a good win. a good start. top of the league.

BUT.....

we have conceded just too many shots. better opposition would have scored at least 3 against us tonite. not good enough.
I think sababu ni kuwa our midfield didn't have the solidity that we're used to seeing - which left our backline very exposed on multiple occasions.
 
OTE="AROON, post: 32438772, member: 236445"]
Hivi unajua Everton, Leicester , Watford ,wolves wana forward Kali kuliko man u & Chelsea ?
[/QUOTE]
unajua


Unajua kwamba timu zote EPL manutd ndo kwenye back line Kali kuliko zote. Na kiungo wa dunia Pogboom.
 
Iwapo Klopp atafanikiwa kurekebisha baazi ya kasoro ndogondogo tu basi msimu huu tutatisha!

Shehemu ya Midfield
Na Sehemu ya CD zinahitaji marekebisho

Mnaota. ndo mnaanza kupoteana hivyo mdogomdogo mwisho mbaya unawafuata mkuu nyea kambi mapema usijesema sikukuambia.
Ushindi wa Leo usiwape kichwa timu lenu bovu hapo katikati ni mmeisha na kule nyuma uchochoro tu
 
Iwapo Klopp atafanikiwa kurekebisha baazi ya kasoro ndogondogo tu basi msimu huu tutatisha!

Shehemu ya Midfield
Na Sehemu ya CD zinahitaji marekebisho
mimi naona tatizo ni midfield.
tumezoea kuiona midfield yetu ambayo ni compact lakini kwenye game la ManCity first half na ya leo yote pale kati hapakuwa solid.

normally midfield yetu Klopp kaitengeneza ku support zaidi defence ili fullbacks ndiyo wawe wana bomb forward kutengeneza nafasi. ndiyo maana siku ya ManCity na hata leo TAA alionekana ni uchochoro kwani kina Hendo walikuwa nyoronyoro kumlinda.

watu wanai credit defence yetu pekee kuwa ndiyo iliyotufanya tuwe wagumu kufungika msimu uliopita lakini wanasahau role kubwa iliyofanywa na midfield.

Klopp inabidi awapigishe kwata midfielders wote kabla hawajalala leo ili washike adabu games zinazokuja nyambafu!
 
Shindeni hata mia Leo ila mume wenu mnamjua ni nani. Msimu huu hata kombe LA mbuzi hambebi.
Msimu uliopita ilikua nguvu ya soda na ndo gesi inaishia hivyo. Itafika kipindi mtaanza kasema KLOOP OUT hapo ndo mtajua msiba ni nyumba hadi nyumba.
Liverfools majogoo yasiyo rizki.
Kila MTU ashinde za nyumbani ndo kauli ya EPL msimu huu. Mkija O.T tunawachinja na msumeno butu.
Mnauza Lukaku mumtegemee Lingard, nyie mna akili?
 
4-1
IMG_20190810_001655.jpeg
 
ID yako inasadifu unayoyaandika.

Unachekesha.

Watakaochekesha mwisho wa msimu ni Liverpool watuwameanza kulia Leo kwenye fantasy premier league. Beki uchochoro mmeshindwa hata kuweka clean sheet.
Halafu pia sioni kama timu yenu INA consistency ya kuweza kudumu on top form kwa three seasons mfululizo. Madrid alishindwa spurs atleast anaweza ila sio Liverpool mtachemka tu msimu huu.
 
Mnauza Lukaku mumtegemee Lingard, nyie mna akili?

Lingard unayemponda ana namba kwenye first eleven ya three lions na makocha top class wazuri kama MOU na Van gaal walimuamini sasa sijui wewe unamponda kwa vigezo vipi. Waulize Chelsea wanamjua vizuri anawatoboaga.
 
Watakaochekesha mwisho wa msimu ni Liverpool watuwameanza kulia Leo kwenye fantasy premier league. Beki uchochoro mmeshindwa hata kuweka clean sheet.
Halafu pia sioni kama timu yenu INA consistency ya kuweza kudumu on top form kwa three seasons mfululizo. Madrid alishindwa spurs atleast anaweza ila sio Liverpool mtachemka tu msimu huu.

Kumbe ni hasira za fantasy league!

Nimekuelewa bosi.
 
Klopp "The Ali situation is madness. It's a calf injury.Hinjury.He felt as if something hit him from the back.He will not be ready for Wednesday, I can say that already. "
 
Back
Top Bottom