Ku

Rafki yangu mmoja katika moja ya mazungumzo ya mpira alining'ata sikio klopp sio kocha wa makombe anawapotezea muda msimu wa nne bado yupo sifuri akasema mwangalie Pep kaja na kubeba (Alijikita kwejmnye EPL).
Nilimwambia mbali na hayo, Klopp ameturudisha ulaya CL,amerejesha mvuto wa klabu yetu nje na ndani ya uwanja tunawikaa kwa sasa, kwa hili tu makombe yatakuja.
Ah wapi ninyi wazee wa kujifariji kwa historia,.
Huko alipo kwa sasa atakua anasonya tu mbaya zaidi ni asenali lia lia.
Mashabiki wengi wanaishi kwa ku kopi na kupasti...Klopp tulifika fainali 3 tofauti Europa, Carabao, UCL bila kucheka mwa mwisho tukaishia huzuni, the good thing he ddnt give up kila fainali aliona mapungufu ni yapi na akayafanyia kazi na mwishowe fainali ya NNE na TANO tangu ajiunge na majogoo akafanya kweli....

sasa hao waliozoea kutusema tutaishia kusindikiza sasa wapo KIMYA hawana tena nyimbo...asikwambie mtu UCL is next to World Cup hivyo hilo taji si kitoto...and we are proud of this grand achievement...

Hivi angetokea shabiki miaka kadhaa iliyopita akwambie kuna siku itafika ofa kutoka Nike ya kuipiku dili la Manu EPL ungemuona mwehu lakini huo ndio ukweli timu inavyofanya vizuri uwanjani kibishara nako hua inakwenda mle mle...wenye pesa zao kama Nike wanafuata upepo wa pesa japo inakuja na ishu kadha wa kadha kama alivyoeleza MosDef..

zamani tulizoea kila msimu ukiisha ma star performers wetu wataodoka kadhaa lakini sasa the boys are settled and happy to wear that Red jersy with Pride...

Lini EPL ilitoa beki bora na mchezaji bora wa Europe hayo yote yanatokea sasa tukiongozwa na Klopp the drunkard master...

EPL is coming home, sasa am damn convinced hawa Citizen tutaeda jino kwa jino...

the boys are raising thier tempo..hii UCL and Super Cup plus VVD kushinda tuzo akiwabwaga akina Messi na CR7 has brought some very high belief in this squad...

Loverness tembea kifua mbele tupo kwenye laiti track
 
Well said kop,.
Mashabiki wengi wanaishi kwa ku kopi na kupasti...Klopp tulifika fainali 3 tofauti Europa, Carabao, UCL bila kucheka mwa mwisho tukaishia huzuni, the good thing he ddnt give up kila fainali aliona mapungufu ni yapi na akayafanyia kazi na mwishowe fainali ya NNE na TANO tangu ajiunge na majogoo akafanya kweli....

sasa hao waliozoea kutusema tutaishia kusindikiza sasa wapo KIMYA hawana tena nyimbo...asikwambie mtu UCL is next to World Cup hivyo hilo taji si kitoto...and we are proud of this grand achievement...

Hivi angetokea shabiki miaka kadhaa iliyopita akwambie kuna siku itafika ofa kutoka Nike ya kuipiku dili la Manu EPL ungemuona mwehu lakini huo ndio ukweli timu inavyofanya vizuri uwanjani kibishara nako hua inakwenda mle mle...wenye pesa zao kama Nike wanafuata upepo wa pesa japo inakuja na ishu kadha wa kadha kama alivyoeleza MosDef..

zamani tulizoea kila msimu ukiisha ma star performers wetu wataodoka kadhaa lakini sasa the boys are settled and happy to wear that Red jersy with Pride...

Lini EPL ilitoa beki bora na mchezaji bora wa Europe hayo yote yanatokea sasa tukiongozwa na Klopp the drunkard master...

EPL is coming home, sasa am damn convinced hawa Citizen tutaeda jino kwa jino...

the boys are raising thier tempo..hii UCL and Super Cup plus VVD kushinda tuzo akiwabwaga akina Messi na CR7 has brought some very high belief in this squad...

