mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,014
- 1,595
Jk anajua anachokifanya ...sidhani kama dejan anaaminiwa kivile(mkumbuke karius mpaka wadau wakasema ni ndugu yake lakini kumbe alikuwa Kama botion huku anatafuta mbadala ndo akatua ali)...utaona Kama anamuamini ila ni baadhi ya mechi tu huku ukijua kuna kifaa anakitafuta kije ki'kave' nafasi...uzuri wa Jk hawez ingia sokoni kizembe anachukua muda mpka kumsajili mtu wa muhimu zaidi...ukiachana na wenye umri mdogo(na mara zote anaangalia na bei iliyoko sokoni na uhalisia wa mchezaji mwenyew-kumbuka ya coutinho na pepe) so hawez kukurupuka sahiv maana ameshaijenga timu ya vikombe na ishakuwa ndo tabia yetu Sasa kila final tunajua kuicheza na kuna wachezaj wake pia wanaoweza kucheza.....( Lakini Kuna fabinho anaweza akakipiga beki pia Yuko vizuri timu ipo bado)ni sahihi kabisa kuanzia Septeba hii mechi zinakua nyingi mno na ni kweli pia back up inahitajika kila namba ili ikitokea majeruhi and i FORBID basi kuwe na wachezaji wenye uzoefu ku supplement mahitaji yetu hilo ni muhimu....hata msimu uliopita Lovren alichangia sisi kuchukua UCL pindi alivyohitajika....japo hao akina Ki Jana wangekua pia back up sawa kwangu kuliko huyu jamaa yaaani simwamini kamwe...ame stuck kabisa pindi achezapo EPL hua kiroho kinadunda maana muda wowote ni janga aisee...
Lovren kua chaguo la nne la kocha kwangu naona ni sawa kwa Klopp maana anachokiona kwake anajua mwenyewe... Klopp ana roho ngumu sana kumwamini jamaa hachelewagi kuchomoa betri huyu..tena aedelee kushuka hata awe chaguo la sita
Hili la wale makinda kumsubiri G8 akabidhiwe kikosi pindi Norbert akiachia ngazi kwangu nasema bado sana...tunahitaji kwanza afanikiwe pale alipo na sio apate free tiketi kwa vile ni Club Legend...wenye timu yao UK kwa hili naona lisipofanikiwa naona watasema Fentway OUT...mpaka sasa tunatakiwa tujifunze yaliyojiri Manu baada ya Fergie kung'oka...hili we should trend carefuly
Klopp katutoa parefu mno but with one emotional mistake we are JUST DONE and back to the Lambert, Baloteli nk era....kuedeleza atakapotuacha kwangu naona should be the main plan and if Gerrard will come better in the next 3yrs then th job is his to lose
.. Gerrard atakuja kutisha mkuu we Kuna kitu amekiongeza rangers sasa na misimu yote miwili wamo Europe league ..heshima kairudisha at least ila kikubwa Gerrard hawez kuwa Ole ..ya fargie na man u yanajulikana yule aliitoa club chini akaipa misingi then akabomoa na misingi sasa wanatafuta wa kuijenga upya huku zama zimebadilika sahivi presha kila kona...sisi misingi tunayo ...wakina rhian na havley watatisha wakiongezwa na mastar wengine 2022 tutakuwa vizuri....