does we rarely win....
TAA pinned at his own half and aware of Insigne he couldnt attack...
Carlos game plan worked so so well...thrice he has got an upper hand now its tym for Klopp to come up wt counter measure...
we got our chances bt we werent clinical enough..