Loverness tembea kifua mbele tupo kwenye laiti track
Well said kop tumeziwasha hazards,.
tukibeba na Club World Cup tutakua tumenunua hamasa kuuuubwa sana ndani ya miezi sita.
 
Well said kop,.

Well said kop tumeziwasha hazards,.
tukibeba na Club World Cup tutakua tumenunua hamasa kuuuubwa sana ndani ya miezi sita.
Ndani ya miezi 6 kushinda vikombe vitatu vikubwa sio kazi ya kitoto...

Kudos to the boys...

tumevumilia mno

sipati picha wala nega wanavyopata shinda mashabiki wa Manu an Ganaz maana kuna kipindi we used to envy them big time...lakin sasa tumepindua meza kibabe na hukuna kurudi nyuma...

we have reclaimed our Top spot as the most decorated Club pale UK...
 
Ndani ya miezi 6 kushinda vikombe vitatu vikubwa sio kazi ya kitoto...

Kudos to the boys...

tumevumilia mno

sipati picha wala nega wanavyopata shinda mashabiki wa Manu an Ganaz maana kuna kipindi we used to envy them big time...lakin sasa tumepindua meza kibabe na hukuna kurudi nyuma...

we have reclaimed our Top spot as the most decorated Club pale UK...
Ilikua ni ngumu kumeza.Mnaambiwa pambaneni kwanza na kina Stoke city na west brom ndio mje kwetu",.
huku mna kina Lambert Borini jay spearing,.
 
Ilikua ni ngumu kumeza.Mnaambiwa pambaneni kwanza na kina Stoke city na west brom ndio mje kwetu",.
huku mna kina Lambert Borini jay spearing,.
hahaha Jay Spearing touted as the next SG8 lol hata sijui alifia wapi...Lambrert, Borini,Aqualani lol we were damn big time losers....
 
J.N.Klopp na M.Edward sifa ziwaende kwao wametufanye tuwe wazungumzaji ila EPL ikija tutakua wasemaji wakuu.
Ilifikia Mahali average players hawatutaki kah.!Midtables club walikua wanatuhenyesha ila kubwa tunakaza, wakatubatiza wazee wa mechi kubwa tu.
Kwa sasa moja haiwakai mbili hawaenei.
YNWA
Sure Mkuu yaani Mimi msimu huu hata tusipochukua kikombe chochote Sina presha kabisa nimeridhika na chama langu...hata Jk akiamua apange kikosi B mi nitaenjoy tu..
 
hapo ndugu tutakua vipoa sana, Micheal ni mtaratibu sana hua habahatisha, nadhani yeye husema kuchelewa kufika sio kutofika slow but sure...

he is the brain behind all this deals zilizotufikisha hapa...chemistry yake na Klopp so far so good..
Sure Yan wale ndez ndez za kina benteke sijui sakho na wengine kapiga chini..yani we fikiria yani tulikuwa tunamtegemea benteke sijui borini, sturridge watupe makombe daaah...tumepitia kugumu...sahv mbele tunakimbiza tu ..ngoja tuone yule Timo Werner Kama atanasa na mephis depay akitua ..ila wilfred zaha sijui inakuaje kuaje lakini poa ..Kuna vitu naona vizito zaidi vitatua maana sometime Jk na MEdwards hawanaga tetesi nyingi unakuta tu mtu tayar katua.....
Gini atamleta depay Liverpool..
 
Sure Yan wale ndez ndez za kina benteke sijui sakho na wengine kapiga chini..yani we fikiria yani tulikuwa tunamtegemea benteke sijui borini, sturridge watupe makombe daaah...tumepitia kugumu...sahv mbele tunakimbiza tu ..ngoja tuone yule Timo Werner Kama atanasa na mephis depay akitua ..ila wilfred zaha sijui inakuaje kuaje lakini poa ..Kuna vitu naona vizito zaidi vitatua maana sometime Jk na MEdwards hawanaga tetesi nyingi unakuta tu mtu tayar katua.....
Gini atamleta depay Liverpool..
man i tell you Benteke,Baloteli, Daniel, Borini nk hao ndio ilikua tegemeo letu kuturudisha kwenye ramani ya soka...walijitahidi lakini hawajutoboa

Zaha ni mzuri lakini kwenye mfumo wa Klopp atasuffer.....

