Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndugu zanguni tuzidi omba Alson kuumia kusiwe kukubwa,
Katembea mwenyewe nadhani ni kitu kidogo sana!
Meanwhile
Should be 5-0
Captain anakosa bao la wazi sana!
Bob anakosa bao la wazi sana
 
Shindeni hata mia Leo ila mume wenu mnamjua ni nani. Msimu huu hata kombe LA mbuzi hambebi.
Msimu uliopita ilikua nguvu ya soda na ndo gesi inaishia hivyo. Itafika kipindi mtaanza kasema KLOOP OUT hapo ndo mtajua msiba ni nyumba hadi nyumba.
Liverfools majogoo yasiyo rizki.
Kila MTU ashinde za nyumbani ndo kauli ya EPL msimu huu. Mkija O.T tunawachinja na msumeno butu.
 
Shindeni hata mia Leo ila mume wenu mnamjua ni nani. Msimu huu hata kombe LA mbuzi hambebi.
Msimu uliopita ilikua nguvu ya soda na ndo gesi inaishia hivyo. Itafika kipindi mtaanza kasema KLOOP OUT hapo ndo mtajua msiba ni nyumba hadi nyumba.
Liverfools majogoo yasiyo rizki.
Kila MTU ashinde za nyumbani ndo kauli ya EPL msimu huu. Mkija O.T tunawachinja na msumeno butu.
Hivi unajua Everton, Leicester , Watford ,wolves wana forward Kali kuliko man u & Chelsea ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom