OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,066
Mumewafunga wavimba macho walipanda daraja hawajafanya usajili wowote ule mna leta kelele apa. Subiri tukuoneshe mpira jumapili."W" ya kwanza EPL 2019/20
Vijana wamecheza vizuri hasa ukitilia maanani ni mechi ya kwanza
Tuzidi shikamana,mambo mazuri yanakuja
Man united 1-3 Chelsea.