Depay amekua na anazidi kukua...nakumbuka kabla ya kumsajili Firmino tulikua tumchukue Depay hata sielewi hilo dili liliishia wapi japo ni bora hakuja kipindi kile..

Werner saini yake naona kama ni mtihani sana kuipata Bayern wanamkomalia sana..
 
Mashabiki wengi wanaishi kwa ku kopi na kupasti...Klopp tulifika fainali 3 tofauti Europa, Carabao, UCL bila kucheka mwa mwisho tukaishia huzuni, the good thing he ddnt give up kila fainali aliona mapungufu ni yapi na akayafanyia kazi na mwishowe fainali ya NNE na TANO tangu ajiunge na majogoo akafanya kweli....

sasa hao waliozoea kutusema tutaishia kusindikiza sasa wapo KIMYA hawana tena nyimbo...asikwambie mtu UCL is next to World Cup hivyo hilo taji si kitoto...and we are proud of this grand achievement...

Hivi angetokea shabiki miaka kadhaa iliyopita akwambie kuna siku itafika ofa kutoka Nike ya kuipiku dili la Manu EPL ungemuona mwehu lakini huo ndio ukweli timu inavyofanya vizuri uwanjani kibishara nako hua inakwenda mle mle...wenye pesa zao kama Nike wanafuata upepo wa pesa japo inakuja na ishu kadha wa kadha kama alivyoeleza MosDef..

zamani tulizoea kila msimu ukiisha ma star performers wetu wataodoka kadhaa lakini sasa the boys are settled and happy to wear that Red jersy with Pride...

Lini EPL ilitoa beki bora na mchezaji bora wa Europe hayo yote yanatokea sasa tukiongozwa na Klopp the drunkard master...

EPL is coming home, sasa am damn convinced hawa Citizen tutaeda jino kwa jino...

the boys are raising thier tempo..hii UCL and Super Cup plus VVD kushinda tuzo akiwabwaga akina Messi na CR7 has brought some very high belief in this squad...

Loverness tembea kifua mbele tupo kwenye laiti track
Diih hatari alafu JK anauwezo wa kumtengeneza mchezaji wa kawaida kabisa akawa bora duniani..watizame waliochukua kombe bundesliga BVB Dortmund 2012/13 woote walikuwa wa kawaida Sana mats hummels ...gundogan...shinji kagawa..lewandowski ..Mario gotze na wengineo...ila sahivi ...tuje kwa Robo m kwa kweli mwanzoni sikumuelewa lakini alivyoanza kuchanganya kwa kweli ..kuna dogo Gomez na TAA yani wanatambaa Kama watu flan waliocheza premier misimu 10 vile Mane Kuna vitu kaongezewa mi na uhakika kikosi kikibaki hivi hivi mpaka 2022 kwenye tuzo za kubwa kubwa Mane hawezi kukosa hata moja ..mi na-enjoy soccer .Gini atakuja kuiteka dunia, Barca wasipotuharibia kwa huyu ..tutatawala dunia itakuwa yetu sisi.
 
man i tell you Benteke,Baloteli, Daniel, Borini nk hao ndio ilikua tegemeo letu kuturudisha kwenye ramani ya soka...walijitahidi lakini hawajutoboa

Zaha ni mzuri lakini kwenye mfumo wa Klopp atasuffer.....

Depay amekua na anazidi kukua...nakumbuka kabla ya kumsajili Firmino tulikua tumchukue Depay hata sielewi hilo dili liliishia wapi japo ni bora hakuja kipindi kile..

Werner saini yake naona kama ni mtihani sana kuipata Bayern wanamkomalia sana..
Mi naamini vile vichwa viwili JK na ME wakimkomalia Werner atatua labda wapate option nyengine ..maana Madrid ya kusua sua watatuzengea sana mpaka wamteke Mane ..kuna pengo la kuziba pale...ila vile vichwa kuna kitu na connect coutinho kwenda mkopo Bayern na Werner kunammoja atamsave mwenzake aje Liver hapo sio bure..picha naiona kabisa .
 
Diih hatari alafu JK anauwezo wa kumtengeneza mchezaji wa kawaida kabisa akawa bora duniani..watizame waliochukua kombe bundesliga BVB Dortmund 2012/13 woote walikuwa wa kawaida Sana mats hummels ...gundogan...shinji kagawa..lewandowski ..Mario gotze na wengineo...ila sahivi ...tuje kwa Robo m kwa kweli mwanzoni sikumuelewa lakini alivyoanza kuchanganya kwa kweli ..kuna dogo Gomez na TAA yani wanatambaa Kama watu flan waliocheza premier misimu 10 vile Mane Kuna vitu kaongezewa mi na uhakika kikosi kikibaki hivi hivi mpaka 2022 kwenye tuzo za kubwa kubwa Mane hawezi kukosa hata moja ..mi na-enjoy soccer .Gini atakuja kuiteka dunia, Barca wasipotuharibia kwa huyu ..tutatawala dunia itakuwa yetu sisi.
sijui lile HUG la Klopp lina effect kwa hawa wachezaji japo sio wote wapo waliobakia alipowakuta akina Hendo, Lovren, Lallana nk hawakuedelewa wame stuck kabisaaaa...

otherwise wengi wao wamekua moto wanaelewa somo nini wafanye na wakati gani wafanye, ni total game awareness, ufundishangi wa Klopp upo tofauti sana ndio hilo la kuwaona kama wachezaji wengine anaonunua ni wa kawaida lakini akishm profile mchezaji basi kinachofuata ni kum accomodate kikosini ili afit kwenye system...

ukiangalia namna alivyosuka hiki kikosi cha sasa ni kama mchezo wa Chess...all are well calculated players aliowaleta so far...imagine Keita akiwa mzima in full throttle weka hapo na Grujic...yupo na ndogo mmoja Allan mbrazil sijui alishauzwo....

Klopp huangalia mahitaji ya leona yajayo na yajayo ni balaa mno.bei za wachezaji hazieleweki kabisaaaa...

kua na kikosi ambapo Rhian, Origi, Keita hawapo kwa sasa na tupo kamili ni ishara we are heading somewhere nice, zamani hatukua na hio bahati ya kikosi kidogo lakini cha kazi kazi...ni ngumu kushindana mokombe yote lakini upo uwezekano kupata angalau mawili kati ya hayo matano msimu huu palipobaki...

kila mchezaji ana bei na endapo msimu huu tutapata EPLbasi wengi wao watahitaji new challenges hilo halizuiliki...lakini pia ni muhimu kua na wachezaji wenye kutaka kuwepo kikosini Anfield hapo tutafika mbali...akitokea yeyote ajifanye yeye ni zaidi ya timu basi ataodoka kama wengine na tutaedeleza mapambano....

Gini bana ni unsung hero wa Klopp..when he is song he is unstoppable...vs Ganaz, Vs Burnley ameonyesha some flashes za yule Gini tunaemjua...
 
Mi naamini vile vichwa viwili JK na ME wakimkomalia Werner atatua labda wapate option nyengine ..maana Madrid ya kusua sua watatuzengea sana mpaka wamteke Mane ..kuna pengo la kuziba pale...ila vile vichwa kuna kitu na connect coutinho kwenda mkopo Bayern na Werner kunammoja atamsave mwenzake aje Liver hapo sio bure..picha naiona kabisa .
Bayern wapo vizuri sana kwenye negotitation, wale vibabu ukishawapa sikio nakwambia hatutampata huyo Werner...

Hapa Klopp anahitaji afanye mambo mapema asaini pre contract design kama ile ya Matip akifanikiwa basi ndogo atatua...

moja ya mtihani anaopata Klopp na kumfuata mchezaji kama huyo na jamaa anaona kabisa atakua 3rd choice kwa vile wale established forwards wana deliver anyday of the week....hilo alisema Klopp wachezaji wazuri hawataki kuja kusugua benchi or to play second fiddle kwa hao ma starters...nwa muda utasema wapi atatua
 
Ilianza kwa Bobby Duncan, Sasahivi ni kwa Ryan Kent kulalamika.

Kwanini madogo sasahivi wanatulalamikia? Kuna kitu gani behind the scene tunachowafanyia hawa Madogo?
 
Back
Top Bottom